Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwahio unataka wawasaidie watu ambao hawahitaji msaada wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using My COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio unataka wawasaidie watu ambao hawahitaji msaada wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msaada wanauhitaji sana, shida haina baunsaKwahio unataka wawasaidie watu ambao hawahitaji msaada wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using My COVID-19
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Iran ni mshindani wa US kisiasa, kiuchumi na kijeshi! [emoji23][emoji23]Kupata kichekesho kama hiki bonyeza * kitakuwa Cha kwako.Kama sio mshindani wake vikwazo anavyomuekea vyakazi gan ?! IRAN Mshindani Wamarekani kwakila Nyanja Kisiasa Kijeshi Nampaka Kiuchumi Naukitaka Kufahamu Hili Hamna Hata Nyanja Moja Katika Hizi Nlizozitaja Ambazo US Hajamuekea Vikwazo IRAN
IRAN Anavikwazo Vyakutoka Marekani Vyakisiasa Vyakijeshi Nampaka Vyakiuchumi
Sent using My COVID-19
Waajemi wanahisi US anataka kuwafyeka zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashia maoga kweli.Akawasaidie ITALY Waajemi Wameshagoma Hawanashida Naupuuzi Wake [emoji12][emoji14][emoji12]
Sent using My COVID-19
charity unapaswa kuanzia nyumbani.... usa wasaidie wananchi wao kwanza... Kabla ya kutaka kuyasaidia mataifa m engine... Was I take kuutumia huu ugonjwa Kama opportunity ya kuingia majasusi iranHuyu Mzee ni masikini jeuri !! Msimamo wake unatesa raia wake, hizo propaganda za kirusi kutengenezwa Marekani angezipumzisha wakati huu wa dharura.
Anakataa msaada wakati raia wake wanataabika kwa ugonjwa na madaktari wameishiwa mpaka vifaa tiba huku wengi wakiambukizwa wakati wakitoa huduma.
US Analialia kama paka huko antaka kusaidiwa [emoji22][emoji22][emoji22]Waajemi wanahisi US anataka kuwafyeka zaidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashia maoga kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asaidie kwanza raia wake wa US kuwaongezea vitanda vya ICU maana nchi yake yahitajia vitanda 40,000 wakati yeye mtoa misaada anavyo 3,000 (elfu 3) tu.Watu Hawanashida Na Msaada wake Akawape Mashost zake Waitaliano Wanao Anguka Kama Barafu
Sent using My COVID-19
Asaidie kwanza raia wake wa US kuwaongezea vitanda vya ICU maana nchi yake yahitajia vitanda 40,000 wakati yeye mtoa misaada anavyo 3,000 (elfu 3) tu.
Russia wanasaidia Italycharity unapaswa kuanzia nyumbani.... usa wasaidie wananchi wao kwanza... Kabla ya kutaka kuyasaidia mataifa m engine... Was I take kuutumia huu ugonjwa Kama opportunity ya kuingia majasusi iran
Hao wanao wasaidia wenziwao ambao ume wataja kesi zao zamaambukizi zipoje ukilinganisha na US Wanaojifanza Mama Huruma Wakati Kwao Kwenyeww Kwasasa Halitete... ?!Russia wanasaidia Italy
Ujerumani wanasaidia Ufaransa
China wanasaidia nchi nyingine pamoja na kuwa wagonjwa nchini kwao
US Washenzi Hawajui Hayo Waliwaambia Albania Cjui Taifa Gani lile Wazizuie Ndege Za RUSSIA Zilokua Zaelekea ITALY Kupeleka MsaadaKwenye majanga tofauti za kisiasa ziwekwe pembeni
Russia anapeleka msaada wa madawa na madaktari Marekani, ni baada ya mazungumzo kati ya Trump, Putin na Xi
Mkuu hii komenti yako wawezairejea leo tena?Italy haitaji msaada, ana kila nyezo za kupambana lakin vita imekuwa ngumu kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
@Sexer[emoji23][emoji16][emoji16][emoji23]Italy haitaji msaada, ana kila nyezo za kupambana lakin vita imekuwa ngumu kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
We naye! Statement ya ugonjwa kupanda inaweza ikawa sawa na ugonjwa kupungua, kwa kipindi kile ugongwa ulikuwa umepamba Moto hadi wakaamua kumuachia Mungu.Mkuu hii komenti yako wawezairejea leo tena?
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]US Washenzi Hawajui Hayo Waliwaambia Albania Cjui Taifa Gani lile Wazizuie Ndege Za RUSSIA Zilokua Zaelekea ITALY Kupeleka Msaada
Sent using My COVID-19
Asante mkuu, JF raha sana!We naye! Statement ya ugonjwa kupanda inaweza ikawa sawa na ugonjwa kupungua, kwa kipindi kile ugongwa ulikuwa umepamba Moto hadi wakaamua kumuachia Mungu.