technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
ISAYA 26;20 Njoni watu wangu, ingieni majumbani mwenu, mkajifungie humo ndani. Jificheni kwa muda mfupi, mpaka ghadhabu hii ya Mwenyezi Mungu itakapopita.
Mkuu kama mifano ya wanaojutia ipo wazi na tunaiona how come this Guy anatufanyia Makusudically tufe... mimi nikijua fulani kaukwaa basi najiepusha nae sasa kufichwa fichwa kupumbavu ndio kafara zenyewe hizi.. how come Waziri mkuu wa England kawekwa wazi nae alijiweka kando asiambukize wengine...Umeandika vizuri ila mambo ya kafara yameningia vipi hapo mkuu? Weka point zako bayana achana na imani za kishirimina
Sent using Jamii Forums mobile app
New world Order penginekafala tena,hapo hapana
Nikipata corona nitahakikisha naipeleka Chato.
Nikipata corona nitahakikisha naipeleka Chato.
Sandali Ali,
Ujinga na unafiki vitaliangamiza taifa letu!
Endeleeni kunawa mikonoNa sisi tunaokula na kulala bila kuomba tufanyeje???
Mkuu naomba hilo andiko sijui ni kutoka kitabu gani cha imani linalosema "Mungu anasema jisaidie mwenyewe kabla hajakusaidia" hilo tunalipata kwenye Qurani au Biblia?Leta maandiko tujifunze.huu ugonjwa ni scientifally au ni spiritually.? Mungu anasema jisaidie mwenyewe kabla hajakusaidia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu unahitaji msaada wa kiroho,tofauti ya mtu mweusi na mweupe mbele za Mungu ni nini?Kwa kuwa Mungu ameacha kwa mtazamo wako kuwaepusha watu weupe na janga hili je hii inamanisha hawezi kutusaidia sisi?Na ni nani alikuambia watu weusi hawana mchango wowote duniani?Do not try to make your opinions be facts.Wewe ni mzigo kwa nani?Yaan Mungu aache kuwasaidia na kuwaepushia hili janga watu wenye akili dunia ya kwanza uko aje atuepushie sisi seriously..???
Hatuna mchango wowote katika dunia hii zaidi ya kua mizigo tu, tunapenda vitonga kweliii, watu wanaumiza vichwa uko kutafuta chanjo sisi tunabwabwaja tu na wasomi wetu uchwara. Watu weusi sisi kweli tulilaaniwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kukata tamaa, kama kiongozi lazima ujue strengths na weaknesses za Taifa lako, Rais amekuwa mkweli nami namuunga mkono, nchi masikini za dunia ya tatu hazina uwezo wa kupambana na Corona. Angalia yanayotokea nchi masikini ya Ecuardo na angalia yanayotokea USA ambaye ni mwamba na mbambe wa dunia.Hi ni dalili ya kukata tamaa
Umenukuu andiko gani mkuu. Kama ni Biblia, inasema tumtegemee Mungu ktk mambo yote wala tusitegemee akili zetu.huu ugonjwa ni scientifally au ni spiritually.? Mungu anasema jisaidie mwenyewe kabla hajakusaidia...
Sent using Jamii Forums mobile app