joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Ndio sababu nikakuambia jambo lenyewe kwasababu ni "Tetesi", liendelee kubaki kuwa Tetesi, hatupaswi kupoteza nguvu zetu kwa jambo ambalo bado ni Tetesi.kwani nani anaye reveal takwimu officially Tanzania?
kwa kufanya hivyo tafsiri yake wameruhusu watu watafute taarifa wenyewe na kuzipa majina kama "tetesi", nk and you can't blame them!