Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Hatari sana MkuuWanakera sn hawa mbwa.... Yaani wanacheka wanaoumwa eti ni wazembe hawana Mungu huku wao maccm mungu wao kafa kwa korona hiyohiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana MkuuWanakera sn hawa mbwa.... Yaani wanacheka wanaoumwa eti ni wazembe hawana Mungu huku wao maccm mungu wao kafa kwa korona hiyohiyo
Tusiogope, hofu ni mbaya kuliko Covid yenyewe. Mungu aliyetuokoa na wimbi la kwanza mwaka jana atatuokoa na wimbi la pili na la tatu. Tuendelee kumtumaini na kuchukua tahadhariMabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
View attachment 1766866
![]()
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
Tahadhari tulishachukua na tunaendelea kuchukua kila siku yaani kumtanguliza na kumwomba Mungu. Hiyo ni silshs kubwa sana kuliko zone, na matokeo yake yameonekana, yaani Tanzania tuko salama sana mara elfu nyingi kuliko nchi nyingi zinazojidai kutumia sayansi lakini zimezika kwa malaki .Mwalimu wa hizi propaganda zenu alishatokomea, jidanganyeni tu badala ya kuchukua tahadhari, watu laki mbili sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo, watu wanakosa hadi pakuwazika wapendwa wao.
Yaani kila taarifa ya habari Aljazeera hili la covid-19 India ni habari ya kwanza au pili .Mungu awasaidieMabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
View attachment 1766866
![]()
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
Hawa nyumbu hawanaga msimamo mkuu, mwenyekiti wa saccos kachanjwa na wao wanataka chanjo.kwani msimamo wenu kama nyumbu ni upi!!!
si mlikubaliana kwamba magufuli atanagze uwepo wa corona haraka iwezekanavyo!!!!
ni lini mlibadili huu msimamo!!!!
Tushasahau hayo Mambo fanya kazi chukua tahadhari,dunia nzima Ina coronaWenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Mwalimu wa hizi propaganda zenu alishatokomea, jidanganyeni tu badala ya kuchukua tahadhari, watu laki mbili sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo, watu wanakosa hadi pakuwazika wapendwa wao.
Hali iliyopo India India wakati huu inasikitisha sana kwakweli
Mkuu 'brazaj'Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
View attachment 1766866
![]()
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
Cha kujifunza ni kwamba zamu yetu yaja kama tutaendelea na ujinga wa kutegemea sala na uongo mwingine bila kuchukua hatua.Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:
View attachment 1766866
![]()
India Covid: Hospitals overwhelmed as deaths pass 200,000
There are fears the real number is even higher, as hospitals continue to turn dying patients away.www.bbc.com
Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?
Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?
India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.
Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.
Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.
Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.
Sisi je?
Kwanini watu wanalazimisha Serikali itangaze kuhusu corona badala ya kuchukua hatua wewe mwenyewe za kujikinga na familia yako?
Hali iliyopo India kwa sasa inaweza kuipata nchi yoyote tu mkuuWale wanaosema wamepata chanjo sasa ndo muda WA kuzipeleka huko
Mungu anawaumbua vibaya.
Cha kujifunza ni kwamba zamu yetu yaja kama tutaendelea na ujinga wa kutegemea sala na uongo mwingine bila kuchukua hatua.