Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
US Hawaaminiki AseeUpo sahihi, Mmarekani mjanja mjanja sana. Na Iran wana sababu nyingi za kutomwamini US lakini ni vizuri kuchukua msaada for the sake of your people.
Sent using My COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
US Hawaaminiki AseeUpo sahihi, Mmarekani mjanja mjanja sana. Na Iran wana sababu nyingi za kutomwamini US lakini ni vizuri kuchukua msaada for the sake of your people.
Tena unafiq Mkubwa SanaaaaMi naona ni sawa tu alivyokataa... Watu wanaomba waondolewe vikwazo vya kibiashara... Ili wanunue vifaa tiba, unakataa... Halafu leo hii eti uwaletee msaada, huo ni unafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran haitopokea msaada wowote kutoka Marekani, katika kubadili hali ilivyo kutokana na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona nchini mwake. Katika taarifa yake hiyo Khamenei alirejea kuizungumzia dhana ya kwamba virusi hivyo ni silaha iliyoundwa na Marekani dhidi ya maadui zake.
Katika hotuba yake iliyorushwa moja kwa moja kupitia televisheni, kiongozi huyo amesikika akisema wana maadui wengi lakini, mkubwa kuliko wote ni Marekani.. na sasa anataka kuwasaidia. Ayatollah amenukuliwa akisema ni vyema taifa hilo likajikita katika kuwasaidia wananchi wake.
Iran limekuwa eneo tete la usambaaji wa virusi vya corona, ambavyo vilianzia China mwishoni mwa mwaka uliopita. Hata hivyo usambaaji wa visa hivyo ulianza kuingia Marekani wiki iliyopita. Marekani inakabiliwa na mamia ya vifo vyenye kuhusishwa na virusi hivyo, wakati Iran vifo vyake vinapindukia watu 1000. Katika hatua hiyo ya kukataa msaada, Khamenei aligusia nadharia ya kwamba virusi hivyo viliundwa na Marekani kwa lengo la kuyadhoofisha mataifa adui kama China na Iran. Tangu Januari Khamenei amekuwa akisema virusi hivyo vinaweza kuwa silaha ya kibailojia iliyoundwa na Marekani.
Mpaka sasa watu zaidi ya 13000 wamekufa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona huku wengine zaidi ya 300,000 wakiambukizwa virusi hivyo duniani kote.
Wala sio maskini jeuri yupo sawa tu kwani anae sababisha waajemi kukosa madawa ninani c huyo huyo US Kama alikua anania ya Msaada IRAN Wala hawataki Msaada Wanataka Kuondolewa Vikwazo Tu Kwamuda Huu Ambao Wanakabiliwa Nagonjwa Wapate kuagiza Vifaa Tiba Mbali Mbali
Sasa kama US Kakomaa Nakumuekea Vikwazo Halafu Upande Wapili Anajifanya Kutaka Kumsaidia Anataka Kumsaidia Nanini wakati ishu ipo wazi tu aondoe vikwazo maisha yaendelee
Nlichopendelea kuhusu CORONA Haichagui kwamaana Mpaka Viongozi Wanaukwaa Kwahio Hapo Hatesi Raia Tu Mpaka Yeye Mwenyewe Ame Risk Maisha Yake Ila Uzuri Wake Nikwafaida Yataifa Lake Kwaujumla
US WAUAJI
Sent using My COVID-19
Atakuwa amesha changanyikiwa. Anakataaje msaada ambao wala hajaahidiwa kupewa?Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.
Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Iran wako sahihi, kama Marekani anataka kuwasaidia aanze kwanza kwa kuwaondolea vikwazo alivyowawekea ili waweze kununua vitu sehemu nyingine ili wapambane na Korona na huo ndo msaada mkubwa kabisa unaohitajika kwa Iran.!Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.
Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Hilo alishaweka wazi zamaniIran wako sahihi, kama Marekani anataka kuwasaidia aanze kwanza kwa kuwaondolea vikwazo alivyowawekea ili waweze kununua vitu sehemu nyingine ili wapambane na Korona na huo ndo msaada mkubwa kabisa unaohitajika kwa Iran.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Navile vinavyozuia kuingizwa dawa IRAN Vinalenga Kudhoofisha NiniBaniani mbaya kiatu chake dawa!
Vikwazo vinalenga kudhoofisha urutubishaji wa uranium.
Ayatola mbumbumbu.
Marekani wamesema wapo tayari kutoa msaada jamaa ndio kawajibuAtakuwa amesha changanyikiwa. Anakataaje msaada ambao wala hajaahidiwa kupewa?
Kama ni kweli ameitoa hiyo kauli basi atakuwa anarumbana na wananchi wake, huenda kuna shinikizo kutoka ndani kwamba akaombe msaada Marekani na yeye anawajibu kuwa hatawaomba msaada. Lwa hivyo hapo sioni kama anawajibu Marekani bali ni malumbano yao ya ndani.
Watu Hawanashida Na Msaada wake Akawape Mashost zake Waitaliano Wanao Anguka Kama BarafuHilo dingi linafikiri huo msaada unaweza kuwa ni njia ya kueneza zaidi virus. Kwa fikra zake hata ningekuwa Mimi ningekataa.View attachment 1396674
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ndio maana huwa ninakudharau kwa sababu una akili za kindezi kwahiyo hapo ushia umeingiaje hapo?Mashia sijui mnaumwaga nini, embu rudia kusoma nilichoandika na usome ulichoandika wewe tena.
Lakini mnahitaji msaada kwa ajili wa watu wenu.US Hawaaminiki Asee
Sent using My COVID-19
huo msaada apeleke ITALY kama kweli anahuruma.. au alete kwa MASIKINI WA EAST AFRICAHuyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.
Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
NDIO lkn sio kutoka USLakini mnahitaji msaada kwa ajili wa watu wenu.
Yaan mkuu una chekesha sana ,ebu fikiria mtu kakuchomea shamba la heka 10 la mahindi alafu mtu huyo huyo anakuletea debe moja la mahimdi eti kuwasaidia watoto wako wasife njaa hivi ukiwa ni mtu mwenye akili Timamu unaweza kulipokea hilo debe la mahindi?Huyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.
Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
Only time will tell MWALLA.NDIO lkn sio kutoka US
Ila IRAN Hawahitaji Msaada Toka Kwataifa Lakinafiq Kama US kama US Wanania Yakuwasaidia Waondoe Vikwazo Kipindi Hiki Cha CORONA Tu Hata Viongozi Wa IRAN Wanasisitiza HiliLakini mnahitaji msaada kwa ajili wa watu wenu.
Yangemfika Yashingo Asingekataa Huo Msaada Anaotaka Kupewa