Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

lembu, Kwahiyo wachina mia Wazungu,Wairan,Waarabu,?
Haupo serious..yaani nchi zikubali zipate hasara yote hiyo kwa sababu ya propaganda tu..
Nakushauri kasome tena novel corona virus!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haupo serious mortality inatofautiana kulingana na eneo!
Kusema wanakufa kwasababu ya uzembe wa kutowahi kutibiwa ni uwongo..maana wastqna toka kuugua na kufa ni wiki mbili..na wengi wanakufa kutokana na organ failure.. Kumbuka huu ugonjwa unaathiri mapafu,INI na figo..pia ukiugua inatakiwa upate Huduma za kueleweka na siyo kubahatisha..kumbuka wanatibu dalili tu.
Kaisome vizuri novel corona virus!
Mortality rate < 6%
Wakiugua 100 wanaokufa ni 3 to 5 tena kwa uzembe wa kutowahi kutibu Neumonia, Haya mafua jamani yamekuzwa mno. Tulikuwa nao muda mrefu huku ila sisi hatukuwa na popular media za kuutangazia ulimwengu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Al assad,
Inaambatana na Neumonia na Neumonia ndiyo inayoua watu. Mimi nilishaugua Neumonia muda wa Zaidi ya wiki mbili naufahamu vizuri unavyobana mbavu na pumzi. Wagonjwa wanapona wenyewe sio wote wanapata Neumonia wakiugua, vinginevyo rate ya kufa isingekuwa 3%.

Hili gonjwa ni la kisiasa Zaidi. Sasa hivi China na Marekani wameanza kuchimbana kisiri siri wakidai Korona imeanzia China lakini ililetwa kwa makusudi. Kwa sababu hii China imepiga marufuku media zote za Marekani na nchi za magharibi ambazo ndizo zinazokuza huu ugonjwa na kuwaogopesha watu.

Wazungu wenyewe na raia wa Marekani wameanza kutofautiana wenyewe kwa wenyewe kwa jinsi serikali inavyoharibu uchumi kwa kulikuza hili dude.

Spanish flu iliua milion of peple lakini iliishia kimya kimyta 2017. Mwaka jana tu flu iliua Wamarekani Zaidi ya laki 6 pamoja na kuwa flu ina vaccine
 
Angeenda hospital ningemwelewa zaidi
 
Believe me or not nawaambia hakuna mwafrika mweusi atakayekufa kwa Corona zaidi ya kuumwa tu na kupona.

Lakini simaanishi kwamba eti tusiache kubeba tahadhari.

Tuendelee kuchukua tahadhari na kufuata kanuni za Wizara ya Afya hili litapita tu.

Lakini mark my words kwamba No any African will die due to Corona virus.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeolewa..? Nataka nikuwowe!
 
Mimi nataka kufahamu yule victim wa Corona hapa bongo hali yake ikoje?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ata mimi nina imani ya hivi tutaishia kuwa carrier tu, mgonjwa wa kwanza anakwambia siumwi chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Check out Botswana & Sudan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…