Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

HUWEZI KUFUNGA MAKANISA PAMOJA NA BAR, BETTING, CLUBS AMA GUEST HOUSES PAMOJA, HII NI KUMDHARAU NA KUMDHIHAKI MUNGU.

2 Mambo ya Nyakati 7:13-14
13. Nikizifunga mbingu isiwe mvua, tena nikiamuru nzige kula nchi, au nikiwapelekea watu wangu tauni;
14. ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

MUNGU NI MUWEZA WA YOTE,
SASA WE UNAFUNGA MAKANISA WATU TUMUOMBE NANI? NA WAKATI UMEMUONA YEYE NA BETTING NI SAWA?

Mhubiri 12:1
"Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako,
Kabla hazijaja siku zilizo mbaya,
Wala haijakaribia miaka utakaposema,
Mimi sina furaha katika hiyo."

MUNGU APEWE HESHIMA YAKE YOTE, NA TUJIFUNZE KWAMBA SIKU YA SHIDA NA RAHA MUNGU NI WA KUHESHIMIWA TU.
KIONGOZI MWENYE BUSARA NI KATIKA KIPINDI HIKI.

HIVYO, WAKENYA NA WENGINE ITS NOT TOO LATE, WATANGAZE MAOMBI YA KUFUNGA NA KUOMBA MUNGU ATATUSIKIA SOTE, VERY SIMPLE, TUNAPOFANYA MIOYO MIGUMU NI KWAUANGAMIVU WETU WENYEWE...

KUMBUKA MUNGU HADHIHAKIWI.. SIO KWAMBA TANZANIA TUMEFANYA MEMA HAPANA ILA KUNYENYEKEA KWA MUNGU NI JAMBO LA LAZIMA KAMA TU TUKITAKA KUPONA.

Wagalatia 6:7
7. Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

MUNGU KWANZA... FEDHA, JEURI, KIBURI, KUJISIFU AU MAISHA BAADAYE...
 
Ka mtu huvuna alichopanda. Maana tukiwalaumu wakenya, kuna watanzania wapo humuhumu wenye mawazo na matendo kama serikali Kenya. Akina Mbowe, ni mfano



MY TAKE: Watanzania, je tuwachukulieje hawa majirani ambao waliongoza dunia katika kutupaka matope na kutuombea mabaya ili Corona itusambaratishe?
 
Juzi watu wamezika Kibaha Mlandizi na Bagamoyo
Ukielekea mitaa ya kusini kusini Mafinga na jirani zao huko ni hatari
Morogoro he?
Watu wanakufa buana acha ubishi
Likikufika uje ukanushe
Corona ni ya kila mmoja tusijuvune kama vile kwetu kuko salama

Ukristu wangu unanituma kuwahurumia sijui wewe imani yako inakufundisha nini
Tuoneshe vyeti,kwni zamani watu walikua hawafi huko kibaha?
 
Kwani kumekuwaje?

Huku kwetu hatutangazi ndio maana hatujui linaloendelea. Corona ipo kila mahali ni wewe halijakufika lakini vifo ni vingi hata huku kwetu.

Usifurahie wanayopitia jirani zetu nadhani tuwahurumie na kuwa support. Shida jirani zetu slums nyingi
Ni wachache wenye maneno ya hekima kwa sasa(pongezi nyingi zikuijie hapo ulipo)
 
Usikariri ya kuambiwa. Slums nyingi unajua unachoongea?
Kateleza sawa kabisa ni kwa kuwa wale wanatangaza,cc kwetu ni kimya Na siri yetu corona IPO Na imechachamaa kama kwingine
 
Mkuu changanya ubongo wako kha
Kenya ni mojawapo ya nchi zenye slums zenye ukubwa ukiunganisha na India Nigeria etc shida iko wapi hapa?
ANATAKA AAMBIWE KUNYALAND HAMNA SLUM NDIYO ATARIDHIKA HAHAHAHAHA MIPUMBAVU BWANA!
 
Kateleza sawa kabisa ni kwa kuwa wale wanatangaza,cc kwetu ni kimya Na siri yetu corona IPO Na imechachamaa kama kwingine
Hahahaha, hata Mbowe atakushangaa, kwasababu havai tena barakoa na anafanya mikutano na kukutana na watu wengi bila " social distancing"

Zitto juzi alikamatwa kule mtwara katika mikusanyiko ya watu wengi, hakuwa amevaa hiyo barakoa. Uliza wale wore waliokua na mawazo kama yako, je wanavaa barakoa?,
 
....kwa kuwa wanaokufa ni kuku si Watanzania, right?
Tangu Corona ikuje, nimeshuhudia familia moja tu ikipelekwa quarantine na waliachiwa tuko nao sawa kabisa. Mimi Kwa sinza, kigogo, mbezi n kariakoo ckuckia kifo hata kimoja, wewe mwenzangu umeskia kifo kutoka wapi ndani ya hizi wiki 2 kilichotokana na Corona na ikathibitishwa?
 
Juzi watu wamezika Kibaha Mlandizi na Bagamoyo
Ukielekea mitaa ya kusini kusini Mafinga na jirani zao huko ni hatari
Morogoro he?
Watu wanakufa buana acha ubishi
Likikufika uje ukanushe
Corona ni ya kila mmoja tusijuvune kama vile kwetu kuko salama

Ukristu wangu unanituma kuwahurumia sijui wewe imani yako inakufundisha nini
Lete chanzo Cha taarifa zako nimezunguka sehemu nyingi mikoani sijaonahivyo vifo wew umetoa data wap.Mungu wetu alishatupigania toka zamani endeleeni kushirikiana na wapagani kwa kufunga makanisa na misikiti muone Kama mtapona.
 
Back
Top Bottom