mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
technically, Kweli ujinga ni baba lao "maskini wa kufikiri". Ati unadai Dini isitumike kama kichaka cha kubweteka na kushindwa kujikinga na serikali kushindwa kubeba jukumu lake la kupambana na corona kwa kununua vifaa? Yaani, unasubiri serikali:
1) ikuvalishe barakoa!
2) ikusimamie kunawa mikono au kujipaka kitakasa mikono!
3) ikulazimishe kujifungia ndani!
1) ikuvalishe barakoa!
2) ikusimamie kunawa mikono au kujipaka kitakasa mikono!
3) ikulazimishe kujifungia ndani!