Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Kwa udhaifu ulioko leo katika safu ya uongozi wa juu wa Taifa hili tuombe majirani zetu wasituvamie

Hata Zanzibar tu wakiamua watafika hadi Dodoma ndani ya masaa tu

Burundi ndio wala tusiitaje sijawahi kuuona uongozi goigoi kama huu
Dalili za watu waoga ni kutegemea zaidi dola kuliko hoja japo ni waoga ila wapinzani ni waoga zaidi,uoga wao ndio kaburi lao.
 
Ukiona mkuu wa Taifa Anasema sali basi juwa yajayo yanafurahisha. Asante
Ni kweli, kwani yeye upewa updates za ndani kabisa juu ya masuala mazito ya nchi kila siku asubuhi. Imagine katika level ya individual, hauna pesa au pesa kidogo halafu unaumwa na matibabu yanahitajika na bima ya afya hauna.
 
Phillipo Bukililo,
Kuomba Mungu kunakuja baada ya kuwajibika. Huwezi kukaa unadokoa macho halafu ukaomba Mungu na ukafanikiwa. Unapopatwa na malaria kwanini hukai nyumbani na kuomba? Omba baada ya kutimiza wajibu wako.

Uzembe uliofanywa na serikali ni dhahiri. Iliwachia watu wajinga kama kina Makonda kuhamasisha watu wasijali mambo ya mikusanyiko ikawa inaendelea. Waliwadanganya watu kuwa corona inapigwa vita kwa kunawa tu mikono wakati kupiga marufuku mikusanyiko ndiyo nia kubwa inayofanya isambae.
 
Mwanzo alisema huu ugonjwa usitutishe tuendelee na shughuli zetu baadaye akasema ni KAGONJWA sasa amegundua ni janga when it is too late
 
Mnamwomba nani?
Anaweza yote?
Anajua yote?
Yupo mahali pote?
Kama huyo mnayemwomba yupo kila mahali ilikuwaje ugonjwa(weakness) utawale mahali ambapo yupo?. Au uwepo wake mahali hauna impact?

Je, Kama mbele ya Trump au Rais yeyote huwezi mtu kuleta vurugu au kumpiga konzi mwenzako iwe serious au kwa masihara how come shetani alete ugonjwa na kuua watu mbele za Mungu mpenda haki?

Kama anajua yote huyo mnayekwenda kumwomba, je , hajajua kuwa janga linaingia hivyo kulifuta au kuzuia alishindwa nini?
Au ni mbinafsi anafanya mpaka abembelezwe?

Au anapima imani za mioyo ya watu ambao alishazijua hizo imani kabla hajawaumba?

Kama anaweza yote, je kwanini hajampoteza kabisa huyo mharibifu sheitwani kabla ya kumfanya /kumuumba?
Science answer but faith force people to remain ignorance
 
Huna tofauti na Yule mwizi aliyekuwa msalabani na yesu.
Jibu hoja, usilete habari za mwizi yule.
Soma Injili zote 4 utaona utafauti katika story moja inayohusu wale wanyang'anyi 2.
Huyo Roho Mtakatifu alishindwa kuweka sawia habari moja?
 
Kuna siasa hapa inafanyika in the name of prayers.

Ufahamu na maarifa ndio nguvu ya msaada anayoitumia Mungu kufanya kazi zaidi katika majira na kipindi tunachokiishi ili kukabili changamoto zinazotuzunguka.

Himizo hili la kufunga na kuomba likiambatana na maamuzi ya kiimani yanayotokana na maarifa na uzoefu juu ya njia ya kujikinga na janga hili la dunia as medical emergency, hakika litafaa sana:

Haingii akilini Kama tunahitaji msaada wa Mungu hali Yale yaliyo ndani ya uwezo wetu hatutaki kuyafanyia maamzi.

Mbona bado tunaruhusu safari za mikoani?

Mbona bado tunaruhusu Bar, hotel, kumbi za starehe kuendelea na shughuri Kama kawaida?
Mbona hakuna udhibiti katika usafiri wa umma (public transport)?

Mbona hakuna hatua za kuzuia makusanyiko hasa katika maeneo ya biashara hasa masoko, minada na supermarket?

Mbona makusanyiko ya kiibada bado tunaruhusu?

Mbona tumeshindwa kufanya total lock down?

Kama hatua za social distance zinetushinda hakuna namna tunaweza kuhepuka athali za janaga hili.

Tukiruhusu maambukizi yaendelee kwa sehemu kubwa ya population lazima tuwe na uhakika gharama walizolipa mahala pengine duniani vikiwemo vifo vyetu sis, ndg na jamaa zetu lazima vitatokea tu.

Najua tutachagua kuvitangaza au lah ila kikombe hiki tutakinywea.

NOTE:
Moja ya maombi yetu iwe kumuombea Rais wetu na viongozi wa serikali ,Mungu awape ujasiri wa kufanya maamuzi magumu ili kulinda maisha ya watanzania.

Kutoogopa hofu ya lock down hiyo pia ni sehemu ya imani thabiti.

Mungu atupe ujasiri na maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukakusanyike misikitini na makansan kumuomba Mungu atuondolee Corona sio!!!!
Sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iwamu vipi !? Nani kasema tukakusanyike misikitini na makanisani kumuomba Mungu atuondolee Corona? Nani kasema hayo?

Mbona na wewe unataka kuwa kama mchochezi, mbona unamuwekea Rais maneno ambayo hakusema?

Kwani kabla Rais hajatoa wazo hili tulikuwa hatusali huko misikitini na makanisani jamani? Mbona lugha na maneno mengine yana kwenda kwenye UPOTOSHAJI?
 
pureman2,
Mbona kama unataka kuwepo na TOTAL LOCKOUT? Unadhani that will work in our social - economic scenario?

Nashauri tuache parochial approaches zile za ku copy na ku paste, hazitatusaidia sana. Tumuombe Mungu na kufuata scientific directives na USHINDI DHIDI YA CORONA VIRUS UTAPATIKANA. Kama una amini seme AMINA!
 
#ITVUPDATES:Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania yaongezeka nakufikia 147, baada ya wengine wapya 53 kukutwa na virusi vya Corona,wote ni watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
macho_mdiliko,
Ukiwa ni mtu wa kutafuta visingizio huwezi kuvikosa, na utajikuta mpaka uzeeni unategemea kuhalalisha uzembe wako kwa kuwataja watu wengine.

Corona inawashinda Wamarekani na Waingereza wewe unakuja na simulizi za Makonda!!. Kuna watu wamechukua tahadhari na bado wanakufa kwa maelfu wewe unakuja na hadithi zile zile za kumsaka mchawi.
 
Back
Top Bottom