babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mwezi wa 6 itaslow down,then august hapo mchakamchaka km kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo self isolation ni hatua nzuri ili ku survive ugonjwa huu.Jamaa atakaa chato mpaka mwezi wa sita?
Siyo JK mkuu ni Mkapa.Kwa hatua za Magu tutafika hata mwakani.
Hivi JK ulimtoa wapi huyu?
Ujerumani ligi imefutwa lini? Wakat iko mbion kuanza mwezi ujao. Iliyofutwa ni ya FranceUjerumani ngoma tayari imefutwa...bado ligi maarufu (epl) tunaisubiri...ila ligi bora (La liga) tayari kila mchezaji ametakiwa apige zoezi soon, ngoma ianze 😀😀😀 Aise tumemmiss sana mwenye mpira wake
Predictions huwa zinatokana na reliable data.Unajua watu wengi wanaweza kuona hizo stats, predictions za dunia ya kwanza na kudhani kuwa zita apply hata huku mashenzini wakati kuna factors kibao hazijawekwa kwenye consideration.
Utafiti huu unatokana na ukusanyaji wa data toka nchi mbali mbali ambazo wanaweka tafiti na takwimu zao wazi.
Acha kutisha watu..kweni we umepata ugonjwa?mbona hujakufa?na yamkini hakuna hata ndugu yako wala rafiki mwenye kesi hiyo nyumbani afu unatisha tisha watu hapa.Hii ngoma tunayo hadi mwakani, chanjo ndio itatuokoa tu
Usiwaamini sana walikuwa wametabiri ligi za Ulaya zitaendelea mwezi April, leo hii zinafutwa
Ufaransa hakuna soka tena hadi Septemba
Haukuhusu kwa kiasi fulani.Kwa sisi tusioweka takwimu wazi huo utafiti hautuhusu sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti anakusanya kodi,yaani nonsense kabisaTatizo supreme leader achukulii serious.
We mpaka sasa vilabu vya pombe,kumbi za starehe n.k,ziko wazi na raia wana enjoy kama hakuna corona.
Ni msibani tu ndio wako serious. Only 10 pipoo ndio wanatakikana kwenye mazishi.
It will take time sio siri.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu naona unauliza na kujijibu mwenyewe.Acha kutisha watu..kweni we umepata ugonjwa?mbona hujakufa?na yamkini hakuna hata ndugu yako wala rafiki mwenye kesi hiyo nyumbani afu unatisha tisha watu hapa.
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Nafikiri itasumbua hadi mwakani hasa tz.View attachment 1434956
Kulingana na utafiti wa kukusanya data.
Chuo kikuu cha Singapore wametoa matokeo ya utafiti juu ya gonjwa la COVID19.
Utafiti huu unatokana na ukusanyaji wa data toka nchi mbali mbali ambazo wanaweka tafiti na takwimu zao wazi.
Utafiti huu unaonyesha kuwa hadi mwezi wa sita tukiendelea kuchukua hatua muafaka kujikinga, ugonjwa huu, COVID19, utakoma mwezi wa sita 2020.
Wanasayansi wetu Tanzania mpo?
Ref:Data-Driven Prediction of COVID-19 Pandemic End Dates
Ujerumani ligi imefutwa lini? Wakat iko mbion kuanza mwezi ujao. Iliyofutwa ni ya France
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja mkuuOoh ni france kamanda, wait ni-edit..ahsante kunikumbusha!
What's the relevance of those predictions to third world countries?
Inaishaje fasta wakati tayari kwao ina zaidi ya miezi miwili? Hakuna siasa wala ubaguzi hapa, huu ni ugonjwa ambao haujalishi level yako ya usafi wala technology. Corona bado ipo, maambukizi ndio yatashuka lakini itabidi tutafute njia za kuishi nayo huku tukifanya kazi kama kawaida.Kwa wazungu Corona itaisha fasta ila kwa Afrika ni big no!
Sisi wazungu hatuamini uchawiPole ndugu, Bruce Globellar aliwaletea mchawi mkamzodoa na anawaambia hampati tena ubingwa hadi......! Mmeshatimiza hayo? Ubingwa kwenu mwaka huu utayeyushwa na coronavirus.
Wakati wengine maambukizi yanapungua siye ndo tutaanza hatua za self isolation na lockdown.
Sisi wazungu hatuamini uchawi