Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mama Maria wa Mungu utuombee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Corona ni ugonjwa Mdogo sana..kuna magonjwa yanauwa kuliko corona..Watanzania tusitishane"..Alisikika akisema Kenge mmoja hivi akiwa amelala kwenye mawe.Kwa hiyo wewe kumwomba Mungu ni kukata tamaa? Hivyo wewe huomba Mungu tu ukishakata tamaa?
Kwa hiyo wewe kumwomba Mungu ni kukata tamaa? Hivyo wewe huomba Mungu tu ukishakata tamaa
Waziri mkuu wa Italy alisema hivi hivi baada ya maji kuzidi ungaHi ni dalili ya kukata tamaa
Mnaposema tumuachie Mungu au tumuombe Mungu atusaidie, mbona hamsemi atusaidiaje..?? Labda ufafanue vizuriWabongo bwana yaani sisi kila kitu tunapinga tu..kwani mh kakosea wapi???!!..hiyo hatua ya kututaka wananchi tuombe,si yeye tu!.hata Trump,waziri yule wa italy,uingereza wote wanawasisitiza wananchi wao waombe kwa MUNGU..hili dude hakuna serikali Afrika inayoweza kutunisha misuli kupambana nalo,ni MUNGU tu!
Unajua mgonjwa aishasema anamuachia Mungu ni kuwa ame give up.Waziri mkuu wa Italy alisema hivi hivi baada ya maji kuzidi unga
Sent using kitochi original
Tusali tu hamna namna, watu wanapukutika. Leo nimeamka na fever sijui nilishapata. Mungu nisaidie.
Kuwa serious basi mbona unakuwa punguani?Inawezekana kashaona dalili za ugonjwa kufika kikomo na anahimiza watu kusali ili ikifika wiki ijayo maambukizi yatakapo pungua, awazodoe wale wanaomkejeli kwamba njia anazotumia za maombi si sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ajifanye jeuri...asichukue hatua za tahadhari mapema za kulinda RAIA wa Tanzania, watu wameanza kuugua na kupoteza maishaWabongo bwana yaani sisi kila kitu tunapinga tu..kwani mh kakosea wapi???!!..hiyo hatua ya kututaka wananchi tuombe,si yeye tu!.hata Trump,waziri yule wa italy,uingereza wote wanawasisitiza wananchi wao waombe kwa MUNGU..hili dude hakuna serikali Afrika inayoweza kutunisha misuli kupambana nalo,ni MUNGU tu!