Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Watanzania wanashabikia mambo ya kijinga sana. Wanadhani hatua za mapambano ya Corona kule Kenya zimelenga watanzania na Tanzania, wanasahau kabisa hata huko Kenya kuna miji imefungwa kabisa, raia wa Kenya huwezi kuingia wala kutoka, na kuna wakenya wengi hilo linawaumiza.
Sasa itakuwaje kwa mgeni unayetoka kwenye nchi yenye maambukizi ya holela kama Tz uingie tu Kenya bila kuwekewa vikwazo?
Sasa itakuwaje kwa mgeni unayetoka kwenye nchi yenye maambukizi ya holela kama Tz uingie tu Kenya bila kuwekewa vikwazo?