Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Kweli wewe ndio wale waliokomaa kuanzia shingoni kuja chini , Kenya izalishe chakula kuliko Tanzania Kisha wauze nje chote harafu waanze kuangaika kutafuta chakula miaka yote hiyo c maneno ya uchizi haya!!
Unaakili kama njegere hujui Tanzania tunafaidika na kuuza chakula nje ya nchi mfano kenya. Nani kakwambia Kenya hawazalishi chakula Kwa akili yako fupi unafikiri Tanzania ndio nchi inayoongoza Kwa kuzalisha chakula Dunia. Kenya wanazalisha chakula kingi kutupia Sisi sema wao wanaexport baadhi ya vyakula kwenda nchi za nje .Tukilipoteza soko la kenya ni ngumu kulirudisha kwasababu nchi giant za kuzalisha chakula kama za ulaya ,Asia na American watachukua Hilo gap. Kwa hapo endapo mpaka ukafungwa wakuumia zaidi ni Mtanzania kuliko mkenya

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatutegemei Kenya kuuza mazao,mwaka juzi kama sijakosea,mlileta ujinga,tukauza mahindi kwa shirika la WFP,na solo mwaka litakuwa kubwa sana kwa sababu kuna njaa,pia kuna SADC!TZ has nothing to loose.
BS. Mkulima wa vitunguu Arusha au mkulima wa machungwa Tanga aache soko la uhakika jirani kwa kutegemea SADC? Think!
 
Wewe ndio hauna akili unafikiri ni Vizuri kuzuia kupeleka bidhaa kama chakula nje ya nchi. Nchi inatafuta foreign currency wewe unasema eti kuzuia kuuza chakula nje ya nchi. Kwa akili yako unafikiri Tanzania inazalisha chakula kingi zaidi duniani bila kujua bado tunalima kizamani na poor technology

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavu sipaswi kukujibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina wacwac atakua bado atakua analishwa na cku akifanya kosa ananyinwa chakula na kulala na njaa huyu, maana hana chochote anachokijua mpaka huruma
Hakuna foreign currency Kenya acha umbulula eti foreign exchange.

Hivi pesa ya Kenya tunaeza ichukua Marekani kuinunulia Boeing? Hujui hata maana ya foreign currency fundamentals

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not true, Tanzanians agricultural products have huge markets in Southern African countries and DRC, we can't even satisfy their demands, we don't need Kenyan market, that's why Government of Kenya sent their officials humbly on their knees to request for maize.

Sent using Jamii Forums mobile app
The issue of CORONA testing is being exercised by all our neighbors; we need to send drivers who have tested NEGATIVE otherwise we have to feed PIGS with our agricultural produce.
 
Unaakili kama njegere hujui Tanzania tunafaidika na kuuza chakula nje ya nchi mfano kenya. Nani kakwambia Kenya hawazalishi chakula Kwa akili yako fupi unafikiri Tanzania ndio nchi inayoongoza Kwa kuzalisha chakula Dunia. Kenya wanazalisha chakula kingi kutupia Sisi sema wao wanaexport baadhi ya vyakula kwenda nchi za nje .Tukilipoteza soko la kenya ni ngumu kulirudisha kwasababu nchi giant za kuzalisha chakula kama za ulaya ,Asia na American watachukua Hilo gap. Kwa hapo endapo mpaka ukafungwa wakuumia zaidi ni Mtanzania kuliko mkenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatia aibu saaana!!!
 
Watanzania wanashabikia mambo ya kijinga sana. Wanadhani hatua za mapambano ya Corona kule Kenya zimelenga watanzania na Tanzania, wanasahau kabisa hata huko Kenya kuna miji imefungwa kabisa, raia wa Kenya huwezi kuingia wala kutoka, na kuna wakenya wengi hilo linawaumiza.

Sasa itakuwaje kwa mgeni unayetoka kwenye nchi yenye maambukizi ya holela kama Tz uingie tu Kenya bila kuwekewa vikwazo?
Wewe kwanza Nchi yako tu huifahamu
Labda Mzanzibar kuijua Bara ngumu sana
Hivi Nani alikudanganya chakula kingi cha Tanzania kinaingia kenya!
 
Jamaa hata simu hapokei, shauri yenu akigoma kupeleka chakula mtaingia gharama kubwa kufuta huko kwingine na janga hili nchi nyingi zinaangalia uzalishaji wa chakula cha ndani kwanza.
 
Jamaa anachoandika Kama alikufa miaka mingi kwahiyo kafufuka eti America na Asia eti wachukue soka la Kenya wakati kila mwaka wanawasaidia chakula Kama mchele na unga bureee . Hajielewi kweli huyu. Alishawahi sikia Tanzania imepewa msaada wa unga na China
Unatia aibu saaana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatutegemei Kenya kuuza mazao,mwaka juzi kama sijakosea,mlileta ujinga,tukauza mahindi kwa shirika la WFP,na solo mwaka litakuwa kubwa sana kwa sababu kuna njaa,pia kuna SADC!TZ has nothing to loose.
Nchi gani ya SADC unauza chakula expensive kuliko Kenya!!
Unacompare kuuza food nchi kama Zimbabwe sijui Mozambique na KENYA,
Wakulima wenu wanaprefer Kenya juu ya high prices,
PERIOD.
 
Back
Top Bottom