Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Ndugu zangu watazania ninawaomba kila mmoja wetu ajitakafakari kwa nafsi yake dhidi ya mienendo yetu tu wasafi wa kulalamikia kuwa tukipatwa na corona tunaonewa?

nimeskitika kuna uzi umu ndani watu wanalalama baada ya wito w Rais wa kututaka tutumie siku tatu kumwomba Mungu wetu watu wanasema eti watanzania hatuwezi kuwa wasafi kuliko waitally so so stupid kabisa.

jambo la msingi ni vyema kila mtanzania kwa siku tatu alizo tuomba tuombe ni vyema tuombe kweli viongozi wa kisiasa ni wagumu kuelekeza nchi kuingia kwenye maombi kwa sababu ya jinsi walivyoingia madarakani unapo muona Rais wa nchi anaelekeza njia za kimungu jitafakari mtanzania.

Tafadhali kesho tuungane kufunga na kuomba tuache porojo za kijinga CORONA sio ugonjwa wa ccm wara chadema tuache kukamiana hacheni ujinga tufunge na kuomba.

ushauri njia aliyoitumia Mh Rais kutwit sio nzuri watanzania wanao staili kuombea taifa ili na maombi yao yakapokelewa hawapo twita wapo nje ya twita sio haba mkuu wa nchi ukajiyokeza na kututaka tuombeee mchi nina imani ukitumia TBC 1 utasikika huku kuna wale wakina nani wale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Rais namna ya kukabiliana na hili janga anatuambia tusali?

He is supposed to rally his people to fight this pandemic by instituting policies that will help them stop the spread of the disease!!! Make water available and affordable so that people can easily wash their hands!!! Praying alone won't help because even the almighty helps those who first help themselves!! The priority should be to protect human life and not material things.
 
Mambo ya kisayansi haya....muhimu ni kufuata maelekezo tunayopewa na wataalamu wa Afya itasaidia sana....
 
Rais atoa ujumbe kupitia ukurasa wa Twitter.
IMG_20200416_192710_016.jpg


Sent using NASA Satellites
 
Mungu anawapenda sana watanzania kulilo mataifa yote.ivi kwa nini tunapenda mtelezo.
 
Hofu ya Mungu haina msaada wowote ukiwa mjinga.
Hivi uko kwa wenzetu hatua wanazochukua tunawaona mafala eeh..??
Kwamba wao hawana hofu ya Mungu..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Busara ya mwanadamu ni Upumbavu kwa Mungu, (1 Corinthians 3 :19)

Hao unaowaona ni werevu kwa Mungu ni bure tu, na ndio maana mambo mengi mabaya huanzia kwao.
 
Wabongo bwana yaani sisi kila kitu tunapinga tu..kwani mh kakosea wapi???!!..hiyo hatua ya kututaka wananchi tuombe,si yeye tu!.hata Trump, waziri yule wa italy, uingereza wote wanawasisitiza wananchi wao waombe kwa MUNGU..hili dude hakuna serikali Afrika inayoweza kutunisha misuli kupambana nalo,ni MUNGU tu!
 
Dunia kuwa kijijini hakuna ni kila mmoja atumie sayansi yake kunusuru uhai wa wananchi wake.

Kweli hali mbaya sana.
 
Hakuna anayekataa ibada ila MUNGU ametupa akili kama binadamu kujilinda,ila kuruhusu mabasi ya mikoani kuendelea kutoka dsm (kitovu cha ugonjwa),itapelekea kusambaza zaidi ugonjwa na hapo MUNGU atatushangaa kutotumia akili alizotupa
 
Back
Top Bottom