kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Mwambie aende Kule Keko bondeni kuanzia Matank ya mafuta ya BP mpaka maghorofa ya JWTZ, halafu alete mrejeshoBecky kweli unadhani total lockdown inawezekana nchi hii? Umewahi kuishi katika viunga vya jiji na nje ya jiji la Dar(mfano) na kuona jinsi maisha halisi yalivyo?
Do you think it's possible?
Si siku za maombi ya kitaifa inabidi watoe off
+1Hi ni dalili ya kukata tamaa
Huwaga unaingia chaka baya sana ww!!!?Kwa hiyo ni moja ya mikakati yake ya "Do nothing" dhidi ya corona kwa hiyo mkakati wake wapili ni kwenda kulundikana kwenye nyumba za ibada na kupigiana chafya hahahaa
Kwa huyu tuliingia choo cha kike
Kama tutakuwa tumewahi kweliLazima tuchukue hatua kali zaidi za udhibiti haraka.
Siamimini ktk kumuachia Mungu haya mambo, kikubwa labda ni psychology ya watu kuwa Mungu anasikiliza hivyo tutakuwa na peace of mind ila jitihada za binadamu ndio kimbilio hapa.thats the bold and strong move, huku tukizingatia tahadhari zitolewazo ndio njia pekee itakayoyuvusha katika hili.tukisema tunapambana we are doomed! Naimani wote watu 50+mill tutakutana 31 dec kusherehekea mwaka mpya tukiwa wazima wa afya tele. Tupambane na hofu ndio mbaya zaidi
Tusitishane bana jali yakoHuwaga unaingia chaka baya sana ww!!!?
uwezo wako wa ku - reason ni mdogo sana..
Fanyeni mizaha. Lakini ipo siku you'll suffer the consequencesHili gonjwa limekuja na neema eti? si ndio..? π π€£ ππππππ
Sikutishi nakuweka mahali pako.Tusitishane bana jali yako
Sijui kama umemuelewa!!! Anamaanisha kuwa hao wenye dini yao na maombi yao, Roman's, corona inawasulubu,Si lazima sana kusali kwa kukusanyika...
Kama tunajua saa ya ibada ni saa moja,basi kila mtu akianza kusali kwa msingi wa dini/imani yake popote alipo Mungu anamsikia..
NB: waweza kuwa unasali na Mungu asitimize lile unaloomba..jiulize kwa nini? jichunguze pia unakosea wapi!
Hivi rais ana washauri????(advisors)Hi ni dalili ya kukata tamaa
Huna huo uwezoSikutishi nakuweka mahali pako.