Toka mwezi wa pili mnasema hivi!Nyie mkianza kuanguka kama nzi ndio mtajua umuhimu wa kupima watu. Sasa hivi Dar watu wanayo virusi vya corona ila hakuna vipimo. Sasa mnangoja watu waanze kuanguka kila mahali ili mjue hali ni tete? Pimeni watu wacheni zogo
Nyie majinga jinga wachache mnaotetea kila uchafu wa serikali ndo mnaharibu nchi yetu mpaka tunaamini nyie sio watz bali warundi...............
Danganyanyeni hukohuko lumumba....
Ninahisi mpumbavu ni mama yako, ndio maana alichekelea wakati baba yako anaingiza dushelele.Wewe ni mpumbavu na ndo maana unachekelea kwa yanayotokea kenya. We tulia tu hapa kwetu mambo yakianza kuharibika uje kuandika tena huu upupu wako hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
One of the most sane comments I have seen.Guys corona haihitaji kibri!! Ina namna ya kukuumbua so tuangalie kauli zetu lest we might be a laughing stock in the future.Let's reserve our stupidity kwenye janga hili
Hakuna haja ya kushindana kwenye humanitarian issues this goes beyond economics and culture we are talking about life here peoples lives.
Tuchukue mfano marekani alikuwa akim mock ( akimbeza/dharau ) China wote tunaona mwishoni anguko lao limekuwa kubwa sanaa
So tuache kushindana mambo yasio ya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkiacha majingambo na sifa za kijinga, na sisi tutaacha.One of the most sane comments I have seen.
Huwezi kukwepa maana maujinga yameanzia kwa wale unaowasifia ujinga....Mjinga wewe na ukoo wenu usitushirikishe kwenye ujinga wa ukoo wenu!
Huu ndio uhalisia asante kwa kuligundua hiliHao Waganda ni wapumbavu! Kenya inaonekana maambukizi kuwa juu kwa sababu wanajitahidi kupima watu wengi na kutangaza idadi sahihi
Wacha kujidanganya, mnapaswa kukubaliana na ukweli kwamba waganda wanachukua hatua thabiti na sahihi za kupunguza maambukizi, wameiweka nchi nzima katika "lockdown".
Thread kama hizi ndiyo zinasababisha tunaonekana Watanzania ndiyo vilaza namba moja hapa East Africa.
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kweli kumlaumu na kumkejeli Kenya kwa maambukizi ya Corona??
Leo hujafungua Uzi mwingine wa Corona Kenya?
Nani amekuambia Kenya tunapima watu ambao hawaonyeshi dalili?Tony254, Mimi nikisema kwamba Kenya hamna akili na wala hamjui mnalofanya hapa duniani unadhani ninasema kiushabiki.
Ninyi wakenya ni watu wa ajabu sana, mnadhani duniani kote hawana akili kama ninyi, mnadhani kwasababu ni matajiri watafanya mambo yasiyokuwa na faida yoyote?.
Kupima watu bila kuonyesha dalili yoyote hasa kwa ugonjwa wenye " Incubation " period fupi na ambao hauna dawa kama Corona, haisaidii lolote zaidi ya kupoteza pesa.
Njia bora inayofaa na inatumika duniani kote ni kuwatenga watu wote ambao wanatia shaka kuwa na nafasi ya kuambukizwa kwa siku 14, na atakayeonyesha dalili ndio unampima ili kuwa na uhakika.
Huyu hapa ni daktari huko Uingereza na pia aliambukizwa Corona, msikilize anasema waingereza hawapimi, nitakuletea na wengine toka nchi ya Sweden na Germany
Sent using Jamii Forums mobile app
Lofa wewe.
Waulize hao wanaosema sababu ya kuwa na idadi kubwa ya maambukizi ni kwasababu mnafanya " mass testing" wakati Tanzania hatupimi, waulize wanamaanisha nini?.Nani amekuambia Kenya tunapima watu ambao hawaonyeshi dalili?
Wewe ndiye Mtanzania wa kwanza anayeongea sense hapa JFGuys corona haihitaji kibri!! Ina namna ya kukuumbua so tuangalie kauli zetu lest we might be a laughing stock in the future.Let's reserve our stupidity kwenye janga hili
Hakuna haja ya kushindana kwenye humanitarian issues this goes beyond economics and culture we are talking about life here peoples lives.
Tuchukue mfano marekani alikuwa akim mock ( akimbeza/dharau ) China wote tunaona mwishoni anguko lao limekuwa kubwa sanaa
So tuache kushindana mambo yasio ya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya inafuata muongozo wa WHO. Kenya inapima mtu aliye na dalili za corona. Akipatikana kuwa ana corona wanafanya contact tracing yaani wanatafuta watu wote waliotangamana na mgonjwa. Iwe ni watu wa hoteli au watu wa familia yake. Mtu anaweza kutangamana na watu hamsini. Lazima wote hamsini wapimwe kama nchi ina huo uwezo kisha watu hao wawekwe karantini kwa siku kumi na nne. Hii ni kulingana na WHO. Ama unapinga mambo ya contact tracing nikuletee evidence kutoka WHO sasa hivi?Waulize hao wanaosema sababu ya kuwa na idadi kubwa ya maambukizi ni kwasababu mnafanya " mass testing" wakati Tanzania hatupimi, waulize wanamaanisha nini?.
Mimi ninauhakika kabisa kwamba Wizara ya Afya ya Kenya, haijui ni inataka kukifikia " Goal", sijui kwanini wanapima watu wengi kila siku. Naomba kama unajua lengo la Kenya kupima watu wengi kwa Mara moja ni lipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujanielewa mbona sijabisha? Soma between lines utanielewa nililenga wapiWacha kujidanganya, mnapaswa kukubaliana na ukweli kwamba waganda wanachukua hatua thabiti na sahihi za kupunguza maambukizi, wameiweka nchi nzima katika "lockdown".
Siku Kenya ilipopima watu 210 na kupata 7 wenye maambukizi, Uganda siku hiyo hiyo ilipima watu 231 na hawajapata hata mmoja mwenye maambukizi.
Ubishi na kiburi chenu cha kujifanya hamfanyi makosa ili mjifunze toka kwa Jirani zenu, ndicho kinachosababisha muendelee kufanya vibaya na kuchekwa na majirani wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kwamba Kenya inafuata muongozo wa WHO, wala WHO haisemi kwamba " contacts tracing" inahusisha upimaji.Kenya inafuata muongozo wa WHO. Kenya inapima mtu aliye na dalili za corona. Akipatikana kuwa ana corona wanafanya contact tracing yaani wanatafuta watu wote waliotangamana na mgonjwa. Iwe ni watu wa hoteli au watu wa familia yake. Mtu anaweza kutangamana na watu hamsini. Lazima wote hamsini wapimwe kama nchi ina huo uwezo kisha watu hao wawekwe karantini kwa siku kumi na nne. Hii ni kulingana na WHO. Ama unapinga mambo ya contact tracing nikuletee evidence kutoka WHO sasa hivi?