dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,825
- 3,675
Hi ni dalili ya kukata tamaa
Ndio ajue kuwa rais haina maana unajua Kila kitu... Alipoambiwa mapema achukue tahadhari akaleta ujuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi ni dalili ya kukata tamaa
Kwa hiyo wewe kumwomba Mungu ni kukata tamaa? Hivyo wewe huomba Mungu tu ukishakata tamaa?Hi ni dalili ya kukata tamaa
Rais John magufuli wa Tanzania amewataka watanzania watumie siku za ibada za ijumaa, jmosi na Jpili kuiombea nchi iepukane na corona
Last kick of a dying horseKama Rais namna ya kukabiliana na hili janga anatuambia tusali?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Waulize Italy kilichotokea,pamoja na sanamu ya bikira Maria kuzungushwa mipaka ya Italy walikiona cha moto,JPM hii ni sayansi huo sio mkakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusali mkuu tulishaambiwa ni kaugonjwa kadogohuu ugonjwa ni scientifally au ni spiritually.? Mungu anasema jisaidie mwenyewe kabla hajakusaidia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Majani ya mapera changanya majani ya Limao kunywa utanishukuruTusali tu hamna namna, watu wanapukutika. Leo nimeamka na fever sijui nilishapata. Mungu nisaidie.
Ana mambo mengi kichwani mzigo mzito huu pakuutua hapaoni..Hi ni dalili ya kukata tamaa