Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Haya ndiyo yale mtu anapita airport mzima gonjwa linaenda muwakia mbele.

Nina uhakika hiyo hoteli inaendelea kutoa huduma badala ya kuwatafuta watu na wafanyakazi wote walie kutana na huyo mama kuchukua hatua za wiki mbili za quarantine na serikari kuwa monitor awatafanya ivyo.

Na hapo sasa ndio mlipuko wenyewe utakapoanza rasmi.
 
Safiri kwenda nje ya nchi kwa ishu maalum sana na mkirudi mtupwe karatini kwa siku 14
Yes hili linawezekana sio wengine wanavyoandika wanafikiri nchi ni kama kuongoza familia ya mke aliyeishia la saba na mtoto wa miezi mitatu.
 
Kumbe watu mko waoga eeh [emoji1787]

Majuzi hapa kuna watu walikuwa wanajidai eti corona ni mafua tu.

Sasa hivi washaanza kujiharishia baada ya kusikia kirusi kishatia timu.

Kwanza si ajabu kilikuwepo muda wote tu ila watu hawajui.
Wewe mbeba box beba mizigo hiyo ulipwe acha kupiga story , mtumwa hana kupumzika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Walikuwa busy na CHADEMA. Pamoja na miito yote nini walisikia.

Serikali zetu hizi mbona shughuli?

Na bado.

Kwa sababu koleo lishavunjika bado si mwisho wa uhunzi. Tunaendelea kuwaitisha wachukue hatua maombi pekee kwa Mungu hayatoshi.
 
Sehem za hatari zaidi
-Mwendokasi
-Daladala
-Misikitini
-Makanisani
-Shuleni
-Masokoni(Kkoo)

Watanzania tuko careless Sana
Wenye imani tuombe sana
Wasio na Imani Mnajua cha kufanya

Hali inawez kua viral [emoji17][emoji17]
Hapo kwenye mwendokasi serikali iwajibike
 
Yani baada ya case kutangazwa ndio wanatoa 500M
 
Tulionya na kutaadhirisha humu, lakini wapi! Lilikuwa ni suala muda tu. Nchi nyingine zilikuwa serious na walichukuwa hatua mapema, kwa mfano quarantine camps kwa watu wanaotoka nchi zenye wagonjwa wengi, kuzuia safari za ndege toka mataifa yaliyoathirika zaidi na kufunga mipaka.
Sie tukawa tunaongea nyenye nye badala ya ku take strong measures, ati naibu waziri Atashasta anasema wameongeza upimaji wa watu kwenye airports( upimaji wa temperature! ) wakati wengi tunajua incubation period ya Corona virus inaweza kuwa hata siku 14 ndio mtu aanze kuonyesha symptoms ikiwemo homa.

Haya sasa haya sasa, na tulivyo na health systems dhaifu, mbona tutakoma.
Pendekezo langu, tuwe wazi, data zianikwe daily. Tukificha ficha kama tunavyofanyaga ati kulinda utalii, nawaambieni tuta enjoy sana. Msisitizo, open government! Kama tulikimbia open government initiative kuficha ujinga ujinga na ubadhirifu, sasa hivi kuliko kipindi chochote kile tunapaswa kuwa wazi ili watu wajilinde na wengine watusaidie.
 
Kumbe vile Vipimo joto vya airport ni kazi bure..wamepita Wangapi kwenye airport wenye design kama huyo mama... Ni suala LA muda hapa tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…