Mabibi na mabwana huyu ndiye aliye tutoa ushamba pale Dodoma majuzi:
Nafasi hizi za kujifunza huwa haziko siku zote.
Janga hili linahitaji jitihada za makusudi sana na hasa kutokea juu.
Eeh mola wetu umjalie mama Samia hekima ya kutambua kwanini umempa wadhifa huu sasa.
Bila shaka huyu ndiye Joshua atakaye tufikisha Canaan hatimaye.
Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.
Nafasi hizi za kujifunza huwa haziko siku zote.
Janga hili linahitaji jitihada za makusudi sana na hasa kutokea juu.
Eeh mola wetu umjalie mama Samia hekima ya kutambua kwanini umempa wadhifa huu sasa.
Bila shaka huyu ndiye Joshua atakaye tufikisha Canaan hatimaye.
Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.