Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Corona: Kenya hali ni mbaya sana. Serikali huenda ikasalimu amri hivi karibuni

Wewe wacha ujinga wako, sisi wote sio wavuta bhangi kama wewe, kwanini unakua mpumbavu kiasi hicho?, Mara useme Pandemic, umebanwa huko unaleta blah, blah za kisiasa, wacha ujinga wewe.

Pandemic haina maana nchi zote zitaathirika duniani, haijawahi kutokea Pandemic yoyote ile ambayo nchi zote duniani zimeathirika, lazima kuna nchi zinapona.

Haina maana kwamba nchi Jirani ikiathirika, lazima nayo pia ipate maambukizi, hata kama itapata maambukizi, sio lazima maambukizi yalingane.

South Africa inaongoza kwa maambukizi, Afrika, lakini majirani zake wote, ikiwemo Lesotho ambayo inezungukwa na South Afrika, hata 100 hawajafikisha.

Jaribu kutumia akili wacha kujiaibisha.
Maana wewe umeuliza swali la kipumbavu eti ugonjwa uwe Kenya Tanzania kue hakuna ndio maana nikakutolea mfano huo wa nzige mbona Tanzania ipo karibu na Kenya lakin hamna bc usishangae ukiambiwa korona Tanzania ipo ila Kwa kiwango kidogo Sana na pia sisi wagonjwa tunawatibia wanapona ila ninyi akili zenu zimelala Kwa mzungu munasubiri dawa ya mzungu munapima tu bc
Hao ndio eti wanataka tuwapigie kura washike dola ili watuongoze [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unachekesha sana mkuu!Unaelewa maana ya ugonjwa kuwa pandemic?Unalinganisha ukabila,ugaidi,ujambazi,uhalifu na Corona ambayo ni pandemic?!Umeona ulivyothibitisha mwenyewe kuwa wewe ni mpumbavu sasa?Ninyi ndiyo mnang'ang'ania kuongoza nchi kwa akili hizi za kulinganisha ujambazi na Corona ambayo ni pandemic?!
Mkuuu hivi mwaka huu chadema kitamsimamisha mbowe au lissu kugombea uraisi
 
Unachekesha sana mkuu!Unaelewa maana ya ugonjwa kuwa pandemic?Unalinganisha ukabila,njaa,ebola,nzige na Corona ambayo ni pandemic?!Umeona ulivyothibitisha mwenyewe kuwa wewe ni mpumbavu sasa?Ninyi ndiyo mnang'ang'ania kuongoza nchi kwa akili hizi za kulinganisha njaa na ugonjwa ambao ni pandemic?!
Kwaiyo ebora siyo pandemic...we mbona km mtot hivyo
 
Maana wewe umeuliza swali la kipumbavu eti ugonjwa uwe Kenya Tanzania kue hakuna ndio maana nikakutolea mfano huo wa nzige mbona Tanzania ipo karibu na Kenya lakin hamna bc usishangae ukiambiwa korona Tanzania ipo ila Kwa kiwango kidogo Sana na pia sisi wagonjwa tunawatibia wanapona ila ninyi akili zenu zimelala Kwa mzungu munasubiri dawa ya mzungu munapima tu bc
Unaelewa kuwa siyo sahihi kulinganisha ugonjwa ambao ni pandemic na janga la nzige?
 
Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakumbwa na Corona?Unaelewa kuwa suala la kuripoti visa vya Corona ni la kisiasa na ni la uamuzi wa nchi tu?Yaani nchi fulani inaweza kuamua kutangaza visa sahihi au ikaamua kutangaza visa ambavyo siyo sahihi?
Viongozi wetu wanajielewa Sisi tulichukulia korona sio ugonjwa bali ni vita sasa hatukuchagua silaha wala hatuna dharau kama ninyi , hata kama Kenya ingetangaza muna dawa tungekuja kuchukua tuangalie inasaidia au la kama tulivyofanya Kwa Madagascar kanchi kadogo hatujakidharau tumechukua tumefanyia uchunguzi tumegundua ya kwetu ni bora zaidi ila Kwa kua mabeberu wanapenda kujiona wao bora tukaona tusiitangaze tusipigwe mawe kama Madagascar ila majibu wanayapata wanabaki kumpongeza tu magufuri Kwa jinsi alivyokabiliana na korona hawampongeze Uhuru waliompa mwongozo ndio ujue kama hawa ndumilakuwili.
 
....kwa kuwa wanaokufa ni kuku si Watanzania, right?
Yani ujinga ni mwingi sn kwajil y siasa ....wew mbna km umevurugwa hivyo kwaiyo iyo korona sasa ipo n inaua uko unapopajua wew tu siyo....alafu inajificha au...?tumia akili acha kutumia matope n ukawa kipof kisa siasa
 
Viongozi wetu wanajielewa Sisi tulichukulia korona sio ugonjwa bali ni vita sasa hatukuchagua silaha wala hatuna dharau kama ninyi , hata kama Kenya ingetangaza muna dawa tungekuja kuchukua tuangalie inasaidia au la kama tulivyofanya Kwa Madagascar kanchi kadogo hatujakidharau tumechukua tumefanyia uchunguzi tumegundua ya kwetu ni bora zaidi ila Kwa kua mabeberu wanapenda kujiona wao bora tukaona tusiitangaze tusipigwe mawe kama Madagascar ila majibu wanayapata wanabaki kumpongeza tu magufuri Kwa jinsi alivyokabiliana na korona hawampongeze Uhuru waliompa mwongozo ndio ujue kama hawa ndumilakuwili.
Umeandika blah blah mingi ila hujajibu swali langu!Nimekuuliza hivi:Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakumbwa na Corona?
 
Hata huku Tz ipo na inaua! Tofauti yetu na Kenya ni kwamba sisi tumeamua kuficha ndio maana unaona kama hamna maambukizi.
Tuombe Mungu tu hili janga lipite ama ipatikane chanjo
Ivi wewe ni akili imechoka au ndio uvivu wa kufikiri washindwe marekani n china kuficha ije ifiche Tz ? Kwel ww bongo lala bure kabisa
 
Wewe wacha ujinga wako, sisi wote sio wavuta bhangi kama wewe, kwanini unakua mpumbavu kiasi hicho?, Mara useme Pandemic, umebanwa huko unaleta blah, blah za kisiasa, wacha ujinga wewe.

Pandemic haina maana nchi zote zitaathirika duniani, haijawahi kutokea Pandemic yoyote ile ambayo nchi zote duniani zimeathirika, lazima kuna nchi zinapona.

Haina maana kwamba nchi Jirani ikiathirika, lazima nayo pia ipate maambukizi, hata kama itapata maambukizi, sio lazima maambukizi yalingane.

South Africa inaongoza kwa maambukizi, Afrika, lakini majirani zake wote, ikiwemo Lesotho ambayo inezungukwa na South Afrika, hata 100 hawajafikisha.

Jaribu kutumia akili wacha kujiaibisha.
Bro atumie akili anayo Kwanza? Ndio maana nikamtolea mfano wa nzige Kenya ni janga lakin Tanzania hamna hata mmoja na wanauwezo wa kuruka kilomota 100 Kwa saa lakini wapo India sasa kama Kenya kilakitu ikiathirika lazima jirani apate sawa na Kenya au azidi mbona hatuna zige .unajua humu ndio hatuonani tu lakin tungekuwa tunaonana kuna watu cjui kama wagejibiwa baada ya kutoa hoja zao maana unajua kabisa kama huyu si wakumjibu ila hii Jf inastili watu
 
huwezi kuona wahanga wa korona kwa sababu unashabikia blindly wanaokupa pilau, tisheti na kofia za dezo.

unaowashabikia kwa zawadi za pilau, tisheti na kofia wana sifa hizi:

1) wanaona sawa mtuhumiwa wa matrilioni (Kangi) kuwa huru mtaani lakini kijana (Magoti) anayetuhumiwa kwa 17M tu yupo selo miezi 6 sasa
2) wanamshinikiza polisi (Mroto) aseme uongo dhidi ya Mbowe kinyume na kauli yake ya awali
3) wakazi wa maeneo ambayo wananchi hawakumpa rais kura wamevunjiwa makazi yao huku wale wengine wakiachwa
4) toilet pepa za Musiba (Tanzanite, nk) zinaachiwa zitukane ba kutishia watu lakini magazeti mengine yanafungiwa hovyo
5) nk, nk, nk

ndugu, amka upone - achana na pilau, tisheti na kofia!
Hapo ndio utajua bongo chenga nyingi sana yani ww unaongelea korona unaleta mada nyingine ....wapi watu wanapo kufa kwa korona?...Tz
 
Upo sahihi,maana ya pandemic ni kwamba zile nchi ambazo hazichukui hatua stahiki kama Tanzania zitaathirika sana na zile ambazo zinajitahidi kuchukua hatua stahiki kama Kenya zitaathirika kidogo
Shida mliokua nayo wakenya ni moja tu ndio maana tunakosana kila cku , shida kuwaamini wazungu kupita kiac bc , hivi utanambiaje Kenya imechukua hatua staiki wakati hizo hatua hazijasaidia
 
Tatizo walituombea tupukutike sana, walituita Italy ya East Africa, sasa watu kama hao unataka tuwahurumie?.

Wewe hiyo ya watu kufa upo maeneo gani ya Tanzania?, kama vyuoni na mashuleni hakuna taarifa za watu kufa, wala wachezaji wa mpira wanaocheza ligi ya EPL hakuna hata mmoja anayeunwa, au hata timu za ligi kuu pia zinaficha?
Waliwaombea wapi? Huku mitandaoni? Mitandaoni ni kakikundi ka watu hata m5 hawafiki. MUNGU awaponye na hili janga.
 
Shida mliokua nayo wakenya ni moja tu ndio maana tunakosana kila cku , shida kuwaamini wazungu kupita kiac bc , hivi utanambiaje Kenya imechukua hatua staiki wakati hizo hatua hazijasaidia
Umepima kwa kutumia njia gani ya kisayansi ukajua kuwa hatua walizochukua hazijasaidia?Unaelewa kuwa kwa mfano kama leo kenya wanakufa watu watano kwa siku huenda wasingechukua hatua walizochukua sasa hivi wangekufa labda watu ishirini kwa siku?
 
Upo sahihi,maana ya pandemic ni kwamba zile nchi ambazo hazichukui hatua stahiki kama Tanzania zitaathirika sana na zile ambazo zinajitahidi kuchukua hatua stahiki kama Kenya zitaathirika kidogo
Toka nisome concept za watu ww ndio kichwa iliyo jaa maji...na msafu wa siasa....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeandika blah blah mingi ila hujajibu swali langu!Nimekuuliza hivi:Unaelewa kuwa nchi kutokuripoti hata mgonjwa mmoja siyo kithibitisho cha kisayansi kuwa hiyo nchi haijakumbwa na Corona?
Kwani Tanzania haijaripoti? Kama hujui kuhusu Tanzania ngoja nikusaidie bcmara ya mwisho mwezi huu uliopita wazir mkuu alitanga Tanzania kuna wagonjwa 66 ugonjwa ujaisha endeleeni kuchukua tahadhar na Rais kila cku ndio neno lake endeleeni kuchukua taadhari ugonjwa haujaisha
 
Back
Top Bottom