adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Kama ilivyo na walakini pia kwenye fikra zako.Hukujibu hoja yoyote hapo Brother!Umeleta malalamiko.Sio hoja ya kujenga.So kwangu utabaki mpumbavu tu kama ilivyo kwa akili yako.Brother!you deserve better than this! "Ni heri mjinga anayejielewa kuliko mpumbavu asiyeutambua upumbavu wake" Think this statement critically in reference to your life,hoja hujibiwa Kwa hoja makini na ulichojibu unaonyesha walakini kwenye fikra zako