Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

Kiranga, This Person who brought this thread is a credible kind, because he brought forth materials which carried the real thing...

The question here is not like is THERE going to be the end of THE world or NOT...I would rather ask... where is she, how did she get all these stuffs... help the world on getting THERE...

On the other hand, YES, it is the end of the world... saying that, doesn't mean THAT the world SHALL end, no, it will EVOLVE to another level, new era, something completely different from the previous and perhaps current-Shifting to another way of living, mostly the BEST...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa nacho softcopy ungetuma picha screenshots.sasa unasema umetafuta na ukapata kitabu kilichotafsiri alafu unatutumia picha zile zile zilizozagaa mitandaoni sasa wew umetafuta nini jamaa?ungeandika "Nimeomba kutumiwa picha zilizosambaa kuhusu utabiri wa korona katika kitabu sasa nimezipata"..na sio kutuandikia as if umesoma na unatutumia picha zile zile.Ni sawa na kutuambia mkeo kajifungua mtoto wa kiume alafu unanionesha wa jirani.kuwa serious[emoji57][emoji57][emoji57]
Mkuu shida ni kusoma au kuwa na kitabu on my hand?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mtaani wao wanapenda kuonekana kila kitu wanajua stori yoyote atadakia Kama anajua
 
Snowflake, Your post is meaningless.

If every evolution is the end of the world, then there is no world.

Every micosecond represents a revolution of some sort.

Hegel wrote all about that.

But, the question is, did you read Hegel?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Back
Top Bottom