Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana maana Yuko stable nadhani"Mgonjwa anaendelea vizuri na matibabu"
Tueleweshane vizuri hapo viongozi iyo kauli sijaielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu.Suala hili la COVID-19, halina mtu wa kulaumiwa.
Hasira na woga, hazitafanya lolote lile kwenye hili tuepuke.
Huu virusi hivi vinaambukiza bila hata dalili yoyote kwa muathirika. As a matter of fact, kama una afya njema unaweza ukaambukiza wengine bila kujua mwenyewe kama ulikuwa nao.
Airport za mataifa yote duniani zinapima dalili tu kwanza, ndio maana wanashauri watu wanaojihisi kuumwa baadae, waji-isolate. Upimaji wa virusi wenyewe hufanyika katika maabara chache zilizotayarishwa. Hivyo wanadhaniwa peke yake ndio hupimwa. And this is world wide; due to unlimited resources. Kuna nchi kama S.Korea wamejitahidi kidogo kwenye upimaji, containment haijawezekana.
Kwa lugha nyepesi, haiwezekani kuzuia ugonjwa huu kuingia katika nchi yoyote ile unless mmejifungia na mmesimamisha shughuli zoote; which is realistically impractical.
Yaani, kinachofanyika na nchi zote duniani ni kufupisha uharaka wa maambukizi; ili huduma za kiafya zisizidiwe.
Maana hata nchi zenye huduma za kiwango cha juu, hazina uwezo wa kuhudumia mlipuko wa uambukizaji wa haraka namna hii.
Ndio maana hakuna nchi tajiri iliyoweza kuukwepa ugonjwa huu.
Acha niuseme ukweli:
People will die.
Most will survive.
Hatukuwa tayari (kidunia) ku-face epidemic(now pandemic) ya namna hii.
Pray, kwa sababu there will be tears.
Sent using LF Electromagnetic Waves
shule zitafungwaNawaza watoto huko mashuleni jamani Mungu atusaidie
Kama sisi watanzania tulioko China tupo wazima, tangia mwezi wa 12 mpaka leo mwezi tatu, na sio watanzania tu waafrica wote, basi nyie mlioko TZ mtakua wazima mara 100000. Ebu ondoeni hofu msitishike na matangazo ya redioni, mitandaoni na kwenye TV.So long as hakuna mtu mwenye ngozi nyeusi aliyefariki kutokana na ugonjwa huu...Bado nina amani ya kutosha tu.
Tamko la Mboye limewatoa pangoni mikutano ya kisiasa kushinei
Tanzania imethibitisha kisa kimoja cha virusi vya corona. Mgonjwa ni mwanamke wa miaka 46 raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji kwa ndege ya shirika la ndege la Rwanda Air.
Kwa mujibu wa Waziri Ummy Mwalimu, Mwanamke huyo alitoka Ubelgiji na alikuwa anaishi kwenye nyumba ambapo kuna mwanaume alipata virusi vya corona, baadae aliamua kurudi nchini na alipopimwa uwanja wa KIA alionekana mzima hana maambukizi kisha akaamua kujitenga na kujiweka karantini yeye mwenyewe na kukaa hotelini.
Baadae mwanamke huyo alianza kujisikia vibaya na kuamua kwenda hospitali ambapo alipopimwa akathibitika kuwa na virusi vya Corona.
Wawape likizo mods tujimwage mwage au mnasemajendio maana magufuli amezuia mbio za mwenge mara na makonda nae kazuia mikusanyiko ya watu kwenye daladala mara jf nao wamewapa likizo wafanyakazi wao nikajua tu kuna jambo linakuja
Ma..what??[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah! Una maombi kama yangu, kesi ya pili iwe jiwe, halafu ikumbukwe ana miaka juu ya 60 so itapendeza zaidi.Natamani kisa cha pili kiwe cha jiwe mwenyewe cha tatu kiwe wewe hapo, maana mliambiwa na kuambiwa lakini mkajiona nyie ni miamba ngozi wajinga kabisa nyie
Sent using Jamii Forums mobile app