#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

#COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

Status
Not open for further replies.
Haya Mambo ya kuongea kwa kuhisi yatatugharimu Sana na hili janga la CORONA.
Soon tutasikia BOT nao watakuja kutuambia virusi vinaweza kukaa kwenye fedha kwa masaa 12 while wameshatutangazia kuwa Noti zao walizitengeneza kwa kuweka dawa ya kuzuia vimelea vya Aina yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli, WHO hawajasema kuwa kurona ni "airborn disease". Hivi kweli waelewa maana ya kiistilahi ya 'airbone disease'?

Na wala WHO hawajasema watu wote duniani wavae mask. Walioelezwa kuvaa mask ni wanaowatibu wagonjwa tena ni mask maalum 'N95 mask' ambazo hao unaowapanikisha wengi wao hawana namna za kuzipata.

Habari kamili iliyoelezwa na WHO ambapo wewe umenukuu kiduchu na kuongeza uongo ni hii hapa chini.

Active, Mhariri fanyeni kazi yenu hapa.

=======
HEALTH AND SCIENCE
WHO considers ‘airborne precautions’ for medical staff after study shows coronavirus can survive in air
PUBLISHED MON, MAR 16 202012:24 PM EDTUPDATED MON, MAR 23 20208:23 PM EDT
Berkeley Lovelace Jr.@BERKELEYJR
Noah Higgins-Dunn@HIGGINSDUNN
William Feuer@WILLFOIA
KEY POINTS
  • WHO is considering “airborne precautions” for medical staff after a new study showed the coronavirus can survive in the air in some settings.
  • The coronavirus can go airborne, staying suspended in the air depending on factors such as heat and humidity, WHO officials said.
GP: Coronavirus Pakistani Rescue Workers Spray Disinfectant

Pakistani rescue workers spray disinfectants in an effort to curb the spread of corona virus outbreak in Peshawar, Pakistan.
Hussain Ali | Pacific Press | Getty images
The World Health Organization is considering “airborne precautions” for medical staff after a new study showed the coronavirus can survive in the air in some settings.

The virus is transmitted through droplets, or little bits of liquid, mostly through sneezing or coughing, Dr. Maria Van Kerkhove, head of WHO’s emerging diseases and zoonosis unit, told reporters during a virtual news conference on Monday. “When you do an aerosol-generating procedure like in a medical care facility, you have the possibility to what we call aerosolize these particles, which means they can stay in the air a little bit longer.”
She added: “It’s very important that health-care workers take additional precautions when they’re working on patients and doing those procedures.”

World health officials say the respiratory disease spreads through human-to-human contact, droplets carried through sneezing and coughing as well as germs left on inanimate objects. The coronavirus can go airborne, staying suspended in the air depending on factors such as heat and humidity, they said.
Kerkhove said health officials are aware of several studies in a number of countries looking at the different environmental conditions that COVID-19 can persist. Scientists are specifically looking at how humidity, temperature and ultraviolet lighting affects the disease as well as how long it lives on different surfaces, including steel, she said.

READ MORE: Coronavirus lives for hours in air particles and days on surfaces, new US study shows

Health officials use the information to make sure WHO’s guidance is appropriate, and “so far ... we are confident that the guidance that we have is appropriate,” she added. Health officials recommend medical staff wear so-called N95 masks because they filter out about 95% of all liquid or airborne particle.

“In health-care facilities, we make sure health-care workers use standard droplet precautions with the exception ... that they’re doing an aerosol-generating procedure,” she said.

106443833-15841902085ED3-REQ-EPPERSON-ACORNS-031220.jpg

[COLOR=rgba(7, 29, 57, 0)]WATCH NOW[/COLOR]
VIDEO[COLOR=rgba(255, 255, 255, 0.8)]01:01[/COLOR]
Wondering if insurance will cover the coronavirus - here is what you need to know
Robert Redfield, director of the U.S. Centers for Disease Control and Prevention, told Congress last month that the agency was aggressively evaluating how long COVID-19 can survive, particularly on surfaces.

“On copper and steel, it’s pretty typical, it’s pretty much about two hours,” Redfield said at a House hearing. “But I will say on other surfaces — cardboard or plastic — it’s longer, and so we are looking at this.”

Redfield added infections contracted from surfaces rather than through the air could have contributed to the outbreak on the Diamond Princess cruise ship.

Separately, WHO Director-General Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus said Monday that there’s been a rapid escalation of COVID-19 cases over the past week, adding, “we have not seen an urgent enough escalation in testing, isolation and contact tracing, which is the backbone of the response.”

“We have a simple message for all countries: test, test, test. Test every suspected case, if they test positive, isolate them and find out who they have been in contact with two days before they developed symptoms and test those people, too,” Tedros said.
 
Tunatishana sana ndugu zangu
Fanyeni kazi
Rais kasema kagonjwa haka kadogo sana na katishindwa kwa Jina la Yesu
Jina Yesu ni jina tuligopewa wananadamu litupasalo Sisi kuokolewa kwalo.
Amen

Yesu atakuwa Tanzania tu? Vipi kuhusu Italy ambako ndio makao makuu ya ukiristo duniani, vipi Marekani, spain nk
Kuna haja ya wakiristo kujitathmini juu ya kauli hii.
 
Navyokumbuka WHO Hawa Hawa mwanzo walituambia virusi vya CORONA Ni vikubwa kwa umbo tofauti na virusi wengine hivyo hawana uwezo wa kukaa hewani labda urukiwe na droplets za muathirika akikohoa au kupiga chafya.
Wakaenda mbali zaidi wakasema anaweza kuishi kwenye objects mbalimbali Kama chuma kwa masaa 12.
Sasa naona leo Tena wamekuja na mpya kuwa hata angani anapepea kwa masaa nane

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu tuwasamehe kwani katika mambo ya afya uchunguzi hua unaendelea kila siku sana sana kwa swala jipya.
 
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
Ndio maelekezo yaliyotolewa na WHO na wao pia wametoa maelekezo ya kuwa virusi hivyo vina uwezo wa kukaa hewani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuchukua ushauri wowote kwakuwa wewe unajua kila kitu.
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki mbili zimepita madaktar wetu kutoka wizara ya afya walitutangazia kuwa haina haja ya kuvaa facemasks kwasbb Coronavirus haienei Kwa njia ya hewa Ila kama ukiona dalili za Corona unaweza kuvaa mask ili kujilinda mwenyewe na wengine.......
Dr MAKONDA nae alituhasa tunawe mikono mara Kwa mara na sabuni inatosha sasa leo tuchukue ushauri wa Nani?
Hii mechi kwa TZ inachezwa na "washabiki" na siyo na "wachezaji" kinyume na nchi zingine. Hata aliyefeli biology ya form four anaijua corona kuliko Dakitari professor wa cambridge!
 
Yesu atakuwa Tanzania tu? Vipi kuhusu Italy ambako ndio makao makuu ya ukiristo duniani, vipi Marekani, spain nk
Kuna haja ya wakiristo kujitathmini juu ya kauli hii.
Ukristo upo ndani ya Mtu sio mahali
Kwa sasa wenye Ukristo wa Kweli ndio wanaoonekana!!
 
nikiwa natoka kwangu kuelekea kwenye mizunguko yangu huwa navaa mask, cha ajabu wabongo huwa wananiangalia kwa jicho kali wakihisi kama najiendekeza au naringa.

yaani huku uswahili kwetu ukivaa kale kamask wabongo wanakuangalia kwa jicho la husda sana.

[emoji28][emoji28][emoji28]yani unaweza kuivua maana wana kushangaa sana hatari!
 
Tunatishana sana ndugu zangu
Fanyeni kazi
Rais kasema kagonjwa haka kadogo sana na katishindwa kwa Jina la Yesu
Jina Yesu ni jina tuligopewa wananadamu litupasalo Sisi kuokolewa kwalo.
Amen
Rais na utaalamu wa ugonjwa wapi na wapi?
 

Huu ni uongo na uzushi (lies/misinformation and fake news). WHO hado hawajabadili guidelines kuhusu uvaaji wa masks (maelekezo yao yako hapa: When and how to use masks:

Pili, hakuna tafiti inayosema Covid-19 viruses wanaweza kukaa hewani hadi masaa 8. Utafiti uliofanyika hadi sasa unaonesha wanakaa hadi masaa 4 tena ni iwapo droplets zimetolewa ndani ya nyumba (closed doors). Hakuna utafiti uliofanywa kwenye open source (labda kama ni umetolewa jana au leo).

Tusisitize watu kuchukua hatua za kujikinga na kukinga wengine lakini tufanye hivyo kwa kutumia taarifa sahihi na sio uongo na uzushi.

MM Togolani
 
Ukristo upo ndani ya Mtu sio mahali
Kwa sasa wenye Ukristo wa Kweli ndio wanaoonekana!!

Mnasema jina la yesu ndio litaondoa ugonjwa kule Italy jina la yesu ndio limetamalaki kwa kiasi kikubwa na ndio makao makuu yenu, sasa inakuwaje hali ni mbaya zaidi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom