Mungu ni hadithi zilizo nje ya uhalisia
Uhalisia unao uzungumzia wewe ni upi ? Unaujua ?
ndio maana uwepo wake hauthibitishiki nje ya masimulizi yakufikirika
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini unawaona watu fulani na unaweza kujifunza kupitia wao kwa kuwaona, lakini huwezi kujiona wewe mwenyewe kwa kile kitendo cha kuona ? Huu tunauita MPAKA/MIPAKA,kama yalivyo macho kwayo huwezi kuona nje ya upeo na ndivyo vivyo akili ina ukomo wake, nyinyi mmeifanya akili ndio kila kitu hali ya kuwa akili ina ukomo wake na majukumu yake, sasa unajaribu kuipa kazi ambayo haiiwezi matokeo yake mnakanusha mambo ambayo hamjui na msio weza kuthibitisha kutokuwepo kwake, huu ni ujinga ulio komaa.
Lakini masimulizi ya kufirika yana sifa gani ? Je mfano wake ni kama yale ya "The Big Bang Cosmology" au "Solar System" au "Landing on the Moon" au "Philosophical Ligic" za kina Plato na Aristotle ?
Tatizo la mifano bado lina wasumbua sana nyinyi watu.The same goes with Spiderman
Ahsante.