Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?