Tetesi: Corona inapukutisha watu Dar. Kuna wanaolalamika ndugu zao kuzikwa kinguvu na Mamlaka Dar huko Bahari Beach, Buza na Mbweni

Makabulini ndiyo wapi?
 
Nani analipeleka kwenda makaburin? Je ni mabeberu wanalipeleka makaburini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mkuu wewe amini siku ukishuhudia ndio utajua jinsi huu ugonjwa ulivyo hatari jikinge Sana. Watu wanakufa Sana serekali ikishachukua ndio Bai Bai.

Kuna mda nilimfikiria Magufuli nikakosa jibu kwanini kuwe uficho kiasi hiki,

Kuna wawili mme alikufa akachukuliwa kesho yake mke nae kachukuliwa Kama hawana korona siwangewapa ndugu wazike. Na wangesema watu wangejihami maana Hawa watu wanaishi na watu.

nakwambia siku ukishuhudia ndio utaelewa kwanini mleta mada analalamika.
 
Hao si ndio wanaokesha kwenye page ya twitter ya kigogo kuendelea kula mashudu yake mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakua ni mlinzi wa makaburi
 
Chato..

Rais amesema kua Dar es Salaam haitafungiwa ili kulinda uchumi na pia amesema Suala la fumigation lisimamishwe na lichunguzwe kwan kitaalam Virusi haviuwawi na fumigation nakwamba inaweza kia ndio imetumika kusambaza corona., Rais pia kasisitiza watu kutumia barakoa za ndani kwani za nje zinaweza kutumia kusambaza Virusi vya corona.


Chato....Rais kasema kua Dar maambukizi ni Mengi kwa sababu ni mji wenye wakazi wengi.











Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…