Tetesi: Corona virus: lran imekataa msaada kutoka Marekani

Tetesi: Corona virus: lran imekataa msaada kutoka Marekani

Baniani mbaya kiatu chake dawa!

Vikwazo vinalenga kudhoofisha urutubishaji wa uranium.
Ayatola mbumbumbu.
 
Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran haitopokea msaada wowote kutoka Marekani, katika kubadili hali ilivyo kutokana na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona nchini mwake. Katika taarifa yake hiyo Khamenei alirejea kuizungumzia dhana ya kwamba virusi hivyo ni silaha iliyoundwa na Marekani dhidi ya maadui zake.

Katika hotuba yake iliyorushwa moja kwa moja kupitia televisheni, kiongozi huyo amesikika akisema wana maadui wengi lakini, mkubwa kuliko wote ni Marekani.. na sasa anataka kuwasaidia. Ayatollah amenukuliwa akisema ni vyema taifa hilo likajikita katika kuwasaidia wananchi wake.

Iran limekuwa eneo tete la usambaaji wa virusi vya corona, ambavyo vilianzia China mwishoni mwa mwaka uliopita. Hata hivyo usambaaji wa visa hivyo ulianza kuingia Marekani wiki iliyopita. Marekani inakabiliwa na mamia ya vifo vyenye kuhusishwa na virusi hivyo, wakati Iran vifo vyake vinapindukia watu 1000. Katika hatua hiyo ya kukataa msaada, Khamenei aligusia nadharia ya kwamba virusi hivyo viliundwa na Marekani kwa lengo la kuyadhoofisha mataifa adui kama China na Iran. Tangu Januari Khamenei amekuwa akisema virusi hivyo vinaweza kuwa silaha ya kibailojia iliyoundwa na Marekani.

Mpaka sasa watu zaidi ya 13000 wamekufa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona huku wengine zaidi ya 300,000 wakiambukizwa virusi hivyo duniani kote.
Wala sio maskini jeuri yupo sawa tu kwani anae sababisha waajemi kukosa madawa ninani c huyo huyo US Kama alikua anania ya Msaada IRAN Wala hawataki Msaada Wanataka Kuondolewa Vikwazo Tu Kwamuda Huu Ambao Wanakabiliwa Nagonjwa Wapate kuagiza Vifaa Tiba Mbali Mbali

Sasa kama US Kakomaa Nakumuekea Vikwazo Halafu Upande Wapili Anajifanya Kutaka Kumsaidia Anataka Kumsaidia Nanini wakati ishu ipo wazi tu aondoe vikwazo maisha yaendelee

Nlichopendelea kuhusu CORONA Haichagui kwamaana Mpaka Viongozi Wanaukwaa Kwahio Hapo Hatesi Raia Tu Mpaka Yeye Mwenyewe Ame Risk Maisha Yake Ila Uzuri Wake Nikwafaida Yataifa Lake Kwaujumla

US WAUAJI

Sent using My COVID-19
Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.

Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Atakuwa amesha changanyikiwa. Anakataaje msaada ambao wala hajaahidiwa kupewa?
Kama ni kweli ameitoa hiyo kauli basi atakuwa anarumbana na wananchi wake, huenda kuna shinikizo kutoka ndani kwamba akaombe msaada Marekani na yeye anawajibu kuwa hatawaomba msaada. Lwa hivyo hapo sioni kama anawajibu Marekani bali ni malumbano yao ya ndani.
 
Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.

Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Iran wako sahihi, kama Marekani anataka kuwasaidia aanze kwanza kwa kuwaondolea vikwazo alivyowawekea ili waweze kununua vitu sehemu nyingine ili wapambane na Korona na huo ndo msaada mkubwa kabisa unaohitajika kwa Iran.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo dingi linafikiri huo msaada unaweza kuwa ni njia ya kueneza zaidi virus. Kwa fikra zake hata ningekuwa Mimi ningekataa.
Screenshot_2020-03-23-09-44-24-60.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa amesha changanyikiwa. Anakataaje msaada ambao wala hajaahidiwa kupewa?
Kama ni kweli ameitoa hiyo kauli basi atakuwa anarumbana na wananchi wake, huenda kuna shinikizo kutoka ndani kwamba akaombe msaada Marekani na yeye anawajibu kuwa hatawaomba msaada. Lwa hivyo hapo sioni kama anawajibu Marekani bali ni malumbano yao ya ndani.
Marekani wamesema wapo tayari kutoa msaada jamaa ndio kawajibu

Dunia Imekua Kiganja Kwenye Masuala Mazima Yahabari Ila Naona Bado Upo Tiro Juu Yahabari Husika

Pole sana

Sent using My COVID-19
 
Mashia sijui mnaumwaga nini, embu rudia kusoma nilichoandika na usome ulichoandika wewe tena.
Mkuu ndio maana huwa ninakudharau kwa sababu una akili za kindezi kwahiyo hapo ushia umeingiaje hapo?
Ninarudia tena kama Trump angekuwa anawapenda na kuwajari sana raia wa Iran asingekuwa anahangaika kila siku kuliwekea vikwazo taifa lao ili lidhohofike.
Yaani mtu aje akuchomee shamba lako la mahindi alafu mtu huyo huyo akuletee msaada wa mahindi?
 
Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.

Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
huo msaada apeleke ITALY kama kweli anahuruma.. au alete kwa MASIKINI WA EAST AFRICA
 
Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.

Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Yaan mkuu una chekesha sana ,ebu fikiria mtu kakuchomea shamba la heka 10 la mahindi alafu mtu huyo huyo anakuletea debe moja la mahimdi eti kuwasaidia watoto wako wasife njaa hivi ukiwa ni mtu mwenye akili Timamu unaweza kulipokea hilo debe la mahindi?
Ninacho taka kumaanisha ni kwamba Marekani na washirika wake wameiwekea vikwazo Iran vinavyo isababishia hasara ya mabilioni ya dora kila mwaka alafu leo eti uje kujifanya una pereka msaada wa dora milion 100?ili usaidie nn sasa?
Kama kweli marekani inawajari sana raia wa Iran basi iondoe vikwazo na isitishe kampeni na propagandanda zake chafu dhidi ya Iran.
Hata hivyo marekani ingewasaidia maswahiba wake Kwanza badara ya kuangaika na Iran.
Hata kwake hali ni mbaya sana asaidie raia wake kwanza.
 
Sio tunahitaji wanahitaji mm Sio MUAJEMI
Lakini mnahitaji msaada kwa ajili wa watu wenu.
Ila IRAN Hawahitaji Msaada Toka Kwataifa Lakinafiq Kama US kama US Wanania Yakuwasaidia Waondoe Vikwazo Kipindi Hiki Cha CORONA Tu Hata Viongozi Wa IRAN Wanasisitiza Hili

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom