Tatizo la hawa wasanii wetu yaani wanajiona wao ni: Madaktari, ni maInjinia, ni Walimu, hao ndio maProfessor, yaani hawataki kabisa kukosolewa
Jana nimecheka, post yake mwenyewe Mwana FA ilimshinda akaamua kuBlock comments pale alipoona walalahoi wanauelewa mzuri wa kujikinga kuliko yeye. Hakuamini macho yake[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukoko huo!Kuna video clip moja ,inamwonyesha Steve Nyerere alivyo mpuuzi kachukua sidiria kaivaa.
Alafu hapa anatoa ushauri 😂😂.
hii ilinipita , Dah haki ya mungu wasanii ndio vilaza wa kwanza hapa Tanzania na wao ndio wanasambaza corona, utavaaje mask ya gesi tena ya shirika la zimamoto na wale wafagia barabara eti unajikinga corona, pumbav zao, hawa tuwakatae ku wa unfollow.Naongelea hasa zile basics za corona ikiwemo matumizi ya vifaa kinga kama mask, gloves na sanitizer.
Wakati mashirika makubwa ya Afya duniani na vyombo vingine vya habari wakihamasisha hatua stahiki za kuchukua ikiwemo kunawa mikono na kuepusha kushikana mikono na mikusanyiko isiyo ya lazima. Wenyewe wamekua kipaumbele kuhamasisha uvaaji wa mask na kupiga selfie.
Mask zenyewe wanazovaa zi zile ambazo zinashauriwa kutumika iwapo kweli una lengo sahihi la kujilinda.
Nawashauri wasanii wajikite kwenye kujielimisha ili watumike katika ku-spread taarifa sahihi na si kuzua taharuki na kuspread wrong information.
View attachment 1391227View attachment 1391228View attachment 1391689
Nadhani gloves ni muhimu zaidi kuliko mask.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu njiti kichwa yake huwa maji nilimtoa thamani toka kile kipindi alipoingia kwenye bif isiyomuhusu na Lady Jaydee
sasa mfano mwana FA ni muhasibu kabisa lakini anafanya utoto wa hali ya juuTatizo shule. Sio kila mask inazuia corona mask. Wanataka "hype" tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi mimi leo nimejilazimisha kumdharauMwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
STEVE NYERERE ni muuza ngada, hana movie, hana wimbo ,kazi zake ni kama YAHAYA ,anakula hela za rambirambi, lakini anakula wanafunzi wazuri, anaishi pazuri japo kapanga kwenye nyumba ya Mbosso wa yamoto , na ni MSHAMBAKuna video clip moja ,inamwonyesha Steve Nyerere alivyo mpuuzi kachukua sidiria kaivaa.
Alafu hapa anatoa ushauri 😂😂.
MWANA FA ni kichaa, kujua mahesabu si kujua maisha, huyu hajielewi na leo UMMY AWAAMBIE HAO WASANII WATOE MAPICHA YAO YA UPOTOFU, eti watu wavae mask wakati hawaumwi, shithole musicianssasa mfano mwana FA ni muhasibu kabisa lakini anafanya utoto wa hali ya juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu anajikuta usalama wa taifaMWANA FA ni kichaa, kujua mahesabu si kujua maisha, huyu hajielewi na leo UMMY AWAAMBIE HAO WASANII WATOE MAPICHA YAO YA UPOTOFU, eti watu wavae mask wakati hawaumwi, shithole musicians
ndiyo kichaa kapewa rungu
tumewazoesha, eti ndio wanaa-pewa dili za kutangazza mambo mbalimbali, mtanzania hawezi kununua sabuni mpaka diamond ama mabeto awe ameitangaza, shitholeWasanii wa Tanzania ni Mabumunda au Makande yaani akili zao kisoda usanii wenyewe wanaoufanya siioni faida
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata mimi nilukuwa namuona smart ila sasa hivi ndio nimejua, kumbe jamaa naye kilaza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole kwa kupoteza muda na hawa wasanii, hapa tulipo ndipo wametufikisha, na follower s wao ni illiterate people wa huko kilimanjaro mashambani huko nanjilinji huko makete na kigoma mpanda hukoAsee jamaa kumbe hovyo sana. Jinga kweli kweli, nimemshusha viwango.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tuna wasanii watatu tu
Mwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
Binafsi tukiacha ushabiki... Naona kuvaa mask kunasaidia kuzuia maambukizi pia, unapovaa mask sio rahisi kushika mdomo, au pua hata ikitokea umegusana na mwenye ugonjwa kwa mikono... Labda uguse macho ambapo pia nimeona kuna waliovaa miwani.Naongelea hasa zile basics za corona ikiwemo matumizi ya vifaa kinga kama mask, gloves na sanitizer.
Wakati mashirika makubwa ya Afya duniani na vyombo vingine vya habari wakihamasisha hatua stahiki za kuchukua ikiwemo kunawa mikono na kuepusha kushikana mikono na mikusanyiko isiyo ya lazima. Wenyewe wamekua kipaumbele kuhamasisha uvaaji wa mask na kupiga selfie.
Mask zenyewe wanazovaa zi zile ambazo zinashauriwa kutumika iwapo kweli una lengo sahihi la kujilinda.
Nawashauri wasanii wajikite kwenye kujielimisha ili watumike katika ku-spread taarifa sahihi na si kuzua taharuki na kuspread wrong information.
View attachment 1391227View attachment 1391228View attachment 1391689