#COVID19 Corona: Ushauri wa Bure kwa Wizara ya Afya na Serikali

#COVID19 Corona: Ushauri wa Bure kwa Wizara ya Afya na Serikali

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ninaandika haya nikiwa binafsi naugulia moyoni kutokana na tukio lisilo la kiungwana la vyombo vya serikali Mwanza na yatokanayo.

Kutokana na hilo hapo juu inamfanya mtu awaye yote kughairi mambo mengi. Hata hivyo kutokana na thamani ya maisha ya binadamu, nisiache kuandika haya ambayo aghalabu hayako kwenye waraka wenu (umeambatanishwa chini).

Kuna habari KCMC kuna uhaba mkubwa wa oksijeni. Ilisharipotiwa hivyo Buhando pia Shinyanga.

Mengi ya maana yamekuwa yakitolewa ushauri wa maana ambao kwa bahati mbaya yamekuwa yakiangukia kwenye masikio viziwi ya vigogo wa serikalini.

Kwa kweli hawa vigogo sasa wametuchosha:

1. Wao na jamaa zao kwa habari zilizopo wamekwisha pata chanjo ile iliyo bora kabisa (Pfizer) tena kwa gharama zetu
2. Wao walipo sasa wako salama
3. Wao walipo Corona haipo tena wala haiwahusu
4. Kwamba sisi tuko hatarini hiyo haiwahusu tena.
5. Gharama za matibabu tunatwishwa sisi wakati gonjwa ni janga la dunia
6. Wanaendelea kutuongezea kodi na tozo mbalimbali za kulipa katikati ya janga hili wakati wao malipo hayo hayawahusu.
7. Wakati Waziri Mkuu anasema chanjo zipo tukachanjwe, wizara ya afya wanasema chanzo ni hadi Desemba
8. Wakati serikali wanazuia kongamano la Chadema sababu ikiwa kudhibiti maambukizi ya Corona, CCM wao hiyo haiwahusu. Viwanjani mashabiki wamejaa pomoni, mbio za mwenge, Nandi festival nk, hawa mazuio hayo (yana macho) hayawahusu.

Ni wazi kuwa kumbe tuna matatizo zaidi kuliko hata ugonjwa wenyewe.

Mnaposhindwa kama wizara ya afya kutambua ugonjwa huu ni kipaumbele, nani mwingine afanye jukumu hilo?

Uchumi gani mnaoungelea iwapo gonjwa hili tunalisabilia ili litumalize? Lini busara zenu zitajipambanua kama watu wenye dhamana ya kuyalinda maisha yote pasipo uwepo wa madaraja ya wenye umuhimu zaidi kuishi na wasiokuwa muhimu kufa?

Hapa chini ninaorodhesha maeneo yanayowahusu yenye kuhitaji maboresho. Hii ni ikiwa mngali japo na nia ya kuokoa angalau kinachiweza bado kuokotwa:

A. Mikusanyiko yote bila kujali ni ya nini na isimame sasa.
B. Gharama zote za matibabu ya Corona zibebwe na serikali katika utaratibu unaofahamika.
C. Kodi na tozo mbalimbali wanazotozwa wananchi ziangaliwe kuhusiana na hali ilivyo ya ugonjwa huu.
D. Takwimu za ugonjwa kwa mkoa ikiwamo idadi kamili, walioko hospitali, wanaopona, wanaokufa nk zitolewe kila siku.
E. Uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko yote iwe ni lazima.
H. Suala la social distancing lihimizwe.

---------

Kuhusiana na chanjo:

I. Uelimishaji uimarishwe katika namna ambayo mawazo potofu yote yenye mwelekeo hasi utokanao na ujinga yatatokomezwa.
II. Chanjo iharakishwe ili watu hasa wanaoitaka, wachanjwe mara moja wakati uhamasishaji ukiendelea.
III. Chanjo iwe kutoka Ulaya na Marekani tu, (#IV ikizingatiwa).
IV. Chanjo isiwe kutoka Urusi au China.
----------

IMG_20210723_182444_243.jpg

IMG_20210723_182518_838.jpg
 
Kwanini kuna upungufu wa oksijeni kila hospitali ya serikali wakati tuliambiwa na Samia kuna pesa zimetengwa kwa ajili ya kupambana na Corona? au zile pesa zililiwa? huu utani wa hii serikali utagharimu maisha ya watu bila sababu.
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu moyoni na tulio lisilo la kiungwana la vyombo vya serikali Mwanza na yatokanayo.

Kutokana na hilo hapo juu inamfanya mtu awaye yote kughairi mambo mengi. Hata hivyo kutokana na thamani ya maisha ya watu nisiache kuandika haya ambayo aghalabu hayako kwenye wataka wenu:

---------------
Kuna habari KCMC kuna uhaba mkubwa wa oksijeni. Ilisharipotiwa hivyo Buhando pia Shinyanga.

Mengi ya maana yamekuwa yakitolewa ushauri wa maana unaoangukia kwenye masikio vizuri ya vigogobserikalini. Kwa kweli hawa vigogo sasa wametuchosha.

1. Wao na jamaa zao kwa habari zilizopo wamekwisha pata chanjo ile iliyo bora (Pfizer).
2. Wao walipo Corona haipo tena.
3. Kwamba sisi tuko hatarini hiyo haiwahusu tena.
4. Gharama za matibabu tunatutwisha sisi wakati gonjwa ni janga la dunia.
5. Wanaendelea kutuongezea kodi na tozo mbalimbali za kulipa katikati ya janga hili wakati wao hizo haziwahusu.
6. Wakati Waziri Mkuu anasema chanjo zipo tukachanjwe, wizara ya afya wanasema chanzo ni hadi Desemba.
7. Wakati serikali wanazuia kongamano la Chadema sababu ikiwa maambukizi ya Corona, CCM wao hiyo haiwahusu. Viwanjani mashabiki wamejaa pomoni, mbio za mwenge, Nandi festival nk mazuio hayo (yana macho) hayawahusu.

Ni wazi kuwa kumbe tuna matatizo zaidi kuliko ugonjwa wenyewe. Mnaposhindwa kama wizara ya afya kutambua ugonjwa huu ni kipaumbele nani afanye jukumu hilo?

Uchumi guinea nini kama gonjwa hili tutalisabilia litumalize? Lini busara zenu zitajipambanua kama watu wenye dhamana ya kuyalinda maisha yote bila exceptions?

Hapa ni kwenu, kama angalau kama bado mngali na nia ya cha kuokoa kinachowezekana:

A. Mikusanyiko yote bila kujali ni ya nini na isimame sasa.
B. Gharama zote za matibabu ya Corona zibebwe na serikali katika utaratibu unaofahamika
C. Kodi na tozo mbalimbali wanazotozwa wananchi ziangaliwe kuhusiana na hali ilivyo ya ugonjwa ilivyo.
D. Takwimu za ugonjwa kwa mkoa ikiwamo idadi yote, walioko hospitali, wanaopona, wanaokufa nk zitolewe kila siku.
E. Uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko yote iwe ni lazima.
H. Suala la social distancing lihimizwe.
---------

Kuhusiana na chanjo:

I. Pamoja na elimu chanjo iharakishwe ili watu hasa wanaotaka wachanjwe mara moja.
II. Chanjo iwe kutoka kutoka Ulaya na Marekani tu.
III. Chanjo isiwe kutoka Urusi au China.
----------

Nina wasilisha.
Ushindwe na ulegee! Una agenda yako ya siri!! Serikali yetu iko makini sana usitake kuwafundisha kazi!! Ulienda kuchanjwa ukakataliwa?? Andaa mkwanja ukachanjwe!! Hutaki na unalalamika kulipa kodi halafu unataka serikali ikutibu bure!! Huo ni utoto wa kupitiliza!! Usipochangia kulipa kodi serikali itoe wapi pesa za kukutibu bure?
Usitake kuleta mtafaruku na hofu!! Takwimu kwako unazitakia za nini!! Wanaohusika na matumizi ya takwimu wanazo! Wewe hazikuhusu!! Hata mabosi wako mabeberu haziwahusu!! Utaratibu wa serikali inavyoshughulika na corona umeelezwa wazi!! Kama haujaridhika hamia nchi ambako utaridhika!! Msiwape pesha bure viongozi wetu kwa haja ya kuwafurahisha mabeberu!! Hata mtume wa corona barani Afrika (Tony Blair) aliambiwa live kuwa Tanzania ina mpango na utaratibu wake kushughulikia corona!! Akarudi kwao na ushauri wake!! Na wewe baki nyumbani kwako na ushauri wako!! Hamridhiki kabisa na jinsi serikali inavyofanya!! Nia yenu ni ovu na haitafanikiwa!!
 

Bila kumsahau huyu hapa:

IMG_20210720_114420_251.jpg


Nisiache kukwambia ufumbuzi hauwezi kuwa based on isolated insignificant cases.

Isolated cases ziko kila mahali. Ukizingatia hizo tu hata chakula utaacha kula na hewa utaacha kuvuta.

Hata smartphones, computers, microwave cookers, minara ya simu, ndege, magari, madawa yote nk utaviepuka.

Ujinga wetu kujifanya tunajua ndiyo uliotuletea leo misiba kila mahali. Kwa bahati mbaya zaidi, na bado.

Eeh mola wetu utupishilie mbali na shetani huyu anayetuzunguka tuliyesukumiwa na wale wale waliopaswa kitulinda.


Marekani na ulaya niliyoitaja ukiondoa Russia wanao ujasiri wa kutosha hata kufanya a total recall ikibidi. Lakini si hao wengine.
 
Uhai wako ulinde wewe kama wewe ukitegemea majirani na marafiki utaupoteza tu.
Chanjo inafanya kazi hivi; kuna kitu kina itwa herd immunity yani lazima asilimia 75 ya total population ichanjwe kuifikia, kwa hiyo kama wewe hujali kufa angalau umjali mwenzako kwa kuchanjwa. Hawa cult politicians wali tudanganya sana
 
Halafu watu wana ongelea kuhusu muda wa hizi chanjo kua developed, ila ukweli ni kwamba izi chanjo ni muendelezo wa research zilizo fanyika toka virusi vya SARS 1 kwa sababu vina vina saba vinavyo fanana
 
Ushindwe na ulegee! Una agenda yako ya siri!! Serikali yetu iko makini sana usitake kuwafundisha kazi!! Ulienda kuchanjwa ukakataliwa?? Andaa mkwanja ukachanjwe!! Hutaki na unalalamika kulipa kodi halafu unataka serikali ikutibu bure!! Huo ni utoto wa kupitiliza!! Usipochangia kulipa kodi serikali itoe wapi pesa za kukutibu bure?
Usitake kuleta mtafaruku na hofu!! Takwimu kwako unazitakia za nini!! Wanaohusika na matumizi ya takwimu wanazo! Wewe hazikuhusu!! Hata mabosi wako mabeberu haziwahusu!! Utaratibu wa serikali inavyoshughulika na corona umeelezwa wazi!! Kama haujaridhika hamia nchi ambako utaridhika!! Msiwape pesha bure viongozi wetu kwa haja ya kuwafurahisha mabeberu!! Hata mtume wa corona barani Afrika (Tony Blair) aliambiwa live kuwa Tanzania ina mpango na utaratibu wake kushughulikia corona!! Akarudi kwao na ushauri wake!! Na wewe baki nyumbani kwako na ushauri wako!! Hamridhiki kabisa na jinsi serikali inavyofanya!! Nia yenu ni ovu na haitafanikiwa!!

Mada umeisoma lakini? Acha ninyumbulishe majibu sehemu mbili A na B, yaani dibaji na majibu:

A: Dibaji:

Kwangu baada ya kuandika mno kwenye ugonjwa huu kutahadharisha na kujaribu kuitisha kuweka mambo mstarini, nimegundua late kuwa shida ni vigogo.

Shida ni system wana masikio ya kenge. Kipaumbele sasa (nguvu moja) kudai katiba mpya pamoja na kwamba Corona inaweza kutuua kabla.

Nilipenda kwenda kwenye katiba mpya baada ya kuwa Corona imedhibitiwa. Lakini udhwalimu niliouona Mwanza umenifanya kughairi absolutely shingo upande.


Niseme wazi vigogo tulionao hawatufai na ndiyo kilicho chanzo matatizo yetu yote vikiwemo vifo vyote hivi visivyokuwa na sababu.

Mada hii nimelazika tu kuiandika, kama nilivyosema awali, kwa sababu tu, kuna watu wanakufa. Si busara kuacha kusema jambo kama linaweza kunusuru angalau roho moja.
---------------


B: Majibu:

Kwamba nishindwe na nilegee, kwa lipi sasa? Kwa sababu nimeshauri haya?

IMG_20210723_125906_717.jpg


Seriously? Hoja zako na agenda zako ziko wapi? Huna?

Kwani ujinga definition yake itakuwa nini basi? 😂😂😂😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
 
Bila kumsahau huyu hapa:

View attachment 1864476

Nisiache kukwambia ufumbuzi hauwezi kuwa based on isolated insignificant cases.

Isolated cases ziko kila mahali. Ukizingatia hizo tu hata chakula utaacha kula na hewa utaacha kuvuta.

Hata smartphones, computers, microwave cookers, minara ya simu, ndege, magari, madawa yote nk utaviepuka.

Ujinga wetu kujifanya tunajua ndiyo uliotuletea leo misiba kila mahali. Kwa bahati mbaya zaidi, na bado.

Eeh mola wetu utupishilie mbali na shetani huyu anayetuzunguka tuliyesukumiwa na wale wale waliopaswa kitulinda.


Marekani na ulaya niliyoitaja ukiondoa Russia wanao ujasiri wa kutosha hata kufanya a total recall ikibidi. Lakini si hao wengine.
Apples to oranges..your post seemed to place faith in American drug companies ,mm nimekuonyesha Pfizer wenye historia ya ku-recall drugs na kupigwa fine miaka nenda rudi,anyways heshima yako kaka,b'se I believe your heart is in the right place...👍
 
Kuna watu wengine walitutoa hofu
Kuna wengine wanatupa hofu

Ova

Unapata hofu ukisikia serikali inapaswa kugharimia matibabu au unaposikia kodi na tozo ziangaliwe kipindi hiki?

Itakuwa hata maana ya neno hofu bila shaka haujui.

Rudi shule.

Hata hivyo waungwana sasa kipaumbele chao ni katiba mpya. Tumegundua haya mengine kumbe yanakwenda kwenye masikio ya kenge.
 
Apples to oranges..your post seemed to place faith in American drug companies ,mm nimekuonyesha Pfizer wenye historia ya ku-recall drugs na kupigwa fine miaka nenda rudi,anyways heshima yako kaka,b'se I believe your heart is in the right place...👍

Chanjo ni hiari na hata aina. Nilichoandika ni ushauri na msimamo wangu binafsi kwa MoH.

Chanjo Abdala ya Cuba, chanjo kutoka research labs za Wuhan au Moscow kwangu mimi hapana.

Niko busy na mambo muhimu zaidi ya katiba mpya. Huko kuna suluhisho letu la matatizo yote likiwamo hili la Corona dead or alive.

So long buddy.
 
Chanjo ni hiari na hata aina. Nilichoandika ni ushauri na msimamo wangu binafsi kwa MoH.

Chanjo Abdala ya Cuba, chanjo kutoka research labs za Wuhan au Moscow kwangu mimi hapana.

Niko busy na mambo muhimu zaidi ya katiba mpya. Huko kuna suluhisho letu la matatizo yote likiwamo hili la Corona dead or alive.

So long buddy.
Respect brother!Let's just agree to disagree
 
Ushindwe na ulegee! Una agenda yako ya siri!! Serikali yetu iko makini sana usitake kuwafundisha kazi!! Ulienda kuchanjwa ukakataliwa?? Andaa mkwanja ukachanjwe!! Hutaki na unalalamika kulipa kodi halafu unataka serikali ikutibu bure!! Huo ni utoto wa kupitiliza!! Usipochangia kulipa kodi serikali itoe wapi pesa za kukutibu bure?
Usitake kuleta mtafaruku na hofu!! Takwimu kwako unazitakia za nini!! Wanaohusika na matumizi ya takwimu wanazo! Wewe hazikuhusu!! Hata mabosi wako mabeberu haziwahusu!! Utaratibu wa serikali inavyoshughulika na corona umeelezwa wazi!! Kama haujaridhika hamia nchi ambako utaridhika!! Msiwape pesha bure viongozi wetu kwa haja ya kuwafurahisha mabeberu!! Hata mtume wa corona barani Afrika (Tony Blair) aliambiwa live kuwa Tanzania ina mpango na utaratibu wake kushughulikia corona!! Akarudi kwao na ushauri wake!! Na wewe baki nyumbani kwako na ushauri wako!! Hamridhiki kabisa na jinsi serikali inavyofanya!! Nia yenu ni ovu na haitafanikiwa!!
Haya baba endelea kuzurula na watoto wako nyumbani wanakufa njaa. Mara uko Kenya, Burundi, sijui Rwanda. Vifaa tiba siyo vipaumbele vyenu.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Chanjo inafanya kazi hivi; kuna kitu kina itwa herd immunity yani lazima asilimia 75 ya total population ichanjwe kuifikia, kwa hiyo kama wewe hujali kufa angalau umjali mwenzako kwa kuchanjwa. Hawa cult politicians wali tudanganya sana

Hawawezi kukuelewa mkuu. Kuna mshirikina mmoja kapumzika kule buseresere, labda hadi atakapo amka kuwarejeshea bongo zao. Angali nazo kule.

IMG_20210721_112817_344.jpg


Walizo nazo sasa hivi ni kama huyo jombi hapo juu. Wako kama misukule au mazuzu tu.


Tumetwanga sana maji kwenye kinu. Ni wazi kuwa we have some politics to fix:
 
Ninaandika haya nikiwa na maumivu moyoni na tulio lisilo la kiungwana la vyombo vya serikali Mwanza na yatokanayo.

Kutokana na hilo hapo juu inamfanya mtu awaye yote kughairi mambo mengi. Hata hivyo kutokana na thamani ya maisha ya watu nisiache kuandika haya ambayo aghalabu hayako kwenye wataka wenu:

Kuna habari KCMC kuna uhaba mkubwa wa oksijeni. Ilisharipotiwa hivyo Buhando pia Shinyanga.

Mengi ya maana yamekuwa yakitolewa ushauri wa maana unaoangukia kwenye masikio vizuri ya vigogobserikalini. Kwa kweli hawa vigogo sasa wametuchosha.

1. Wao na jamaa zao kwa habari zilizopo wamekwisha pata chanjo ile iliyo bora (Pfizer)
2. Wao walipo Corona haipo tena
3. Kwamba sisi tuko hatarini hiyo haiwahusu tena.
4. Gharama za matibabu tunatutwisha sisi wakati gonjwa ni janga la dunia.
5. Wanaendelea kutuongezea kodi na tozo mbalimbali za kulipa katikati ya janga hili wakati wao hizo haziwahusu.
6. Wakati Waziri Mkuu anasema chanjo zipo tukachanjwe, wizara ya afya wanasema chanzo ni hadi Desemba.
7. Wakati serikali wanazuia kongamano la Chadema sababu ikiwa maambukizi ya Corona, CCM wao hiyo haiwahusu. Viwanjani mashabiki wamejaa pomoni, mbio za mwenge, Nandi festival nk mazuio hayo (yana macho) hayawahusu.

Ni wazi kuwa kumbe tuna matatizo zaidi kuliko ugonjwa wenyewe. Mnaposhindwa kama wizara ya afya kutambua ugonjwa huu ni kipaumbele nani afanye jukumu hilo?

Uchumi guinea nini kama gonjwa hili tutalisabilia litumalize? Lini busara zenu zitajipambanua kama watu wenye dhamana ya kuyalinda maisha yote bila exceptions?

Hapa ni kwenu, kama angalau kama bado mngali na nia ya cha kuokoa kinachowezekana:

A. Mikusanyiko yote bila kujali ni ya nini na isimame sasa.
B. Gharama zote za matibabu ya Corona zibebwe na serikali katika utaratibu unaofahamika
C. Kodi na tozo mbalimbali wanazotozwa wananchi ziangaliwe kuhusiana na hali ilivyo ya ugonjwa ilivyo.
D. Takwimu za ugonjwa kwa mkoa ikiwamo idadi yote, walioko hospitali, wanaopona, wanaokufa nk zitolewe kila siku.
E. Uvaaji barakoa kwenye mikusanyiko yote iwe ni lazima.
H. Suala la social distancing lihimizwe.
---------

Kuhusiana na chanjo:

I. Pamoja na elimu chanjo iharakishwe ili watu hasa wanaotaka wachanjwe mara moja.
II. Chanjo iwe kutoka kutoka Ulaya na Marekani tu.
III. Chanjo isiwe kutoka Urusi au China.
----------

Nina wasilisha.
Corona ipo na tahadhari ni muhimu sana ila tunao viongozi wasiojali wananchi wao, wao ni kuangalia maslahi yao tu. Pamoja na haya tutafute namna ya kuondokana na katiba hii mbovu.
 
Umenena vyema kabisa mtu akihofu Sana ajifungie tu nyumbani maana mtu anapohimiza mikusanyiko ya aina yoyote izuiwe,anamaanisha watu wasienda kufanya biashara masokoni,njaa itaua wengi kuliko hata Corona.

Ushindwe na ulegee! Una agenda yako ya siri!! Serikali yetu iko makini sana usitake kuwafundisha kazi!! Ulienda kuchanjwa ukakataliwa?? Andaa mkwanja ukachanjwe!! Hutaki na unalalamika kulipa kodi halafu unataka serikali ikutibu bure!! Huo ni utoto wa kupitiliza!! Usipochangia kulipa kodi serikali itoe wapi pesa za kukutibu bure?
Usitake kuleta mtafaruku na hofu!! Takwimu kwako unazitakia za nini!! Wanaohusika na matumizi ya takwimu wanazo! Wewe hazikuhusu!! Hata mabosi wako mabeberu haziwahusu!! Utaratibu wa serikali inavyoshughulika na corona umeelezwa wazi!! Kama haujaridhika hamia nchi ambako utaridhika!! Msiwape pesha bure viongozi wetu kwa haja ya kuwafurahisha mabeberu!! Hata mtume wa corona barani Afrika (Tony Blair) aliambiwa live kuwa Tanzania ina mpango na utaratibu wake kushughulikia corona!! Akarudi kwao na ushauri wake!! Na wewe baki nyumbani kwako na ushauri wako!! Hamridhiki kabisa na jinsi serikali inavyofanya!! Nia yenu ni ovu na haitafanikiwa!!
 
Umenena vyema kabisa mtu akihofu Sana ajifungie tu nyumbani maana mtu anapohimiza mikusanyiko ya aina yoyote izuiwe,anamaanisha watu wasienda kufanya biashara masokoni,njaa itaua wengi kuliko hata Corona.
Huyu K.enge analipwa na watu kuhimiza Corona Tanzania. Tangu May - 2020 alikomaa tuwekwe lockdown ilipofika kipindi cha kampeni akapoa akawa anamshabikia Lissu. Kilipoisha akaanza tena, hawezi kumaliza siku bila kuleta threads za CORONA. Ni Kama mgonjwa wa akili. Nadhani ana matatizo ya kisaikolojia. Anachotamani hakiwezekani watanzania walishaondolewa hofu ya Corona ndo maana uvaaji wa barakoa umeshindikana. Na hayo machanjo watachanjana wenyewe. Uswahilini kote wanaamini chanjo zinaharibu kizazi mtu mweusi asizae tena. Nakuhakikishia hakuna mtu wa hali ya chini utamshawishi chanjo. Chanjo zenyewe ni bure, zile zinazotolewa na wahisani. Pengine hazijulikani jina gani.
 
Huyu K.enge analipwa na watu kuhimiza Corona Tanzania. Tangu May - 2020 alikomaa tuwekwe lockdown ilipofika kipindi cha kampeni akapoa akawa anamshabikia Lissu. Kilipoisha akaanza tena, hawezi kumaliza siku bila kuleta threads za CORONA. Ni Kama mgonjwa wa akili. Nadhani ana matatizo ya kisaikolojia. Anachotamani hakiwezekani watanzania walishaondolewa hofu ya Corona ndo maana uvaaji wa barakoa umeshindikana. Na hayo machanjo watachanjana wenyewe. Uswahilini kote wanaamini chanjo zinaharibu kizazi mtu mweusi asizae tena. Nakuhakikishia hakuna mtu wa hali ya chini utamshawishi chanjo. Chanjo zenyewe ni bure, zile zinazotolewa na wahisani. Pengine hazijulikani jina gani.
Chanjo ni kitu universal sasa ivi serekali ina kuhadaa ni hiari ila itafika kipindi utakosa huduma za jamii bila chanjo ndio uta jua haujui. Ni kama mama mjamzito kupima ukimwi sasa ivi ni lazima tena uje na mwenza
 
Back
Top Bottom