Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

Kama ni swala ambalo lipo katika mtazamo ya wengi, basi hata wewe kusema dua sio kazi ni moja kati ya mitazamo ya wengi

It's Scars
Ni kweli kabisa kwa hiyo sie mtazamo wetu ni kwamba dua ni kuhitaji msaada na uhitaji wa msaada unakuja pale ambapo umekwama kabisa huna cha kufanya au umejitahidi kiasi uwezavyo mfano wanadini wamechukua tahadhari kwanza dhidi ya Corona na kisha hufanya dua(kumtaka Mungu msaada).
 
Ni kweli kabisa kwa hiyo sie mtazamo wetu ni kwamba dua ni kuhitaji msaada na uhitaji wa msaada unakuja pale ambapo umekwama kabisa huna cha kufanya au umejitahidi kiasi uwezavyo mfano wanadini wamechukua tahadhari kwanza dhidi ya Corona na kisha hufanya dua(kumtaka Mungu msaada).

Dua iliyofanywa kwa lengo la kuzuia corona isiingie tanzania imeleta impact gani?

Ukimwi unamiaka zaidi ya 30 na bado unaendelea kuua watu kiasi kwamba ni tishio la dunia

Unafikiri kwanini ukimwi umeshindwa kuondolewa kwa dua kama kweli dua inafanya kazi kihalisia kama ambavyo vitabu vya dini vinavyofundisha?



It's Scars
 
Kuna mfanano gani hapo?
Mfanano wake ni kwasababu wote hawathibitishiki kihalisia nje ya masimulizi yao

Hujajibu swali

Unajuaje kua mungu sio dhana ya kufikirika kama spiderman?

It's Scars
 
Dua iliyofanywa kwa lengo la kuzuia corona isiingie tanzania imeleta impact gani?

Ukimwi unamiaka zaidi ya 30 na bado unaendelea kuua watu kiasi kwamba ni tishio la dunia

Unafikiri kwanini ukimwi umeshindwa kuondolewa kwa dua kama kweli dua inafanya kazi kihalisia kama ambavyo vitabu vya dini vinavyofundisha?



It's Scars
Una uhakika umesoma vitabu vya dini kuhusu dua? Kama umesoma vinafundisha nini kuhusu dua?
 
Una uhakika umesoma vitabu vya dini kuhusu dua? Kama umesoma vinafundisha nini kuhusu dua?
Vitabu vya dini vinasema Ombeni nanyi mtapewa maana hakuna lishindikanalo mbele za mungu. Lakini hakuna impact yeyote inaonesha imefanyika baada ya jitihada za kuomba dua kufanywa na waumini wa dini

Dini zinasema mungu kawapa mamlaka ya kukanyaga n'ge na nyoka bila kudhurika ukiwa na imami. Lakini mamlaka hayo hatuyaoni watu wakiyatumia kuukabili huu ugonjwa ambao umeua maelfu ya watu

Janga hili linathibitisha kwamba Dua ni hoax iliyokua invented na dini maana uhalisia wake haupo. Na swala zima la uwepo wa mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo

It's Scars
 
Mfanano wake ni kwasababu wote hawathibitishiki kihalisia nje ya masimulizi yao

Hujajibu swali

Unajuaje kua mungu sio dhana ya kufikirika kama spiderman?

It's Scars
Suala la spiderman ni jambo lililobuniwa kwa ajiri ya movie hivyo hakuhitajiki uthitisho hapo wa kuthibitisha uwepo wa spiderman nje ya movie kwa sababu hakuna madai ya kuwepo spiderman nje ya movie,habari za Mungu ni tofauti na spiderman na ndiyo maana watu wanadai uthibitisho uwepo wa Mungu sababu ni kuwa watu hudai uwepo wake kiuhalisia.
 
Vitabu vya dini vinasema Ombeni nanyi mtapewa maana hakuna lishindikanalo mbele za mungu. Lakini hakuna impact yeyote inaonesha imefanyika baada ya jitihada za kuomba dua kufanywa na waumini wa dini

Dini zinasema mungu kawapa mamlaka ya kukanyaga n'ge na nyoka bila kudhurika ukiwa na imami. Lakini mamlaka hayo hatuyaoni watu wakiyatumia kuukabili huu ugonjwa ambao umeua maelfu ya watu

Janga hili linathibitisha kwamba Dua ni hoax iliyokua invented na dini maana uhalisia wake haupo. Na swala zima la uwepo wa mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo

It's Scars
Unaomba kwa Imani au unaomba kwa kumjaribu Mungu usijaribu Mwenyezi Mungu hajaribiwi (Imani yako Ndio itakayokuponya) Ibrahim aliomba mtoto akaja kupewa mtoto Akiwa na miaka 100 Isaka na huyo huyo akaambiwa amtoe kafara na Kwa Imani aliyokuwa nayo kwa Mungu akamwandaa kwa ajili ya kumtoa sadaka lakini Mungu akampatia kondoo kwa ajili ya ile sadaka ukiwa na imani haba usitarajie kupata uponyaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la spiderman ni jambo lililobuniwa kwa ajiri ya movie hivyo hakuhitajiki uthitisho hapo wa kuthibitisha uwepo wa spiderman nje ya movie kwa sababu hakuna madai ya kuwepo spiderman nje ya movie,habari za Mungu ni tofauti na spiderman na ndiyo watu wadai uthibitisho kwa Mungu hudai kuwa kweli yupo kiuhalisia.
We unajuaje kua dhana ya uwepo wa mungu sio swala lililobuniwa kwaajili ya dini?

It's Scars
 
Unaomba kwa Imani au unaomba kwa kumjaribu Mungu usijaribu Mwenyezi Mungu hajaribiwi (Imani yako Ndio itakayokuponya) Ibrahim aliomba mtoto akaja kupewa mtoto Akiwa na miaka 100 Isaka na huyo huyo akaambiwa amtoe kafara na Kwa Imani aliyokuwa nayo kwa Mungu akamwandaa kwa ajili ya kumtoa sadaka lakini Mungu akampatia kondoo kwa ajili ya ile sadaka ukiwa na imani haba usitarajie kupata uponyaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Habari za inabrahimu umezijuaje?

Unajuaje kua habari hiyo sio dhana iliyotungwa ili kufanya wewe uamini mungu yupo?

It's Scars
 
Vitabu vya dini vinasema Ombeni nanyi mtapewa maana hakuna lishindikanalo mbele za mungu. Lakini hakuna impact yeyote inaonesha imefanyika baada ya jitihada za kuomba dua kufanywa na waumini wa dini

Dini zinasema mungu kawapa mamlaka ya kukanyaga n'ge na nyoka bila kudhurika ukiwa na imami. Lakini mamlaka hayo hatuyaoni watu wakiyatumia kuukabili huu ugonjwa ambao umeua maelfu ya watu

Janga hili linathibitisha kwamba Dua ni hoax iliyokua invented na dini maana uhalisia wake haupo. Na swala zima la uwepo wa mungu mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo

It's Scars
Dua si command bali ni ombi,hivyo dua inakukubaliwa,inakukataliwa,ina kucheleweshwa kujibiwa.
 
Dua si command bali ni ombi,hivyo dua inakukubaliwa,inakukataliwa,ina kucheleweshwa kujibiwa.
Hakuna mahali nimesema dua ni command, nimehoji kulingana na mafundisho yanayotolewa na dini kuhusu dua

Dini zinasema ombeni nanyi mtapewa maana hakuna lishindikanalo mbele za mungu.

Kama ilikua sio lazima kupewa kwasababu kuna ucheleweshaji wa majibu isingejinasibihisha kua mmepewa mamlaka ya kufanya jambo lilio jema lolote mbele za mungu kwa kutumia dua


Lakink hata hivyo Katika ulimwengu wenye mungu mjuzi wa yote, muweza yote na upendo wote utagundua swala la mungu kuchelewa kujibu maombi huku watu wakiendelea kufa ikiwemo watoto ni contradiction

Mungu huyu angekuwepo, hata magonjwa na matatizo mengine yasingeweza kujadilika



It's Scars
 
Kama ni hivyo sasa wewe unadai uthibitisho wa nini? Mbona haudai uthibitisho wa spiderman?
Nadai uthibitisho kwasababu nataka kujua

Sihoji uthibitisho wa spiderman kwasababu hujawahi sema kua yupo

Spiderman uliskia kua anahadithiwa kua yupo na ni mjuzi wa yote na muweza wa yote na upendo wote ambaye aliumba ulimwengu huu na vilivyomo?

Hujajibu swali

We unajuaje kua dhana ya uwepo wa mungu sio swala lililobuniwa kwaajili ya dini?

It's Scars
 
Dini ni imani... maombi ni maneno... na maneno matupu hayavunji mfupa...

COVID 19 ni kirusi, hakiihitaji maneno wala hisia, bali vitendo, kuosha mikono na kuepuka misongamano, hivyo ni vitendo na siyo maneno...



Cc: mahondaw
 
Hakuna mahali nimesema dua ni command, nimehoji kulingana na mafundisho yanayotolewa na dini kuhusu dua

Dini zinasema ombeni nanyi mtapewa maana hakuna lishindikanalo mbele za mungu.

Kama ilikua sio lazima kupewa kwasababu kuna ucheleweshaji wa majibu isingejinasibihisha kua mmepewa mamlaka ya kufanya jambo lilio jema lolote mbele za mungu kwa kutumia dua


Lakink hata hivyo Katika ulimwengu wenye mungu mjuzi wa yote, muweza yote na upendo wote utagundua swala la mungu kuchelewa kujibu maombi huku watu wakiendelea kufa ikiwemo watoto ni contradiction

Mungu huyu angekuwepo, hata magonjwa na matatizo mengine yasingeweza kujadilika



It's Scars
Tatizo ni moja unaongea kana kwamba watu dua zao huwa hazijibiwi kwa kutumia hiyo mifano ya ukimwi na corona.
 
Nadai uthibitisho kwasababu nataka kujua

Sihoji uthibitisho wa spiderman kwasababu hujawahi sema kua yupo

Spiderman uliskia kua anahadithiwa kua yupo na ni mjuzi wa yote na muweza wa yote na upendo wote ambaye aliumba ulimwengu huu na vilivyomo?

Hujajibu swali

We unajuaje kua dhana ya uwepo wa mungu sio swala lililobuniwa kwaajili ya dini?

It's Scars
Ndiyo maana nikakuuliza kama suala la Mungu limebuniwa tu kwa ajili ya dini(na wewe hufuati dini) kwanini sasa utake uthibitisho? Ndiyo maana nakwambia suala la spiderman ni tofauti na Mungu.
 
Ndiyo maana nikakuuliza kama suala la Mungu limebuniwa tu kwa ajili ya dini(na wewe hufuati dini) kwanini sasa utake uthibitisho? Ndiyo maana nakwambia suala la spiderman ni tofauti na Mungu.
Nataka kujua kwasababu dini imesema huyo mungu ndio chanzo cha kila kitu ikiwemo na mimi

Sasa ni jamno jema kujua chanzo changu na ndio maana nahoji uthibitisho wake ili nami nijue

Nithibitishie mungu yupo, ukifanya hivyo utakuakua umeniongezea maarifa ambayo tangu nizaliwe sijawahi kuyapata

It's Scars
 
Tatizo ni moja unaongea kana kwamba watu dua zao huwa hazijibiwi kwa kutumia hiyo mifano ya ukimwi na corona.
Kwani dua gani ambayo imeweza kuleta dawa ya ukimwi na corona?

Na sio ukimwi tu bali kumbuka kuna kansa nayo inasumbua watu, hizo dua zimesaidia nini kutokomeza

It's Scars
 
Back
Top Bottom