Saint Anne, Nimeupenda moyo wako wa utayari kushirikisha unachokiamini.
Naomba kuongezea kwa kile ulichokiandika
Kutambua roho ya mtumishi wa Mungu wa kweli ni simple sana.
Kwanza angalia Kama maisha yake yamejaa Roho mtakatifu au mtakavitu!
Mwenye Roho mtakatifu maisha yake lazima yajae matunda ya Roho- upendo, amani, upole, kiasi, utu wema, bidii, na kujitesa kwa ajili ya wengine.
Ila mwenye roho mtakavitu chunguza mambo haya: ubinafsi, kupenda atumikiwe yeye tu, roho ya matisho, ukorofi, mnafiki (double standard) etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuongezea kwa kile ulichokiandika
Kutambua roho ya mtumishi wa Mungu wa kweli ni simple sana.
Kwanza angalia Kama maisha yake yamejaa Roho mtakatifu au mtakavitu!
Mwenye Roho mtakatifu maisha yake lazima yajae matunda ya Roho- upendo, amani, upole, kiasi, utu wema, bidii, na kujitesa kwa ajili ya wengine.
Ila mwenye roho mtakavitu chunguza mambo haya: ubinafsi, kupenda atumikiwe yeye tu, roho ya matisho, ukorofi, mnafiki (double standard) etc.
Sent using Jamii Forums mobile app