Vipi yeye amechanja mkuu?
Vipi yeye amechanja mkuu?
Kumbe?
Uhuru Vaccinated on Live TV
President Uhuru Kenyatta was on Friday, March 26, vaccinated in full glare of the cameras at State House, Nairobi.www.kenyans.co.ke
KumbeUnamaana nimechanjwa chale kama ulizonazo?
View attachment 1735630
Aliyekuwa na funguo mlangoni umemsahau?
Mkuu usijibizane na hili zwazwa lina ugonjwa wa kuiwaza Corona masaa 24. Alisikitika wiki nzima story zilipokuwa ni msiba wa JPM tu. Sasa hivi karudi tena na Corona yake.Kumbe
Kumbe
Mkuu usijibizane na hili zwazwa lina ugonjwa wa kuiwaza Corona masaa 24. Alisikitika wiki nzima story zilipokuwa ni msiba wa JPM tu. Sasa hivi karudi tena na Corona yake.
Nenda kachanjwe kama unataka kenya ni jirani sana. Huku hizo chanjo hatutaki.
Wewe nenda kadungwe hilo chanjo.Kwani wewe nani?
Hamtaki wewe na nani?
Biashara yako ya majeneza inaimarika sana eeh?
Mkuu huyu chizi ni wa kumhurumia tu. Huwa hana fikra nyingine kichwani mwake zaidi ya Corona. Anatamani watu wakae wanaimba Corona tu. Uzuri watu wameshamuona kama chizi na Corona zake.Nenda kachanjwe kama unataka kenya ni jirani sana. Huku hizo chanjo hatutaki.
Wewe nenda kadungwe hilo chanjo.
Hatutakaa tupokee chanjo za Corona kama unataka nenda Kenya ukachanjwe, usifikiri watanzania wote ni WAPUMBAVU kama wewe.Kwani wewe nani?
Hamtaki wewe na nani?
Biashara yako ya majeneza inaimarika sana eeh?
Mkuu huyu chizi ni wa kumhurumia tu. Huwa hana fikra nyingine kichwani mwake zaidi ya Corona. Anatamani watu wakae wanaimba Corona tu. Uzuri watu wameshamuona kama chizi na Corona zake.
Unaonekana huna kazi unashinda unaokoteza upumbavu wowote kuhusu Corona, mbona huleti taarifa za nchi kibao za ulaya kusitisha chanjo ya Corona jinsi usivyo na akili!???... Nakuhakikishia story za Corona ndo zimeshaenda na upepo, jiandae kukosa story za kuleta kuhusu Corona. Utajikuta unagongewa mpaka mke kisa kuiwaza CORONA.Kwamba ni wapuuzi hawa:
View attachment 1735663
Alikuwapo mpiga tantalila kuliko huyu?
View attachment 1735661
Uko vizuri komaa hapo hapo.