Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Boda kati ya Kenya na Tz ilifungwa kwa miaka saba, na uchumi wa Kenya haukutikisika. Kumbuka waganda ndio wanauza bidhaa nyingi Kenya, zaidi ya watz.
Kenya na Uganda zote zinategemea chakula toka Tanzania, Uganda hawajitoshekezi kwa mchele, lazima waagize toka Tanzania. Tunazungumzia bidhaa muhimu kama Chakula, sio maziwa ambayo nchi inaweza kuishi bila maziwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sasa sisi tukibaki na mavyakula yetu uchumi ndiyo utapanda? Yatakuozea na kuingia hasara tu
Hivi kwanini hamtumii akili?, chakula sasa hivi ni bidhaa adimu sana katika ukanda huu, karibu nchi zote zinahitaji chakula, au unadhani ni Kenya pekee ndio wenye njaa?. WFP pekee wanaweza kununua zaidi ya 80% ya chakula chetu cha ziada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe kinachakwenda Kenya ni sehemu ndogo ya sana ya kinachokwenda kusini.

Japo hii sentesi yako imekaa kiupande upande kama akili zako ila unaweza kuwa umefunga huu mjadala kwa jinsi unavyojichanganya mwenyewe.
Kwasababu hujui dunia inavyokwenda, chakula cha Tanzania kwa muda mrefu kimekua kikiuzwa zaidi DRC na nchi za kusini mwa Africa, WFP walikua hawanunua kwa sababu hatukua na kiwango cha kutosha wanachohitaji, kumbuka Mara kwa Mara Serikali yetu ilikua ikipiga marufuku uuzaji wa chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula, hicho chakula ulichokua unakiona kikienda Kenya, ni sehemu ndogo sana ya kinachokwenda kusini mwa Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo kusini na bado wakulima wanaleta vyakula Kenya.
Kwanza siku hyo sokoni yakija malori ya tanzania na kenya kw pamoja jamaa huaga wanakimbilia ya kenya..

Uliza mtu wa mombasa akupe utofauti wa tomato, machungwa, vitunguu saumu viazi, tomato nk. Vya kenya na tanzania bora ni gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wakulima mnaowaona wanakuja huko, ni chini ya 5% ya wakulima wa Tanzania, wengi wao hutokea mikoa Jirani na Kenya, hawapendi kusafirisha bidhaa zao kwenda kusini mwa Africa kutokana na umbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini lazima wanunue nchini kwako?
Mchele unazalishwa na nchi nyingi sana duniani na unauzwa bei rahisi kote duniani.
Kenya na Uganda zote zinategemea chakula toka Tanzania, Uganda hawajitoshekezi kwa mchele, lazima waagize toka Tanzania. Tunazungumzia bidhaa muhimu kama Chakula, sio maziwa ambayo nchi inaweza kuishi bila maziwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini lazima wanunue nchini kwako?
Mchele unazalishwa na nchi nyingi sana duniani na unauzwa bei rahisi kote duniani.
Hili swali unapaswa kuwauliza hao wanaokuja kununua Tanzania, ninakushauri uanze kuwauliza WFP kwanza, kwanini wameamua kununua chakula Tanzania wakati kuna nchi nyingi zinazozalisha chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siijui.....umeuza mara ngapi huko wakulima wako wakanufaika?

Southern African Development Community naijua kuliko hata wewe
hamna unachojua kama unavyojinadi.kama unakumbuja mwaka 2016 ni soko lipi la mahindi lilifungwa likasababisha mhindi kufurika,mpaka ghala la taifa,kwa hoja za serikali kwamba wakulima wanauza mpaka chakula binafsi.

hivi mwenye chakula na mwenye pesa nani ana kiburi zaidi ya mwingine!!!maana mlizungumza haya hata kwa zambia kwamba kwa pesa zao wangeshift beira,wote mashahidi nini kinaendelea.

kenya ni kama mwanamke aliyepandwa na mzuka wa kucheza mziki,akiwa kasahau hajavaa chupi.
 
Duh... Watanzania tuache roho mbaya, tuache ukaidi, tushirikiane na wenzetu kukabiliana na virusi vya korona
Weye unataka tufanye nini buji, tufanye lockdawn km wengine walivyofanya, au tutoe taharifa za kuwapa watu hofu km za wenzetu, tushaambiwa wacha tuishi nao km ukimwi na magonjwa mengine maisha yaendelee.
Mie nawapongeza Watanzania kwa ujasiri Mkubwa.
 
Kama kweli huo upimaji unaolalamikiwa na madereva ni wa kweli aisee binafsi ningemvunja mtu miguu.

Yawezekana watu wanaambukizwa kwa makusudi tu ndo maana tunatajiwa takwimu za kibabe hapo border.

Unamchokonoa mtu koo then unaendelea na mwingine bila ku-sanitize hicho kifaa karne ya 21!!

Hizo ni hujuma,hao jamaa hawafai.
 
Hili swali unapaswa kuwauliza hao wanaokuja kununua Tanzania, ninakushauri uanze kuwauliza WFP kwanza, kwanini wameamua kununua chakula Tanzania wakati kuna nchi nyingi zinazozalisha chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa wamesahau mara kibao hapa huwa wanatucheka kwa kuwauzia raw products.leo wamekaza matako eti[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Kama kweli huo upimaji unaolalamikiwa na madereva ni wa kweli aisee binafsi ningemvunja mtu miguu.

Yawezekana watu wanaambukizwa kwa makusudi tu ndo maana tunatajiwa takwimu za kibabe hapo border.

Unamchokonoa mtu koo then unaendelea na mwingine bila ku-sanitize hicho kifaa karne ya 21!!

Hizo ni hujuma,hao jamaa hawafai.
Haya mambo yanahitaji utulivu sana.vinginevyo huwezi kuyaelewa mkuu.hongera kwa kutafakari.

Haingii akilini mkenya, mzambia, mnyarwanda,mganda-wote wanatangaza madereva kadhaa wa corona kutokea huku!!!, kwamba tunawahujumu ama vip!!!
 
Back
Top Bottom