Mungu anasema mfanye kazi. Maombi au ibada ni mambo tunayotakiwa kuyafanya kila siku katika maisha yetu katika magonjwa au furaha haijalishi na kusoma tuliamrishwa pia na Mungu someni. Science ni muhimu sana tena sana sio katika janga la corona tu kuna magonjwa mengi sana yalikuwa zamani yanauwa watu leo yana dawa zinasaidia. Katika maisha haya haya hatujaambiwa tuchague moja ni lazima tuheshimu science na elimu kwa jumla na ibada tumefanyiwa fardhi( lazima). Ibada ni lazima kwa wote haijalishi ila science sio sote tunaoweza sasa wanaofanya basi lazima tuwaheshimu sana tu hata tukiumwa kichwa tunakimbilia panadol.