Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti ebola ni pandemic!
Ww mbona chenga tuuu...sasa Tz haija fwata izo curfew n lockdown mbona watu hawajafa uko mabarabarani km WHO walivy sema wangekufa watu laki moja na ushee....wakowapi hao wafu
 
Umejuaje kama hatua muliochukua ni staiki
Kupima kama kitu ni stahiki unapaswa kutumia standards.Kwa mfano ukitaka unga kilo moja kuna jiwe la kupima hiyo standard.Dunia ilikaa chini ikaamua iunde chombo ambacho kitakuwa kinatoa measures ambazo ni standard linapoibuka gonjwa ambalo ni pandemic na chombo hicho ni WHO.Ugonjwa wa Corona ulipoibuka WHO walitoa measures za kuchukua ambazo ni stahiki(standards) dhidi ya ugonjwa huo.Na kila nchi inapaswa kufuata huo muongozo(hatua stahiki)
 
Umepima kwa kutumia njia gani ya kisayansi ukajua kuwa hatua walizochukua hazijasaidia?Unaelewa kuwa kwa mfano kama leo kenya wanakufa watu watano kwa siku huenda wasingechukua hatua walizochukua sasa hivi wangekufa labda watu ishirini kwa siku?
"Huenda " ni neno linaloonesha kubahatisha huna uhakika na unachohisi , labda nikusaidie walichofanya wazungu : wazungu hawana uhakika kama lockdown ndio sahihi ila walichukua hatua hiyo tu kutokana na hali ilivyo lazima serikali ichukue hatua hata kama wewe mwanao unamuona hawez hesabu lazima utafanya juhudi za kuokota visoda , vijiti ila huna uhakika kama atakua na akili ila ni hatua tu unachukua baadae ukiona hazina maana unaachana nazo na ndio kilichotokea ulaya Kwa akili yako uingereza ilikua inastahili kufunguliwa miji lakini wamevunja lockdown uwe unazingatia usiwe na mawazo ya kitumwa kuwaona wazungu Bora
 
Kupima kama kitu ni stahiki unapaswa kutumia standards.Kwa mfano ukitaka unga kilo moja kuna jiwe la kupima hiyo standard.Dunia ilikaa chini ikaamua iunde chombo ambacho kitakuwa kinatoa measures ambazo ni standard linapoibuka gonjwa ambalo ni pandemic na chombo hicho ni WHO.Ugonjwa wa Corona ulipoibuka WHO walitoa measures za kuchukua ambazo ni stahiki(standards) dhidi ya ugonjwa huo.Na kila nchi inapaswa kufuata huo muongozo(hatua stahiki)
Vyakuambiwa changany na vyako acha akili mgando wew ...au unadhan ilo shirik linaendeshwa n mungu...niwatu n wana interest zao..acha upimbii....kweli akili ndogo bwana
 
Ww mbona chenga tuuu...sasa Tz haija fwata izo curfew n lockdown mbona watu hawajafa uko mabarabarani km WHO walivy sema wangekufa watu laki moja na ushee....wakowapi hao wafu
Umefanya tafiti gani za kisayansi na za kisocial ukagundua kuwa watu hawajafa kwa maelfu?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili ni ngumu sana kupata taarifa?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili kama Tanzania ni marufuku kutangaza kuwa mtu amekufa kwa Corona?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili vyombo vya habari vinawekwa mfukoni na mtu mmoja?Unaelewa kuwa katika mazingira kama haya mtu akifa kwa Corona huko Kishumundu au Namtumbo huwezi kamwe kujua?
 
Vyakuambiwa changany na vyako acha akili mgando wew ...au unadhan ilo shirik linaendeshwa n mungu...niwatu n wana interest zao..acha upimbii....kweli akili ndogo bwana
Hapa tunatembea ndani ya facts ambazo ni lazima tuziamini, hata mawe ya kupimia kilo za bidhaa huwa yanapiga kutu na kupungua grams kadhaa lakini hilo halizuii kamwe watu kwenda madukani kununua unga,mchele,sukari na kadhalika!
 
Umefanya tafiti gani za kisayansi na za kisocial ukagundua kuwa watu hawajafa kwa maelfu?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili ni ngumu sana kupata taarifa?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili kama Tanzania ni marufuku kutangaza kuwa mtu amekufa kwa Corona?Unaelewa kuwa kwenye hizi nchi zenye umasikini wa akili vyombo vya habari vinawekwa mfukoni na mtu mmoja?Unaelewa kuwa katika mazingira kama haya mtu akifa kwa Corona huko Kishumundu au Namtumbo huwezi kamwe kujua?
Ivi wewe mbna km mtot kwani umesha sahau kuwa hili tatizo ni pandemic? Should i quation your brain capacity ?....kwahiyo sikuizi pandemic inafichika mbona km naongea n mtot mdogo acha ujinga[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hapa tunatembea ndani ya facts ambazo ni lazima tuziamini, hata mawe ya kupimia kilo za bidhaa huwa yanapiga kutu na kupungua grams kadhaa lakini hilo halizuii kamwe watu kwenda madukani kununua unga,mchele,sukari na kadhalika!
Acha mifano wa vijiweni ..usinilete utot ...ukwel unabaku kuwa ukwel either you bend toward the truth or live in denial very simple...
 
Hapa tunatembea ndani ya facts ambazo ni lazima tuziamini, hata mawe ya kupimia kilo za bidhaa huwa yanapiga kutu na kupungua grams kadhaa lakini hilo halizuii kamwe watu kwenda madukani kununua unga,mchele,sukari na kadhalika!
Hakuna fact unayo leta zaid ya utot ulioungana n siasa...
 


MY TAKE: Watanzania, je tuwachukulieje hawa majirani ambao waliongoza dunia katika kutupaka matope na kutuombea mabaya ili Corona itusambaratishe?

hako kadada kanakotoa ripoti ,,cjui ndo waziri ,,ni kazuri kweli....Mungu fundi kweli
 
Labda nyani zinakufa tz maana sisi hata habari ya korona tumesha sahau ,,,,
Mbna kitambo tu!!hata jiwe kwahasema tayari, mtu akifa haina haja apimwe corona..so muache kulia lia mnapoambiwa watu wanakufa kw kukosa hewa..

Ama unataka kusema watu tz hawafi[emoji23][emoji23]
 
Kwani Tanzania haijaripoti? Kama hujui kuhusu Tanzania ngoja nikusaidie bcmara ya mwisho mwezi huu uliopita wazir mkuu alitanga Tanzania kuna wagonjwa 66 ugonjwa ujaisha endeleeni kuchukua tahadhar na Rais kila cku ndio neno lake endeleeni kuchukua taadhari ugonjwa haujaisha

Kwa hiyo sasa hivi unakubali kuwa waziri mkuu wa Tanzania kutangaza kuwa visa ni 66 tu huo siyo uthibitisho wa kisayansi kwamba Tanzania hakuna wagonjwa wengi sana?
 
Wewe wacha ujinga wako, sisi wote sio wavuta bhangi kama wewe, kwanini unakua mpumbavu kiasi hicho?, Mara useme Pandemic, umebanwa huko unaleta blah, blah za kisiasa, wacha ujinga wewe.

Pandemic haina maana nchi zote zitaathirika duniani, haijawahi kutokea Pandemic yoyote ile ambayo nchi zote duniani zimeathirika, lazima kuna nchi zinapona.

Haina maana kwamba nchi Jirani ikiathirika, lazima nayo pia ipate maambukizi, hata kama itapata maambukizi, sio lazima maambukizi yalingane.

South Africa inaongoza kwa maambukizi, Afrika, lakini majirani zake wote, ikiwemo Lesotho ambayo inezungukwa na South Afrika, hata 100 hawajafikisha.

Jaribu kutumia akili wacha kujiaibisha.
Hahahha!!umejuaje km mpo wachache na wakati hampimi..
Tz haina corona bana, na tangia muache kutoka data hakujafa hata mtanzania mmoja..
Watu wanangoja corona iishe ndio wafe ili isionekane si corona iliyowaua, manake tayari mtu akifa hko hapimwi corona..

Nasistiza tena, tangia tz iachw kutoa ripoti kuhusu corona, watu hawafi
 
Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakumbwa na Corona?Unaelewa kuwa suala la kuripoti visa vya Corona ni la kisiasa na ni la uamuzi wa nchi tu?Yaani nchi fulani inaweza kuamua kutangaza visa sahihi au ikaamua kutangaza visa ambavyo siyo sahihi?
Ripotini hao watu wanaokufa hapo ufipa basi. Kwani tatizo liko wapi?
 
Acha mifano wa vijiweni ..usinilete utot ...ukwel unabaku kuwa ukwel either you bend toward the truth or live in denial very simple...
Wewe unadai kuwa WHO siyo wa kuwaamini kwa sababu ni shirika linaloendeshwa na watu, na watu huwa wana interest zao.Kwa hiyo hata serekali ya Tanzania tusiiamini kwa sababu inaendeshwa na watu,na watu huwa wana inteterest zao?
 
Wewe unadai kuwa WHO siyo wa kuwaamini kwa sababu ni shirika linaloendeshwa na watu, na watu huwa wana interest zao.Kwa hiyo hata serekali ya Tanzania tusiiamini kwa sababu inaendeshwa na watu,na watu huwa wana inteterest zao?
Ww kwani umelew au...unafananisha nchi na shirika....aisee ungekuwa mwanangu ningekunyuka leo...hivyo nivitu viwil tofaut lakini vyote vina exist sabab y interest flan...mfano serikal iliweka bayan interest zake ndio ikachaguliw.....lkn ilo shirika mwekezaj mkubwa ndio mwenye sauti....huna ulijualo....
 
Wewe unadai kuwa WHO siyo wa kuwaamini kwa sababu ni shirika linaloendeshwa na watu, na watu huwa wana interest zao.Kwa hiyo hata serekali ya Tanzania tusiiamini kwa sababu inaendeshwa na watu,na watu huwa wana inteterest zao?
Hujajib swali kwaiyo Tz inaweza kuficha pandemic?
 
Mbna kitambo tu!!hata jiwe kwahasema tayari, mtu akifa haina haja apimwe corona..so muache kulia lia mnapoambiwa watu wanakufa kw kukosa hewa..

Ama unataka kusema watu tz hawafi[emoji23][emoji23]
Ushaolewa
 
Back
Top Bottom