YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Corona Tanzania ni vita kati ya Mungu na wasiomwamini kuwa aweza shinda Corona Mungu atashinda hajawahi shindwa
Wasiomwamini wanachekelea wakisikia tetesi kuwa kuna Corona wanahoji Mungu kuwa nyie mliojitia kuomba kiko wapi ? Shetani mleta Corona kamshinda Mungu huyo Mungu wenu bure kabisa.
Hii vita Mungu wa Tanzania ataibuka mshindi tena kwa knock out
Wazungu wajiandae kutushangaa Watanzania kwa ushindi mnono awamu hii tena.
Tanzania kwa sasa ndio taifa teule limeibwaga Maka na Medina na Vatican na Israel kwenye vita dhidi ya Corona kwa kumtumia Mungu yaani using God factor on war against Corona a weapon that other countries have rejected.
Wasiomwamini wanachekelea wakisikia tetesi kuwa kuna Corona wanahoji Mungu kuwa nyie mliojitia kuomba kiko wapi ? Shetani mleta Corona kamshinda Mungu huyo Mungu wenu bure kabisa.
Hii vita Mungu wa Tanzania ataibuka mshindi tena kwa knock out
Wazungu wajiandae kutushangaa Watanzania kwa ushindi mnono awamu hii tena.
Tanzania kwa sasa ndio taifa teule limeibwaga Maka na Medina na Vatican na Israel kwenye vita dhidi ya Corona kwa kumtumia Mungu yaani using God factor on war against Corona a weapon that other countries have rejected.