Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Haya ni maradhi ya kutengeneza,kuna mambo ambayo yapo nje na uwezo wa binadamu na hapo ndio MUNGU huonyesha uwezo wake.Mfano mvua nyingi,matetemeko nk.Lkn pia MUNGU ametupa akili ya kupambana na maradhi,huwezi kuumwa cholera ukamuomba MUNGU badala ya kupambana na vinavyosababisha.Hata hivyo kama huamini uwepo wa MUNGU ni kazi bure tu,huwezi amini hadi mauti yakukute.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakuelezea kuhusu mtu kuwa muumini wa dini au anaamini Mungu ila wewe unaleta habari za kuingia msikitini na kanisani,wangapi hawaingia huko na jamii inawatambua dini zao?
Unatatizo katika kuelewa

Mtu anaweza kujua kua mungu hayupo na dini ni wizi tu lakini bado akawa muumini katika dini kwa kuogopa jamii itamchukulia vibaya.

Bila dini ni ngumu kuoa/kuolewa kwasababu jamii iko katika zama za ujinga kuamini kua ndoa inafungwa kwa viapo vya dini mbele za mungu. Kwaiyo mtu anaamua kua na dini lakini akielewa kabisa kua worshiping god is bullshit

Hii ni kwasababu ukitaka kuishi na mjinga jifanye nawe mjinga ili alidhike lakini hiyo haimaanishi kua wewe ni mjinga

Na ndio maana hao wanasayansi ambao wanadini wamekua wakitafuta suluhu kupitia maabara za kisayansi na sio kusugua magoti madhabahuni kwa kuomba mungu, kwasababu walishajua kua habari za mungu ni changa la macho


Nenda majumba ya ibada utaona watu hufanya maombi kwa hili janga la corona,sijui unakwama wapi? Hata hawa matajiri pamoja na kupiga kazi kwa bidii ila bado hufanya maombi kama kawaida.
Mbona hao watu nimewataja sana huko mwanzo kua wameathirika na ujinga?

Tangu wameanza kufanya maombi wamepewa dawa gani kutoka kwa mungu ambayo itawaponya wagonjwa wenye corona??

Hao wanaosali kuomba muujiza kwa mungu awape dawa, asilimia kubwa milangoni kwenye majumba yao ya ibada kuna maji ya kunawa kwa ajili ya kuepuka virusi vya corona, unafikiri kwanini wahangaike kuchukua tahadhari wakati wakiomba wanajibiwa?

Ukimwi unazaidi ya miaka 30, niambie maombi yao miaka yote hiyo yamesaidia nini katika process za kuutokomeza?


It's Scars
 
battawi said:
Hapa umeniamsha Ndugu yangu
Mimi nakuthibitishia
35:3. Enyi watu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu juu yenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa Mwenyezi Mungu anaye kupeni riziki kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Hapana mungu ila Yeye tu. Basi wapi mnako geuzwa?

5. Enyi watu! Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, wala mdanganyifu asikudanganyeni juu ya Mwenyezi Mungu.

9. Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa (mvua ikanyesha), tukaifufua ardhi( kwa mvua hiyo) baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa (siku ya mwisho, Na Je ni nani anayeweza kuyafanya hayo asie kuwa Mungu?).

11. Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamume na mwanamke. Na mwanamke yeyote hachukui mimba, wala hazai, ila kwa ilimu yake. Na wala hapewi umri mwenye umri mrefu, wala hapunguziwi katika umri wake, ila yamo hayo katika Kitabu (cha Mungu). Hakika hayo ni mepesi kwa Mwenyezi Mungu. (je ni nani mwengine ayafanyaye hayo asiekuwa Mungu ikiwa unamjuwa)?

34:38. Na wanao jitahidi kuzipinga Ishara zetu, wakaona watashinda, hao watahudhurishwa kwenye adhabu ( hapa duniani kabla ya kufa na siku ya kiama).
Hebu kiri ukweli huu kama kuna yeyote anaye yamiliki haya

huu ndio ushahidi wangu, nipe wa kwako basi
Swali langu bado liko pale pale

Unajuaje kua verse hizo sio defense ili kuficha uongo wa kuonesha ulaghai wa hicho kitabu??

Sasa hapa nakutaka ukanushe hizo aya hapo juu na uoneshe uongo wake?
Ikiwa wewe ni mjuzi na Mkweli
 
Mada siyo kuhusu uwepo wa Mungu,ama nguvu za Mungu,
Mada ni DINI
Mungu yupo na ana nguvu juu ya yote hili siyo la kujadili,kataa kubali,
Ishu ni hizi Dini,ndo anachomaanisha mleta mada,
NB namna dini zinashindwa kutukonektisha na majibu toka kwa Mungu,nadhani ndo maana kasema dini zimeumbuka,
Hajasema Mungu,kasema Dini,
Japo binafsi nadhani angeangazia viongozi wa dini zaidi kuliko dini maana wao ndo wafanya dini ziwe bandia ama halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Utasemaje mada siyo uwepo wa Mungu halafu hapo hapo useme Mungu yupo, huoni kwamba hiyo ni mada?

We umejuaje kwamba Mungu yupo?

It's Scars
 
Hakuna mungu Ila Allah, ambae ndiye muumba wako na wa vyote na umauti ni haki kwako.
Allah naye hayupo ni story tu, unataka kujificha kwenye matuta ya njugu ukidhani hatukuoni?

Thibitisha allah yupo

It's Scars
 
Allah naye hayupo ni story tu, unataka kujificha kwenye matuta ya njugu ukidhani hatukuoni?

Thibitisha allah yupo

It's Scars
Kaa bila kulala kwa siku tatu.,
Kaa bila kuwenda Haja ndogo kwa siku mbili
Acha kula kwa wiki moja uone ,
Huwo ni mfumo alioumba Allah ,Badilisha uweke mfumo wako basi kama wewe ni mjuvi
 
Vipi kuhusu mauti ,Unaweza kupanga uishi bila ya kufa?
Basi hata Hoja ndogo ya ukichoka una sinzia pasi na Amri yako,
Unajuwa nana kakupa usingizi?
Ebu tamka humu kundini kama wewe ni mkweli, Mungu Akukoseshe usingizi kwa wiki moja kisha
sisi tuitikie amina
Uone Jeuri yako
 
Kama hakuumbwa allipatikanaje?
Ni nani awezaye kuumba ngalau kidole kikikatika,ili kiwe spare?
Hata hilo hujui?
 
Mbona unajihami sana, kwa kusema vitabu hivi huviamini?
hebu tazama hizo contentss zake
kanusha moja wapo ya hizo aya hapo juu useme isivyokuwa hivyo ikiwa wewe kweli ni mjuzi,
kinyume chake nadhani Umeamua Kubishana tuu bila ya hoja,
Natilia shaka Elimu yako na Akili pia.
Kwanini nihitaji kutazama contents ndio nikanushe?

Ukishajua haya ni mavi kuna haja ya kulamba ili kuthibitisha??



It's Scars
 
Wewe kama huamini kama Mungu hayupo una Uhuru wa kuendelea kuamini hivyo, sisi ambao tunaamini Mungu yupo tutaendelea kuamini
Mtu asiyeamini mungu hayupo na mtu anayeamini mungu yupo, kunautofauti wowote hapo?

Jifunze kuhoji kwanza

It's Scars
 
Na iwe hivyo kwako mavi,
Wala usione ,
na ubaki na kilema chako cha akili
Farao alipelekewa Nabii ili amuokowe na Adhabu,lakini alichagua kuangamia.
Mungu alikuwa Yu tayari kumsamehe kama angelitubu na kutii,
Lakini Kiburi kilimpa ukakamavu,si kwa kuto juwa ukweli,bali aliivuna,alisahau kuwa yuko chini ya mbingu ya Mungu ,na Ardhi ya mungu, na Bahari ya Munguna Farasi wa Mungu, Na yeye ni wa Mungu,
Alijiona kwa Vitu visivyokuwa vyake alidhani yeye ni Mfalme na si kiumbe
Wewe ni nani basi upingae Uwepo wa Mungu?
 
Kijana usilo lijua ni kuwa mambo haya mimi nimeyasoma kabisa yaani vitabu na vitabu na nina endelea kuyasoma. Kauli zangu hazipingani, na nilichokiandika hapa hakipingani na majibu yangu mengine, ndio maana na uwezo kuona makosa yako na nikayachambua, lakini weww uweso huo huna, unaishia kusema tu kisha huonyeshi shida iko wapi, hii ni ishara ya kuwa huna hoja na jambo limekuzidi pa kubwa sana.

Hii mada iliisha kitambo sana, na uwe unasoma hoja zangu kisha uzielewe na ujue kutofautisha jambo moja na lingine.
Aibu imekukuta sasa naona unatapatapa kama kuku aliyekatwa kichwa

Post yako namba 13 ndiyo inayo kuhukumu, na nilijua itakua hivi kwasababu majibu ya kugushi ni rahisi kuyasahau.



It's Scars
 
Ni wajinga pekee tu ambao wanaweza kubabaika na hizo riwaya zakiarabu ulizoziweka

Ungekua unakielewa unachokisoma usingeleta habari za "spider"

Hujajibu swali hili

Unajuaje kwamba kuran imeongea ukweli?

It's Scars
Usipate shida Qur'an yenyewe inakupa challenge...

Qur'an 2:


2_23.gif


23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli. 23


2_24.gif

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. 24


Haya tunasubiri utimize hiyo "challenge". Miaka zaidi ya 1400 imetolewa , mpaka.leo hajatokea hata mmoja aliyeweza, jaribu bahati yako tena washirikishe na makafiri wenzako wote.

Hahaha unaongelea "spider"? Kuna sura nzima ndani ya Qur'an inabeba jina Hilo, imeshushwa zaidi ya miaka 1400 nyuma. Kwi kwi kwi teh teh teh, wewe ndio leo unamjuwa? Ulilala usingizi mzito sana.
 
Back
Top Bottom