Sawa ni Mtanzania mwenye asili ya wapi?This is important kwa kuwa upo ushahidi kwamba race bio-weapons zipo.Sasa mnapoleta taarifa hizi please be exhaustive,we want to make some correlations.
Naomba nikumbushe pia kwamba watu hawa wakati mwingine ni what are called "sleeper agents." These people at an opportune time wanatumika kutekeleza jambo lengwa in this case kusambaza COVID-19 baada ya kukaa eneo lengwa,kwa mfano Tanzania kwa muda mrefu,hata 20 years,kwa niaba ya nchi fulani au shirika fulani.Naamini hatujasahau ile issue ya Ebola.
Nashauri huyo mgonjwa kama atapona,asichukuliwe kama mtu wa kawaida tu,ila uchunguzi wa kina ufanyike,ili tujue her real motives na yeye ni nani hasa.Narudia,she could be an agent for spreading COVID-19,kwa kuwa the reason for doing that is there.
Mwisho naomba pia nikumbushe kwamba usambaaje wa COVID-19 tunao uona sio through person to person contact,hapana.Upo mpango mahususi wa kusambazwa COVID-19,ndio maana unaibuka kama mzamiaji bahari.Ipo haja kwa hiyo ya kulinda mipaka yetu kweli kweli na kuwa makini sana na wageni wote wanaoingia Tanzania.
Kwa hapa nadhani Waziri Ummy Mwalimu na timu yake wametuangusha sana,naomba wajitathmini.Haiwezekani mtu apite uwanja wa ndege aonekane hana COVID-19 halafu baada tu ya kupita aonekane anao.Something fishy is going on.Wajitathmini.Wameingiza maisha ya Watanzania kwenye hatari kubwa sana.Mungu aepushie mbali.