Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

hakuna cha concipilus hawa jamaa wanatabia ya kula vitu vya ajabu na imebainikiana huyu virus ana connection na popo na hawa watu wana happen ya kula hawa viumbe
 
Kila nchi zilizoendelea zinatengeneza biological war weapons na China inawezekana kabisa ameitengeneza na ameijaribu kwa wananchi kama inafanya kazi kwa haraka kiasi gani.

Haya yalitokea Japan miaka ya nyuma ambapo kuna jamaa aliweka kwenye train na watu wengi kufariki
Kuhusu Haya mambo kila kitu kinawezekana maana silaha za maangamizi na bunduki hazina impact kubwa kama biological weapons.

Nchi zingine ikitokea vita hawatatumia bunduki bali virus [emoji3083] tu.


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Either way maandiko yanasema
1582204425906.png
 
Hata kuuita Wuhan-400 mwaka 2008 bado inafikirisha.

Inaonyesha version ya 2008 waliamua waweke China kwa sababu kwa wakati huo Soviet ishaanguka kwa hiyo ilibidi watafute Taifa jingine lenye nguvu ya kuichallenge marekani ili Novel iweze kunoga
Mkuu nimekuelewa, ni ukweli ulio wazi ikiwa mara ya kwanza waliizungumzia moja kwa moja Russia, iweje edition iliyofuata iangukie Wuhan china 2008, na 2020 outbreak itokee..?? Ht km hatukubali huo utabiri kwa mantiki ya kusema ni rahis kupredict the future, lkn kupredict kwa kias hiki na jmbo likatokea ni swala la kuumiza kichwa
 
Umemuuliza kwa logic ya ukweli pumbavu kabisa wewe [emoji3][emoji3], ila sasa hapo wee mwehu ungeweka NYUKI ingekuwa poa, unabeba mzinga wa nyuki unaenda kuwamwaga kwa adui yako teh teh teh
Acha ujinga biological weapon siyo lazima iwe man made kama unavyoitafsri,

Hivi adui akichukua kunguni au chawa kama akapandikiza chumbani kwako baada ya muda wakazaliana wakaleta madhara uta sema ni hiyo ni man made weapon??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ina siri nyingi sana zinazojulikana na watu wachache...
 
Amna sijaulizia hyo....chapta 39 si inaongelea kina tina na danny wanatoroka wako lab wanasimuliwa na dombey?
Mi nlkuwa naulzia hiyo picha ya kwanza kabsa aloweka mtoa uzi,,,kuhusu in 2020 pneumonia like disease will....
Kwa upande wangu nilijaribu kuulizia kuhusu hii page inayotaja mwaka 2020 nikaambiwa inapatikana kwenye kitabu cha "End of Days: Predictions and Prophecies about the End of the World by Lindsay Harrison and Sylvia Browne".
Ila sijafanikiwa kupata softcopy yake.
IMG-20200218-WA0005.jpg
IMG-20200218-WA0007.jpg
 
MKUU KILA JAMBO KATIKA DUNIA HII LIKO PLANNED TOKA KWA WANAOIENDESHA DUNIA
Mungu mwenyewe katika bibilia alishasema yeye ni Mungu wa Utaratibu, sasa sijui hapo maana yake kwa mapana yake ni kujumuisha na hilo kwamba, kila kitu kilipangwa tayari??
 
Back
Top Bottom