Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje.

Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani.

Source Star tv!
 
He he he! Na kwa asilimia kubwa zenji inategemea utalii!! Korona una nini wewe
 
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje.

Waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya corona iliyoko huko duniani.

Source Star tv!
Mzee Mgaya ana maoni gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ubaguzi unachochewa na nini? Virusi kisima chake kiko China sasa inakuwaje uwazuie raia wa Italy huku ukiwaruhusu wachina kuingia Zanzibar? Acha ubaguzi msitufanye wtz wajinga.

Tupe vigezo mlivyotumia kuwazuia Italy na kuwaruhusu wachina.
 
Kwa kifupi idadi ya watalii wa kichina ni ndogo sana, Wachina na utalii wapi na wapi?kitakwimu waitaliano ndio wanaongoza kwa idadi ya watalii wanaolingia zanzibar kwa mwaka kuliko watalii kutoka mataifa mengine. Watalii wa kichina wanaotembelea zanzibar ni kama hakuna hiyo ndio sababu
 
Huu ubaguzi unachochewa na nini? Virusi kisima chake kiko China sasa inakuwaje uwazuie raia wa Italy huku ukiwaruhusu wachina kuingia Zanzibar? Acha ubaguzi msitufanye wtz wajinga.

Tupe vigezo mlivyotumia kuwazuia Italy na kuwaruhusu wachina.
Dah polee sana Muitaliano,tatizo takwimu zinaonyesha hadi sasa nyinyi ndio mnaoongoza kwa kuexport corona kuja Afrika.
 
Huu ubaguzi unachochewa na nini? Virusi kisima chake kiko China sasa inakuwaje uwazuie raia wa Italy huku ukiwaruhusu wachina kuingia Zanzibar? Acha ubaguzi msitufanye wtz wajinga.

Tupe vigezo mlivyotumia kuwazuia Italy na kuwaruhusu wachina.
Muwe na tabia ya kuielewa taarifa kabla ya kukurupukia keyboards zenu.

Waeiri rashid hamad,

Amesema wameamua kuchukua uamuzi huo kwa sababu kuna raia wa italia aliepatikana na ugonjwa wa corona baada ya kutokea zanzibar.

Jambo ambalo kalikanusha ila akasema wameamua kustisha raia wa italia kwa sababu nchi hiyo ni moja ya nchi zenye maambukizi ya kiwamgo cha juu katika bara uropa.

Na akijibu kuhusu raia wa china walioruhusiwa muingia hapo awali,

*Raia wale wa mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege zanzibar tuliwaruhusu hasa baada ya kufanyiwa vipimo na kuthibitishwa wako salama tangia huko china.

Na pia walipofika hapa zanzibar serikali iliwaweka karantini. Kwa muda wa kutosha na baada ya kujiridhisha wako salama ndio waliruhusiwa kujiunga na wenzao kuendelea na kazi.

Mwisho wa nukuu.

Ni wapi wasiri katamka kwamba waitalia hapana ila wachina waendelee kuja???

Acheni upotoshajiiiiiii!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ubaguzi unachochewa na nini? Virusi kisima chake kiko China sasa inakuwaje uwazuie raia wa Italy huku ukiwaruhusu wachina kuingia Zanzibar? Acha ubaguzi msitufanye wtz wajinga.

Tupe vigezo mlivyotumia kuwazuia Italy na kuwaruhusu wachina.
Wataliano wamewekeza Zanzibar kuliko wachina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo ni uchaguzi uahirishwe ili waendelee na manunuzi ndicho nikionacho mimi
 
China is a responsible nation while Italy ia a mafia state.

By the way, wameona season imeisha tu hao. Kwa wanavohaha kwa pesa hata shetani wasamkaribisha tayari dalili zote zipo za uwepo wake!
 
Huu ubaguzi unachochewa na nini? Virusi kisima chake kiko China sasa inakuwaje uwazuie raia wa Italy huku ukiwaruhusu wachina kuingia Zanzibar? Acha ubaguzi msitufanye wtz wajinga.

Tupe vigezo mlivyotumia kuwazuia Italy na kuwaruhusu wachina.
Nyamaza kama huyajui !
ZANZIBAR kuna ndege direct toka Italy kila wiki hizo ndizo zilizopigwa stop kwani uingiaji huo waweza kuwa janga kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom