Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

Corona: Tusinyoosheane vidole. Kama unaweza kusaidia, please do. Usisubiri uombwe - jitokeze saidia, vinginevyo nyamaza!

Yaani kwa wiki kadhaa mmekuwa mkitetea upumbavu... ndiyo, UPUMBAVU halafu mnasema tusinyoosheane vidole?!

Ni upumbavu kwa sababu mtu ukielimishwa kwamba 1+1 = 2 halafu bado mtu akawa anang'ang'ania kwamba 1+1 = 11, mtu kama huyo ni mpumbavu tu na si vinginevyo!

Kama ambavyo misukule ya Lumumba ilivyokuwa inanyoonshea watu vidole kuhusu mkopo wa World Bank, ndivyo ambavyo katu hatutaacha kuwanyooshea vidole wale wote waliokuwa wanatetea upumbavu ambao hatimae ndio umetufikisha hapa!

Mlikuwa mnapiga vigelegele kwamba ni kweli kuzuia international flights kutaharibu biashara ya utalii halafu bado mnataka tusiwanyooshee vidole?!

Kila mwenye akili alifahamu kabisa njia nyepesi ya kukabiliana na corona ni kuzuia watalii na ndege kutoka nje kuingia nchini lakini kwa makusudi mkaamua kum-support Magufuli huku hakuna cha maana kinachowasukuma zaidi ya siasa za kipumbavu na ukabila manake kuna baadhi ya Wasukuma wanachukulia urais wa Magufuli ni kama urais wa Wasukuma wote, na kwahiyo wana wajibu wa kuulinda kwa nguvu zote, pamoja na mambo mengine kuunga mkono na kutetea kila kinachosemwa na kufanywa Msukuma mwenzao... SHAME ON Y'ALL!!

Ni kutokana na ukweli huo ndio maana haikushangaza kusikia mtu kama Gwajima akihamasisha Wasukuma kusimama na Magufuli!!

Katika ku-justify unabii wa kitapeli wa Magufuli mara kwa mara mmemkuwa mki-justify kwa hoja ya lockdown wakati kuna mambo mengi ya kipumbavu bado yanaendelea na bado mnashangalia halafu mnasema tusiwanyooshee vidole?!

Mlikuwa mnamsifia Magu kwamba ni kiongozi wa mfano ktk kupambana na coronavirus wakati kila mwenye akili timamu alifahamu Magu alikuwa anacheza na moto jirani na petrol halafu leo mnasema tusiwanyooshee vidole?!
 
Pascal Mayalla,
...hizi ndizo nondo zako hongera kwa kuitendea haki taaluma yako....kwa kalamu yako unaweza kuikinga jamii na maambukizi ya covid-19 kuliko wanaotoa mabilion mbele za camera yanaweza kuyeyuka Kama yale ya tetemeko.

Kama Kuna uzembe umefanyika kwa kiburi cha watu acha tuendelee kulaumiana na wananchi tutachukua hatua wakati ukifika kuwaadhibu wahusika dunia inahaha eti sisi tunaita ka ugonjwa kadogo!!! hivi tunathamini maisha ya wananchi wetu kweli au tunataniana?

Tutawambia lugha gani watuelewe watoto wanaopoteza wazazi wao kwa ka ugonjwa kadogo haka!
 
Pascal Mayalla, Corona imekuja kusawazisha mambo, hakuna cha muuaji wala mpigwaji. Wote sasa tunashambuliwa na ndo tunaona watesi wetu mkianza kutangaza Tanzania ni yetu sote.

Mnapopiga watu risasi na kuteka Watanzania wenzenu hamuoni kama Tanzania ni yetu sote? Mnapowafanya watanzania wenzenu waishi kama wakimbizi kwenye nchi yao ndo utekelezaji wa ilani yenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapotakiwa kudeal na issue za kisayansi kama magonjwa ni vyema tufuate ushauri wa wataalamu na sio suala la utashi wa mtu flani.

Ugonjwa umeanzia huko ilikoanzia na walioweza kupunguza maambukizi wanashauri kufanya ABC nyie mnasema hamtaki kuiga, are you serious?

Mbona magonjwa mengine mmekuwa mkifuata njia mnazoelekezwa?, kama ww na CCM yako hamtaki kuiga wanayofanya wengine msingepokea misaada inayotolewa na nchi zingine mkabuni mikakati yenu ya kupambana ugonjwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Crimea,
Aisee!!! Haya nayo ni maoni yenye busara toka kwa mtu makini mwenye kutegemewa na jamii.

Ungenyamaza ungekuwa umeitendea hii mada haki... Tusinyoosheane vidole..... nyamaza...
Labda inawezekana kudhihakiana kukasaidia kuondoa hili janga!!!
 
Dah!....inatakiwa tupambane kwanza na hao Simba na sio kunyoosheana vidole.
Mpo vitani, mmechapika haswa na hakuna dalili yoyote ya kushinda. Mnamshauri mkuu wa kikosi m-retreat hataki anachosisitiza ni kusonga mbele tuu.

Katika hiyo situation tatizo sio adui tena bali huyo muongoza kikosi.

Kupambana bila tactics tena na adui asiyeonekana kwahitaji mbinu na mikakati ya maana.
Unforgetable
 
Yaani kama sina ushauri juu ya kutatua tatizo fulani basi hata kusema ninayodhani yamekosewa(kwa uwezo wa akili yangu) nisiseme?

Tatizo huyu Dereva wetu kaingiza basi kwenye tope alafu anachagua watu wa kusukuma, eti kama hujavaa soksi za kijani hataki kukuona unagusa basi lake...tupo huku tumekusanyika pembeni na mnataka tukae kimya tusiseme, tusicheke, tusizomee?.....utanifanya nitafute dictionary nitafute maana ya neno dictator.

Na kwa nini ushauri wako huu usiwe vice versa...yaani wanaosema na kubeza waachwe waseme alafu mwisho kabisa wakati wa kufanya tathmini basi wao ndio watafute kwa kuweka nyuso zao?
 
Yaani kwa kadhaa mmekuwa mkitetea upumbavu... ndiyo, UPUMBAVU halafu mnasema tusinyoosheani vidole?!

Ni upumbavu kwa sababu mtu ukielimishwa kwamba 1+1 = 2 halafu bado mtu akawa anang'ang'ania kwamba ni 11, mtu kama huyo ni mpumbavu tu na si vinginevyo!

Kama ambavyo misukule ya Lumumba ilivyokuwa inanyoonshea watu vidole kuhusu mkopo wa World Bank, ndivyo ambavyo katu hatutaacha kuwanyooshea vidole wote mliokuwa mnatetea upumbavu ambao hatimae ndio umetufikisha hapa!

Mlikuwa mnapiga vigelegele kwamba ni kweli kuzuia international flights kutaharibu biashara ya utalii halafu bado mnataka tusiwanyooshee vidole?!

Kila mwenye akili alifahamu kabisa njia nyepesi ya kukabiliana na corona ni kuzuia watalii na ndege kutoka nje kuingia nchini lakini kwa makusudi mkaamua kum-support Magufuli huku hakuna cha maana kinachowakumuma zaidi ya siasa za kipumbavu na ukabila manake kuna baadhi ya Wasukumu wanachukulia urais wa Magufuli ni kama urais wa Wasukuma wote na kwahiyo wana wajibu wa kuulinda kwa nguvu zote, pamoja na mambo mengine kuunga mkono na kutetea kila kinachosemwa na kufanywa Msukuma mwenzenu... SHAME ON Y'ALL!!

Katika ku-justify unabii wa kitapeli wa Magufuli mara kwa mara mmemkuwa mki-justify kwa hoja ya lockdown wakati kuna mambo mengi ya kipumbavu bado yanaendelea na bado mnayaunga mkono halafu mnasema tusiwanyooshee vidole?!

Mlikuwa mnamsifia Magu kwamba ni kiongozi wa mfano ktk kupambana na coronavirus wakati kila mwenye akili timamu alifahamu Magu alikuwa anacheza na moto jirani na petrol halafu leo mnasema tusiwanyooshee vidole?!
Hili povu si bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kwa kadhaa mmekuwa mkitetea upumbavu... ndiyo, UPUMBAVU halafu mnasema tusinyoosheani vidole?!

Ni upumbavu kwa sababu mtu ukielimishwa kwamba 1+1 = 2 halafu bado mtu akawa anang'ang'ania kwamba ni 11, mtu kama huyo ni mpumbavu tu na si vinginevyo!

Kama ambavyo misukule ya Lumumba ilivyokuwa inanyoonshea watu vidole kuhusu mkopo wa World Bank, ndivyo ambavyo katu hatutaacha kuwanyooshea vidole wote mliokuwa mnatetea upumbavu ambao hatimae ndio umetufikisha hapa!

Mlikuwa mnapiga vigelegele kwamba ni kweli kuzuia international flights kutaharibu biashara ya utalii halafu bado mnataka tusiwanyooshee vidole?!

Kila mwenye akili alifahamu kabisa njia nyepesi ya kukabiliana na corona ni kuzuia watalii na ndege kutoka nje kuingia nchini lakini kwa makusudi mkaamua kum-support Magufuli huku hakuna cha maana kinachowakumuma zaidi ya siasa za kipumbavu na ukabila manake kuna baadhi ya Wasukumu wanachukulia urais wa Magufuli ni kama urais wa Wasukuma wote na kwahiyo wana wajibu wa kuulinda kwa nguvu zote, pamoja na mambo mengine kuunga mkono na kutetea kila kinachosemwa na kufanywa Msukuma mwenzenu... SHAME ON Y'ALL!!

Katika ku-justify unabii wa kitapeli wa Magufuli mara kwa mara mmemkuwa mki-justify kwa hoja ya lockdown wakati kuna mambo mengi ya kipumbavu bado yanaendelea na bado mnayaunga mkono halafu mnasema tusiwanyooshee vidole?!

Mlikuwa mnamsifia Magu kwamba ni kiongozi wa mfano ktk kupambana na coronavirus wakati kila mwenye akili timamu alifahamu Magu alikuwa anacheza na moto jirani na petrol halafu leo mnasema tusiwanyooshee vidole?!
Usa walizuia ndege yoyote kuingia chini kwao. Lakini mpaka sasa kuna vifo zaidi ya vifo elfu 40+. Yaliyopita tuachane nayo. Sasa maambukizi yameongezeka huwezi jua yaliletwa kupitia airports au njia za panya za mipakani. Kwa hiyo jambo la msingi ni kupambana na hili janga kama taifa na kuweka lawama kando.
 
Pascal Mayalla , mimi narudia, huwezi kusaidia mtu ambaye for sure 100% hasikilizi la mtu. Tunachoweza kufanya ni kumlaumu na kukusanya tuhuma zetu for future reference na kumwajibisha mtu aweye yoyote kwenye hili janga la Corona! Uttachaje upinzani kwenye ishu kama hii, angalau Waziri Kivuli wa Upinzani...
Uko sahihi mkuu. Ushauri unatolewa, kebehi zinajibu. wengine wanapongeza ujinga. Hapa ni ukweli tu. Hakuna kuoneana haya
 
Back
Top Bottom