- Thread starter
- #61
Tufanyeje sasa? Kwani unazani india wamejitakia? Muhimu tuendelee kumuomba Mungu atuepushie mbali, kwani hali ya maisha yetu ni ngumu na hatuwezi kufuata masharti ya Covid-19 kwa [emoji817]%.
Mkuu cha kufanya kipo kwenye mada:
1. Tume ya mama inabeba mustakabala wa maisha yetu.
2. Kuzuia safari za anga baina yetu na India ni hatua za mwanzo serikali inapaswa kufanya.
Huo ndiyo msingi.