#COVID19 Corona: India kinaponuka sisi tuna cha kujifunza?

#COVID19 Corona: India kinaponuka sisi tuna cha kujifunza?

Mwalimu wa hizi propaganda zenu alishatokomea, jidanganyeni tu badala ya kuchukua tahadhari, watu laki mbili sio jambo la kufanyia mzaha hata kidogo, watu wanakosa hadi pakuwazika wapendwa wao.
Hakuna cha mzaha Mungu anaponya labda kama hutaki
 
Mnaoitabiria Tanzania mabaya mmebuma na bado mtabuma zaidi,kuna kunguni wenzenu walisema kutokana na mikusanyiko ya kumuaga mwendazake baada ya wiki mbili Corona italipuka kwa kasi ya ajabu,matokea yake baada ya wiki mbili wao kunguni ndo wamelipukwa na magonjwa ya akili wakati Tanzania ikiwa salama kwa uwezo wa aliyejuu.
 
Kweli baada ya wiki mbili akalipuka yeye
Mnaoitabiria Tanzania mabaya mmebuma na bado mtabuma zaidi,kuna kunguni wenzenu walisema kutokana na mikusanyiko ya kumuaga mwendazake baada ya wiki mbili Corona italipuka kwa kasi ya ajabu,matokea yake baada ya wiki mbili wao kunguni ndo wamelipukwa na magonjwa ya akili wakati Tanzania ikiwa salama kwa uwezo wa aliyejuu.
 
Ukimwi uligundulika mwaka 1983 lakini mpaka sasa watu wanaugua ukimwi na wanaendelea kunyanduana. Acha uoga falangundi wewe

Falangundi ni wewe kwa maana umekurupuka kuandika usiyokuwa na ufahamu nayo.

Ndiyo maana unadhani ukimwi na Corona ni sawa na haiyumkiniki hata unadhani India ni Ulaya.

Unaonekana kuwa na kipaji cha umburula jombi.
 
KIpigo wanachopata kina fanana na walichopata nchi za latini america, hasa brazil huko, tofauti ni media tu, kuwa india information ni za kutosha na pamoja serekali kuficha.
kifupi mpka hiyo wave iishe two weeks to three weeks watu si chini ya 2Mil watakuwa wamepotea.

Hatari kubwa sana. Ni hatari kubwa zaidi kuwa pana watu hawaioni hatari hiyo wala hawaoni umuhimu wowote wa tahadhari sahihi.
 
Tupige marufuku ndege kuingia na kutoka india kama tahadhali. Huu ugonjwa ni hatari, hubadilika badilika mno virusi wake.

Tuna idadi kubwa sana ya mamburula mkuu nchini.

Katika hao hadi leo wanaamini yule bwana wa awamu ya tano angalipo madarakani.

Hiiiiii bagosha!
 
Tuna idadi kubwa sana ya mamburula mkuu nchini.

Katika hao hadi leo wanaamini yule bwana wa awamu ya tano angalipo madarakani.

Hiiiiii bagosha!
Jinsi tunavyobanana kwenye mabasi tungekuwa tumeisha..HAKIKA MUNGU ALIYE HAI anailinda hii nchi .. 1 Petro 1 : 5 Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya IMANI hata mpate WOKOVU ulio tayari kufunuliwa ktk siku za mwisho..Usiogope !
 
Jinsi tunavyobanana kwenye mabasi tungekuwa tumeisha..HAKIKA MUNGU ALIYE HAI anailinda hii nchi .. 1 Petro 1 : 5 Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya IMANI hata mpate WOKOVU ulio tayari kufunuliwa ktk siku za mwisho..Usiogope !
Unajua hata mimi nashangaa sana kwa sababu hicho kinachotokea India kingetokea Tanzania jibu lingekuwa ni kutokana na huku kutovaa barakoa na hii mikusanyiko yetu kwa kifupi hatuzingatii kabisa hizo tahadhari, ila hatuoni kitu kama hicho ndio kwanza tunahofia corona kutoka nchi za wenzetu kama huko India ambapo tunaambiwa hali yao hiyo ni kutokana mikusanyiko waliyoifanya kwenye sijui ibada zao hivi karibuni wakati sie toka mwaka jana tunafanya mikusanyiko. Utasikia hata hapa kati corona ilisumbua ni kwamba et ilitoka South Africa na wengine wanasema ilitoka Uingereza.
 
Unajua hata mimi nashangaa sana kwa sababu hicho kinachotokea India kingetokea Tanzania jibu lingekuwa ni kutokana na huku kutovaa barakoa na hii mikusanyiko yetu kwa kifupi hatuzingatii kabisa hizo tahadhari, ila hatuoni kitu kama hicho ndio kwanza tunahofia corona kutoka nchi za wenzetu kama huko India ambapo tunaambiwa hali yao hiyo ni kutokana mikusanyiko waliyoifanya kwenye sijui ibada zao hivi karibuni wakati sie toka mikusanyiko tunafanya toka mwaka jana. Utasikia hata hapa kati corona ilisumbua ni kwamba et ilitoka South Africa na wengine wanasema ilitoka Uingereza.
sasa utashangaa Simba vs Yanga... Mtu 60 elfu bila barakoa Huyo ni Mungu tuu
 
India nao walijisahau kama sisi na kuamini kwenye herd community approach na kuanza kufurahia kutokuwepo kwa korona hali ilibadilika ghafla. Jamani nasi tuchukue tahadhali as soon as possible.
Huko kujisahau kwa India kwetu ndio kawaida yetu toka mwaka jana, yani toka mwaka jana tunaishi bila tahadhari zozote tofauti na India ambao walikuwa wanafuata tahadhari ila wakaja kujisahau kidogo tu ndio tunaambiwa hiyo hali waliyonayo ni kutokana na huko kujisahau kwa huo muda mchache.

Kitu kinachonishangaza kwanini tumekuwa tunahofia corona kutoka nchi za wenzetu hali ya kuwa hao wenzetu ndio wanafuata tahadhari wakati sisi ndio tungetakiwa kuwa kama kiwanda cha kuzalisha virusi kama vya India?
Sisi Tanzania hali ya Corona haijawa kubwa na haipo, iko chache sana, wakati wenzetu wapo kwenye lockdown"

Kwa hali ya corona Tz haieleweki na ndio inaendana na statement ya Magufuli.
 
sasa utashangaa Simba vs Yanga... Mtu 60 elfu bila barakoa Huyo ni Mungu tuu
Jana nimesikia sijui kisiwa gani kile walichanja chanjo ya corona kwa asilimia kubwa sana tena dozi mbili na hadi wakalegeza masharti, ila sasa wanarudisha tena masharti kutokana na maambukizi kurudi tena wao wenyewe wanashangaa imekuaje.
 
Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu:

View attachment 1766866


Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili?

Tume ya Corona ya mama iko wapi? Ina mapya yapi?

India wanakokimbilia vigogo wetu kwa matibabu, ndiyo hawa wanaochoma miili ya wafu wao leo hadi barabarani.

Tusichukulie poa wajameni. Maisha ya mtu hayawezi kulinganishwa na vitu.

Kenya wamepiga marufuku safari za ndege kati yao na India.

Vivyo hivyo kwa Malawi na hata mataifa mengine.

Sisi je?
Kweli wajinga ndio waliwao!

Mkuu kupanda kwa vifo vya kinachoitwa Corona, si kwa sababu ya ugonjwa huo,ni kwa sababu waliacha matumizi ya
Hydroxychloroquine na Ivermectin, na kukubali ushauri wa WHO,ambao ulikuwa na nia ovu ya kuleta mauaji India.Mkuu Hydro chloroquine na Ivermectin ndizo dawa zinazoweza kusaidia tatizo la C-19,sio hicho kinachoitwa chanjo,ambayo sio chanjo.

Naomba ikumbukwe kwamba hakuna ushahidi wa kitaalamu kwamba C-19 inaletwa na virus,kwa kuwa haijakuwa isolated.

Fuata link ifuatayo uone ninacho ongelea.

 
Kweli wajinga ndio waliwao!

Mkuu kupanda kwa vifo vya kinachoitwa Corona, si kwa sababu ya ugonjwa huo,ni kwa sababu waliacha matumizi ya
Hydroxychloroquine na Ivermectin, na kukubali ushauri wa WHO,ambao ulikuwa na nia ovu ya kuleta mauaji India.Mkuu Hydro chloroquine na Ivermectin ndizo dawa zinazoweza kusaidia tatizo la C-19,sio hicho kinachoitwa chanjo,ambayo sio chanjo.

Naomba ikumbukwe kwamba hakuna ushahidi wa kitaalamu kwamba C-19 inaletwa na virus,kwa kuwa haijakuwa isolated.

Fuata link ifuatayo uone ninacho ongelea.

Mkuu ushasoma hiki kitabu?
20210506_113343.jpg
 
Mkuu ushasoma hiki kitabu?View attachment 1775108

Mkuu sijawahi kusoma hicho kitabu,ila title yake inaonyesha kwamba C-19 is fake,if that is what it implies it is indeed. Hata hivyo nimesoma taarifa nyingi from various sources ambazo zimenifanya ni-conlude mambo yafuatayo kuhusu C-19:
1.Ugonjwa wa Corona unaweza kuwa umetengenezwa maabara.
2.Hata hivyo hauna athari zinazodaiwa unazo,ila uthari zinazidishwa na underlying cases kama Cancers,HBP,Diabetes,Heart Diseases, Air pollution nk.Upon ushahidi kwamba unaweza kuzidishwa na 5G,4G na kifaa chochote kinachotoa EMF waves au mm waves.
3.Upo uwezekano pia kwamba ugonjwa huo haupo kabisa,ila kinachoua watu ni air pollution ikisaidiwa na underlying cases kama nilivyosema awali, High Blood Pressure,Diabetes,Cancers,Heart diseases,dawa za hospitali na vitu vingine tunavyokula vyenye sumu nk.
4.All in all the so called Corona disease ni kitu kilicho buniwa kwa malengo maovu ya kupunguza watu duniani(depopulation) to 500million ambao watakuwa watumwa robotic in a One World Government.

5.Finally,niseme pia kwamba C-19 is a false flag.

Hivyo ndivyo ninavyoijua Corona in a nutshell.
 
Back
Top Bottom