Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

G Sam,
Ile tweet yake aliyosema waliomtandika Tundu Lissu risasi watafutwe , bado ipo kwenye ukurasa wake ?

My life is mine to remember
 
Becky kweli unadhani total lockdown inawezekana nchi hii? Umewahi kuishi katika viunga vya jiji na nje ya jiji la Dar(mfano) na kuona jinsi maisha halisi yalivyo?

Do you think it's possible?

Nimeishi Dar tena uswahilini,😉😉😉,total lockdown probably is going to be a challenge ila Partial Lockdown is possible..Kuwakataza kutoka kuingia Dareslaam Tulilisema humu three weeks ago,tukaonekana wajinga,i think yes Total lockdown is not as effective kwa nchi kama yetu..kuna watu watakufa tuu..ila watakufa protecting Majority na ndio key principle behind Lockdown.
 
Mimi nina hirizi kubwa zingine zinapumua sijui ni vyura hawa wamefichwa humu Swali je, naruhusiwa kuunga hizi juhudi za kutokomeza COVID-19 kupitia maombi?
 
Mimi nina hirizi kubwa zingine zinapumua sijui ni vyura hawa wamefichwa humu Swali je, naruhusiwa kuunga hizi juhudi za kutokomeza COVID-19 kupitia maombi?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
sisi wapagani je ?
Tutumie nature kupambana mkuu!
Kila siku kunywa jikombe la muarobaini!
Kisha Changanya limao,tangawizi,asali na maji Moto piga jikombe lako!
Usisahau kula matunda machungwa nanasi n.k
Na mwisho kabisa usisahau mambo yetu ya mzinga😂😂
Pata konyagi ile ya kuleta lengelenge na wala si kulewa usisahau na supu ya samaki au nyama Tena hii unaishitua baada ya kupiga hiyo michanganyiko ya hizo dawa!
Bila kusahau na mazoezi..

Yani hata hicho kirusi kikiingia lazima kisikuelewe mapigo mwishowe kitayeya tu na kutokomea pasipo julikana😂😂
Swala la kusali tuwaachie wasaliji binafsi siwezi bora nitundike nyagi ntaona dunia yote yangu hata na hao virus ntawaona Kama vipepeo tu😂😂😂

Mengine natania ila mengine zingatia😜
 
Nimeishi Dar tena uswahilini,😉😉😉,total lockdown probably is going to be a challenge ila Partial Lockdown is possible..Kuwakataza kutoka kuingia Dareslaam Tulilisema humu three weeks ago,tukaonekana wajinga,i think yes Total lockdown is not as effective kwa nchi kama yetu..kuna watu watakufa tuu..ila watakufa protecting Majority na ndio key principle behind Lockdown.

Unadhani partial lockdown is effective? Mfano, jinsi Kenya wanavyofanya 1800hrs to 0500hrs lakini daytime watu wapo busy na mwingiliano katika ishu zao lakini bado maambukizi yapo juu na vifo juu.

Nadhani kwa nchi masikini, ni ngumu sana tena sana ku-manage hili janga. Kwanza uchumi wa mataifa masikini na uchumi wa raia mmoja mmoja. Sisi ni watu wa hand-to-mouth kila iitwapo leo, tutamlaumu mkuu lakini katika hili I stand with him. Ilà maombi na kwenda kanisani sio suluhu...
 
Nchi pekee duniani tunayoamini tutaishinda corona kwa maombi pekee. Tuna Mungu wetu wa pekee dunia nzima!! Hii nchi ingekuwa imewapa watu wake elimu, mzee baba asingekalia tena kiti hii 2020!
 
Back
Top Bottom