Njo Vile Kasie.Hivyo eeehh.... duuuh!!
Ghafla haya majina yamenijia kichwani....Gwajima, Mama Rwakatare, yule wa Riverside na wa Efatha...
Matapeli sugu hapa mjiniHivyo eeehh.... duuuh!!
Ghafla haya majina yamenijia kichwani....Gwajima, Mama Rwakatare, yule wa Riverside na wa Efatha...
Kean shida kushika kitabu au shida kusoma? Mbona watanzania ni waajabu? Nliwaambia ninacho kitabu mkononi? Nimewaamboa nimesoma bila kujal nimesoma wapiKwanini usikubali kama hizo picha umeokota mtandaoni yaishe mpwa, usije aibika bure.
Always vilaza hujuanaKuna aina ya watu wasiruhusiwe kupata watoto maana wanaendeleza kizazi cha vilaza.
Mkuu shida ni kusoma au kuwa na kitabu on my hand?Ungekuwa nacho softcopy ungetuma picha screenshots.sasa unasema umetafuta na ukapata kitabu kilichotafsiri alafu unatutumia picha zile zile zilizozagaa mitandaoni sasa wew umetafuta nini jamaa?ungeandika "Nimeomba kutumiwa picha zilizosambaa kuhusu utabiri wa korona katika kitabu sasa nimezipata"..na sio kutuandikia as if umesoma na unatutumia picha zile zile.Ni sawa na kutuambia mkeo kajifungua mtoto wa kiume alafu unanionesha wa jirani.kuwa serious[emoji57][emoji57][emoji57]
mtoa mada kajisahau apo kaweka vitabu viwili tofaut eyes of darkness na icho end of daysKwa ujinga huu ndio maana watsap wamelimit message za kuforward
Wavivu mna maswali ya kinyaa- Basi hata hizo SEHEMU mbili zingekusogeza mbele katika katika fikra kwa kujiuliza kwa nini "wuhan-400" na mlipuko uanzie wuhan.
Kingetabiri na dawa
We Kasinde hebu futa jina la mtumishi wangu hapo...heheheHivyo eeehh.... duuuh!!
Ghafla haya majina yamenijia kichwani....Gwajima, Mama Rwakatare, yule wa Riverside na wa Efatha...
๐๐๐๐๐๐ umempa nyundo ya maana.. Mwenyewe aliuliza kipashkuna kweliDAMN!!! kwahiyo hizo picha ulizocapture na kuziattach humu ni softcopy sio!!?๐
๐ถ๐ถPURE ME....
Njo Vile Kasie.
Wapi mkuuDawa ipo mbona
Na ww usitudanganye. Wamelimitije?Kwa ujinga huu ndio maana watsap wamelimit message za kuforward
Kunywa kwanza chai