MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Haki miliki ya pichaREUTERS
Rwanda imethitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia wa India aliyewasili nchini humo kutoka Mumbai, India, Machi 8 2020, amethibitishwa kuwa na virusi vy corona.
Rwanda imethitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia wa India aliyewasili nchini humo kutoka Mumbai, India, Machi 8 2020, amethibitishwa kuwa na virusi vy corona.