mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
si yupo KKKT na sio RC!?..The great one, the legendary presida of instance
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si yupo KKKT na sio RC!?..The great one, the legendary presida of instance
Yule ambaye hataki kutoka ziwani ama?
hahaha huyo huyo, si unajua upepo wa bahari ulimshinda akaamue aufuate wa ziwani aliouzoea!? hakutaka kua mtumwa ukizingatia " mkataa kwao, mtumwa".Yule ambaye hataki kutoka ziwani ama?
Haya bhana. Ila msimuige, yeye anapakaa sanitaiza na watu wake. Za kuambiwa changanya na za kwako manhahaha huyo huyo, si unajua upepo wa bahari ulimshinda akaamue aufuate wa ziwani aliouzoea!? hakutaka kua mtumwa ukizingatia " mkataa kwao, mtumwa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mitandao ya kijamii kwa awamu hii haipo salama!
View attachment 1688195
Point yako hapo umeanza vizuri ila ukakimbilia kwenye siasa.Mostly, dunia inaugua ugonjwa wa ^hovidi^ (hofu ya kovidi); na wala siyo kovidi yenyewe. Inasikitisha sana kushuhudia kwamba watu wanaoonekana kutetea maslahi ya taifa letu na ustawi wa raia wake, ndio wakati huohuo wako mstari mbele kuliombea madhila. The only reason that makes them seem benefactors and well-wishers for humanity is simply an attempt at gaining a foothold -- a platform -- for advocating their strange, unpatriotic views.
It is a sort of someone desperately crying ^I love you bbylife^ just after they have discovered their former partner is mindless of them and carries on with life normally.
🖕🖕🖕Kwani huu uutumiao sasa kupropaget ushamba na pumba ni mtandao wa madawa ya kulevya!???
Huu ni ujinga wa mtu kuona mto unakuja, halafu unamwambia mtu fumba macho songa mbere!Kanisa katoliki wanapokea orders kutoka VATICAN sasa hiyo ni sawa na VATICAN wamesema ila nyie mlioshikwa akili na makanisa mnashadadia tu!
Kama muheshimiwa raisi alivyosema, tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda kama wanavoamrisha wataalamu wa afya, huku tukiendelea kuchapa kazi.
HAPA KAZI TU, au nasema uongo ndugu zangu!?
Sent using Jamii Forums mobile app