k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Hili suala la hili gongwa la COVID-19 Manabii na Mitume mbona wapo kimya sana hata sisikii swaga zao na kuomba kwa hili gonjwa au kutubu kwa ajili ya Dunia ili gonjwa hili litoke na hata kuomba kwa ajili ya wagonjwa wapone......!
Nimepata habari baadhi ya makanisa/madhehebu yakijigamba kwamba wao hawataugua...Je? ndugu zao usipompenda jirani utasemaje unampenda Mungu.........!
ILANI
COVID-19 ikikolea TZ tutakufa kama wafuasi wa kibwetele.....Mwingira,Mwamposa,Lwakatale,GeorDavie na wengne wakati wenu wa kuthibitisha kile mnachokiishi na kufundisha kama Mitume na Manabii wa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepata habari baadhi ya makanisa/madhehebu yakijigamba kwamba wao hawataugua...Je? ndugu zao usipompenda jirani utasemaje unampenda Mungu.........!
ILANI
COVID-19 ikikolea TZ tutakufa kama wafuasi wa kibwetele.....Mwingira,Mwamposa,Lwakatale,GeorDavie na wengne wakati wenu wa kuthibitisha kile mnachokiishi na kufundisha kama Mitume na Manabii wa Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app