Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Kutudharau kwako wala hakutapingana na ukweli wakwamba Kuna Mungu

Nanikakutolea Mifano Yakutosha Mfano Mwalimu Anapenda Maendeleo Yawanafunzi Wake Lakini Kwanini Hawapi Majibu Wakati Wakuwapa Mitihani Na Anawapa Maswali Matupu !?

Mama Anampenda Mwanawe Lakini Akikosea Anamuonya Ama Kumuadhibu Kama Kumrekebisha

Nanikakwambia Kabisa Kwa Sisi Waislam Tuna Amini Yakwamba Mungu Kaiumba Dunia Halafu Akatuekea Mipaka Hili Tufanye Nalile Tusilifanye (Kama Katupa Mtihani Ila Akatupa Namajibu Ambayo Ninamna Yakuishi Kwahio Nisisi Wenyewe Akili Kichwani Maana Majibu Yapo)

Pia Nikukumbushe Mungu Huyo Huyo Anaesema Kama Anaupendo Kwetu Hakumalizia Hapo Akasema Yeyepia Nimwingi Ama Nimjuzi Sana Wakuadhibu Atakapo Amua Kufanya Hivyo Pale Atakapo Ona Panafaa Nandio Maana Tukaona Kuna Umma Ama Watu Waliopita Waliadhibiwa Kwamaovu Yao Kama Kina Qaumu Luti

Ila Pia Mungu Huyo Huyo Anahuruma Maana Angesema Maskini Waumwe Matajiri Wasipone Angekua Tayari Anamahabba Ila Akaweka Wote Daraja Moja Mtaumwa Na Itafikia Wakati Mtaondoka

Hujawahi Jiuliza Pumzi Mnayoivuta Mungu Mwenye Upendo Wake Nahuruma Anawachaji Kiasi Gani Halafu Nenda Mahospitali Yaserikali Ama Binafsi Ambayo Yanaupendo Wanakost Beigani Magesi Yakupumulia Wagonjwa

Mungu Alituekea Sheria Lazma Zifuatwe Kama Taratibu Zawatu Kuishi Ukikiuka Taratibu Nasheria Husika Lazma Uadhibiwe Ama Ujiadhibu Nandio Maana Hata Dokta Anaweza Akakuandikia Umeze Dawa Ama Sindano Kwautaratibu

Mwisho Kabisa Nataka Kiranga Anithibitishie Kwanini Mungu Hayupo

Mara nyingi najikuta nawadharau maana hamuelewi hoja za Kiranga.

Hatukatai kwamba Mungu huyo ana uwezo wote wa kuumba ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya, tatizo ni pale Mungu huyo anapojisifu kuwa ana upendo kwa viumbe wake.

Sheria ya upendo ilipaswa imfunge asiumbe ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya haya yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuja!.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama maelezo yote haya huja yaelewa ulitaka ama unataka nkueleze ama nikujibu jibu gani tena mkuu ili uache kunidharau

Japokua sikatai kudharauliwa sababu naona kawaida tu jamii inayotuzunguka inamengi mno lazma tujifunze kwayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutudharau kwako wala hakutapingana na ukweli wakwamba Kuna Mungu

Nanikakutolea Mifano Yakutosha Mfano Mwalimu Anapenda Maendeleo Yawanafunzi Wake Lakini Kwanini Hawapi Majibu Wakati Wakuwapa Mitihani Na Anawapa Maswali Matupu !?

Mama Anampenda Mwanawe Lakini Akikosea Anamuonya Ama Kumuadhibu Kama Kumrekebisha

Nanikakwambia Kabisa Kwa Sisi Waislam Tuna Amini Yakwamba Mungu Kaiumba Dunia Halafu Akatuekea Mipaka Hili Tufanye Nalile Tusilifanye (Kama Katupa Mtihani Ila Akatupa Namajibu Ambayo Ninamna Yakuishi Kwahio Nisisi Wenyewe Akili Kichwani Maana Majibu Yapo)

Pia Nikukumbushe Mungu Huyo Huyo Anaesema Kama Anaupendo Kwetu Hakumalizia Hapo Akasema Yeyepia Nimwingi Ama Nimjuzi Sana Wakuadhibu Atakapo Amua Kufanya Hivyo Pale Atakapo Ona Panafaa Nandio Maana Tukaona Kuna Umma Ama Watu Waliopita Waliadhibiwa Kwamaovu Yao Kama Kina Qaumu Luti

Ila Pia Mungu Huyo Huyo Anahuruma Maana Angesema Maskini Waumwe Matajiri Wasipone Angekua Tayari Anamahabba Ila Akaweka Wote Daraja Moja Mtaumwa Na Itafikia Wakati Mtaondoka

Hujawahi Jiuliza Pumzi Mnayoivuta Mungu Mwenye Upendo Wake Nahuruma Anawachaji Kiasi Gani Halafu Nenda Mahospitali Yaserikali Ama Binafsi Ambayo Yanaupendo Wanakost Beigani Magesi Yakupumulia Wagonjwa

Mungu Alituekea Sheria Lazma Zifuatwe Kama Taratibu Zawatu Kuishi Ukikiuka Taratibu Nasheria Husika Lazma Uadhibiwe Ama Ujiadhibu Nandio Maana Hata Dokta Anaweza Akakuandikia Umeze Dawa Ama Sindano Kwautaratibu

Mwisho Kabisa Nataka Kiranga Anithibitishie Kwanini Mungu Hayupo

Sasa kama maelezo yote haya huja yaelewa ulitaka ama unataka nkueleze ama nikujibu jibu gani tena mkuu ili uache kunidharau

Japokua sikatai kudharauliwa sababu naona kawaida tu jamii inayotuzunguka inamengi mno lazma tujifunze kwayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe una mungu? Makubwa.
Ulishawahi kumuona au hata kuongea nae?
Tofauti na kusikia habari zake vitabuni ulishawahi kuongea nae? Ulishawahi kumuona?
 
Na wewe una mungu? Makubwa.
Ulishawahi kumuona au hata kuongea nae?
Tofauti na kusikia habari zake vitabuni ulishawahi kuongea nae? Ulishawahi kumuona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawewe una akili ulishawahi kuziona ama kuzisikia ama hata kunusa harufu yake tofauti nakusikia habari zake vitabuni ulishawahi kuziona


Naomba ushahidi kama nawewe una akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawewe una akili ulishawahi kuziona ama kuzisikia ama hata kunusa harufu yake tofauti nakusikia habari zake vitabuni ulishawahi kuziona


Naomba ushahidi kama nawewe una akili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilishawahi ila siwezi kukupa ushahidi kama ambavyo wewe huwezi kunipa ushahidi kuwa wewe ni mtu halisia.

Kama ningekuwa sijawahi kama wewe bora tubaki kuamini za mababu zetu.
 
Kutudharau kwako wala hakutapingana na ukweli wakwamba Kuna Mungu

Nanikakutolea Mifano Yakutosha Mfano Mwalimu Anapenda Maendeleo Yawanafunzi Wake Lakini Kwanini Hawapi Majibu Wakati Wakuwapa Mitihani Na Anawapa Maswali Matupu !?

Mama Anampenda Mwanawe Lakini Akikosea Anamuonya Ama Kumuadhibu Kama Kumrekebisha

Nanikakwambia Kabisa Kwa Sisi Waislam Tuna Amini Yakwamba Mungu Kaiumba Dunia Halafu Akatuekea Mipaka Hili Tufanye Nalile Tusilifanye (Kama Katupa Mtihani Ila Akatupa Namajibu Ambayo Ninamna Yakuishi Kwahio Nisisi Wenyewe Akili Kichwani Maana Majibu Yapo)

Pia Nikukumbushe Mungu Huyo Huyo Anaesema Kama Anaupendo Kwetu Hakumalizia Hapo Akasema Yeyepia Nimwingi Ama Nimjuzi Sana Wakuadhibu Atakapo Amua Kufanya Hivyo Pale Atakapo Ona Panafaa Nandio Maana Tukaona Kuna Umma Ama Watu Waliopita Waliadhibiwa Kwamaovu Yao Kama Kina Qaumu Luti

Ila Pia Mungu Huyo Huyo Anahuruma Maana Angesema Maskini Waumwe Matajiri Wasipone Angekua Tayari Anamahabba Ila Akaweka Wote Daraja Moja Mtaumwa Na Itafikia Wakati Mtaondoka

Hujawahi Jiuliza Pumzi Mnayoivuta Mungu Mwenye Upendo Wake Nahuruma Anawachaji Kiasi Gani Halafu Nenda Mahospitali Yaserikali Ama Binafsi Ambayo Yanaupendo Wanakost Beigani Magesi Yakupumulia Wagonjwa

Mungu Alituekea Sheria Lazma Zifuatwe Kama Taratibu Zawatu Kuishi Ukikiuka Taratibu Nasheria Husika Lazma Uadhibiwe Ama Ujiadhibu Nandio Maana Hata Dokta Anaweza Akakuandikia Umeze Dawa Ama Sindano Kwautaratibu

Mwisho Kabisa Nataka Kiranga Anithibitishie Kwanini Mungu Hayupo

Sasa kama maelezo yote haya huja yaelewa ulitaka ama unataka nkueleze ama nikujibu jibu gani tena mkuu ili uache kunidharau

Japokua sikatai kudharauliwa sababu naona kawaida tu jamii inayotuzunguka inamengi mno lazma tujifunze kwayo

Sent using Jamii Forums mobile app

Mifano yako ni kumfananisha Mungu na wazazi wetu au kumfananisha Mungu na walimu wa kibinadamu.

Imeandikwa ya kwamba Mungu ni muumbaji wa yote, ni muweza wa yote, ni mwenye upendo na pia hutambua yote kabla ya yote.

Sasa walimu wetu wangekuwa ni waweza wa yote kusingekuwa na haja ya kukaa darasani kwa miaka/miezi/wiki/siku/masaa/dakika au sekunde kadhaa, bali wangehamisha tu kile kilicho kwenye akili zao kuja kwenye akili zetu ili kuokoa muda na mambo mengine.
Kumbuka kwamba kukaa kwetu darasani mpaka kuja kupewa mitihani ni ili kupima kama kilichoko kwenye akili za walimu wetu kimeweza kuingia kwenye akili zetu walau kwa asilimia 90%+.
Kadhalika wazazi wetu hutupa maonyo si kwamba ni vibaya, wanatuonya kwa sababu hawana uwezo wote. Hata kama ni wewe Bwana Utam huwezi kumpa mtoto wako onyo kama ungekuwa na uwezo alionao Mungu wako bali ungepaswa tu kuweka sheria ya kiautomatiki ndani yake ambayo haina madhara kwake kwa kuwa unampenda.

1) Mungu wako ana uweza mwingi usio na kipimo
2) Mungu wako ni mjuzi wa yote/hapana lililofichwa kwake tangu ulipoanza ulimwengu huu mpaka utakapofika kikomo na wala hamna lolote linalohitaji muda kulibadilisha au kulirekebisha. (kwanza kurekebisha jambo ni sifa ya kiumbe ambacho si kiweza cha yote. Muweza wa yote hahitaji kufanya jambo linalohitaji marekebisho bali anapaswa kufanya mambo makamilifu ambayo hayahitaji marekebisho!)
3) Mungu wako ni mwenye upendo kwetu na kwa chochote alichofanya! Kuanzia huyo mnaemuita shetani mpaka kwa viumbe vingine, Mungu mjuzi wa yote hakupaswa kuonyesha kuyumbayumba kwa kazi yake kamilifu kama msemavyo japo si kamilifu!.


Sasa Kiranga anapotaka uthibitisho kutoka kwenu sio kwamba anataka mumlete huyo Mungu au mumpe namba zake za simu, bali anachohitaji Kiranga ni mfafanue hizi taratibu za huyo Mungu mbona hazipatani na akili?
Muweza wa yote kashindwa au anaweza lakini hana upendo kwa wapendwa wake?
Mtasema anawapima au anawapa mtihani. Kwa mtu timamu, huwezi kusema mtihani unapewa na Mungu aliyekujua vyema hata kabla ya kuumbwa tumboni mwa mamaako huku akiwa anakupenda.

Fikiri vyema, tafakari kisha uniquote. Napenda kujadili haya mambo lakini napenda kujadili na mtu mwenye ufahamu ulio huru!.

Alafu unamhitaji Kiranga athibitishe Mungu hayupo ilihali comments zenu/wewe na Kiranga zinaonesha huyu Mungu tunaemjadili hapa hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
I
 
Mimi nilishawahi ila siwezi kukupa ushahidi kama ambavyo wewe huwezi kunipa ushahidi kuwa wewe ni mtu halisia.

Kama ningekuwa sijawahi kama wewe bora tubaki kuamini za mababu zetu.
Umenijibu MKUU Ila Sijakuelewa Kiukweli Ila Unaweza Nielewesha Zaidi Kama Hutojali Halafu Pia Unaweza Nipa Naushahidi Wakua na Akili Kama Upo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mifano yako ni kumfananisha Mungu na wazazi wetu au kumfananisha Mungu na walimu wa kibinadamu.

Imeandikwa ya kwamba Mungu ni muumbaji wa yote, ni muweza wa yote, ni mwenye upendo na pia hutambua yote kabla ya yote.

Sasa walimu wetu wangekuwa ni waweza wa yote kusingekuwa na haja ya kukaa darasani kwa miaka/miezi/wiki/siku/masaa/dakika au sekunde kadhaa, bali wangehamisha tu kile kilicho kwenye akili zao kuja kwenye akili zetu ili kuokoa muda na mambo mengine.
Kumbuka kwamba kukaa kwetu darasani mpaka kuja kupewa mitihani ni ili kupima kama kilichoko kwenye akili za walimu wetu kimeweza kuingia kwenye akili zetu walau kwa asilimia 90%+.
Kadhalika wazazi wetu hutupa maonyo si kwamba ni vibaya, wanatuonya kwa sababu hawana uwezo wote. Hata kama ni wewe Bwana Utam huwezi kumpa mtoto wako onyo kama ungekuwa na uwezo alionao Mungu wako bali ungepaswa tu kuweka sheria ya kiautomatiki ndani yake ambayo haina madhara kwake kwa kuwa unampenda.

1) Mungu wako ana uweza mwingi usio na kipimo
2) Mungu wako ni mjuzi wa yote/hapana lililofichwa kwake tangu ulipoanza ulimwengu huu mpaka utakapofika kikomo na wala hamna lolote linalohitaji muda kulibadilisha au kulirekebisha. (kwanza kurekebisha jambo ni sifa ya kiumbe ambacho si kiweza cha yote. Muweza wa yote hahitaji kufanya jambo linalohitaji marekebisho bali anapaswa kufanya mambo makamilifu ambayo hayahitaji marekebisho!)
3) Mungu wako ni mwenye upendo kwetu na kwa chochote alichofanya! Kuanzia huyo mnaemuita shetani mpaka kwa viumbe vingine, Mungu mjuzi wa yote hakupaswa kuonyesha kuyumbayumba kwa kazi yake kamilifu kama msemavyo japo si kamilifu!.


Sasa Kiranga anapotaka uthibitisho kutoka kwenu sio kwamba anataka mumlete huyo Mungu au mumpe namba zake za simu, bali anachohitaji Kiranga ni mfafanue hizi taratibu za huyo Mungu mbona hazipatani na akili?
Muweza wa yote kashindwa au anaweza lakini hana upendo kwa wapendwa wake?
Mtasema anawapima au anawapa mtihani. Kwa mtu timamu, huwezi kusema mtihani unapewa na Mungu aliyekujua vyema hata kabla ya kuumbwa tumboni mwa mamaako huku akiwa anakupenda.

Fikiri vyema, tafakari kisha uniquote. Napenda kujadili haya mambo lakini napenda kujadili na mtu mwenye ufahamu ulio huru!.

Alafu unamhitaji Kiranga athibitishe Mungu hayupo ilihali comments zenu/wewe na Kiranga zinaonesha huyu Mungu tunaemjadili hapa hayupo na wala hajawahi kuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
I
Kwanza Mifano Yangu Sio Kumfananisha Mungu Nawazazi Kwasababu Mungu Hafananishwi Nachochote Kile

Yah Mungu Hutambua Yote Kwayote Hata Kabla Yakuumba Nandio Maana Akamuekea Mwana Adamu Utaratibu Maalum Wakuishi Ili Kuishi Vyema Kama Anavyotaka Japokua Sisi Wanaadamu Tunaenda Kinyume Chayale Aloyaamrisha


kumbuka Tu Unavyosema Walimu Niwatu Ambao Tayari Washajifunza Nakujua Ila Bado Hawatoi Majibu Yamaswali Wanayoyajua Kwawanafunzi Wao Kwasbabu Yakuupasi Mtihani Walowapa Ila Uwezo Wakuwapa Wanao Sababu Wao Niwalimu Tayari (Hawa Walimu Tu Sio Mungu)

Yah nikweli wazazi wetu wanatupa onyo kwasababu wao sio waweza wakila kitu kama alivyo Mungu Ila Mungu Kwakuwa Nimuweza Wakila Kitu Akatupa Alotupa Akatwambia Tufanye Namengine Tiyaache Kwasababu Yauweza Wake Wakila Kitu

1)Hakika Anauweza Usio na kipimo Nandio Maana Akaumba Alivyoviumba Na Akafanya Aliyoyafanya Na Anaendelea Kufanya Mambo Ambayo Hukuwahi Kuwaza Wala Kuyategemea Kwasababu Yauweza Wake Mkubwa

2)Hakika Mungu Hua Harekebishi Jambo Maana Hajawahi Kukosea Katika Upangaji Mambo Yake Japokua Wewe Unahisi Kuleta Majanga Watu Kuumwa Watu Kufa Kama Mapungufu Ya Uumbaji Wake Ila Yeye Alikua Kamili kabisa Nayupo Kamili Nahajawahi Kukosea Katika Majambo Yake Ili Ahitajikurekebisha (Kurekebisha Nisifa Yakiumbe Sio Ya Mungu)

3)Katika Kumuumba Shetani Ama Viumbe Wengine Wewe Kama Kiumbe Ndio Unahisi Aliyumba Kwasababu Wewe Sio Yeye(MUNGU)Ila Pia Katika Kumuumba Huyo Shetani Alikua Katika Mipango Yake Thabiti Nandio Maana Akamuumba Kiufupi Shetani Wala Hajaumbwa Kwakukosea Kama Unavyosema ama Unavyohisi Ama Unavyowaza Ama Unavyoona Wewe


Kuhusu suala la kiranga kutaka kuthibititishiwa ndio pale nikakupa swala lawalimu nawanafunzi wake yakwamba wanajua kama wanafundisha watoto na wana elewa yakwamba kuna kufeli nakufaulu ila wala Hawapi majibu Yamitihani ili wafaulu (Hili Hujawahi Kujiuliza Kweli ?)
Ila MUNGU Anajua Kama Tutafeli Lakini Bado Anajua Kuna Watakaofaulu Na anawajua ila Akatupa Mitihani Kwasababu Yeye anajua Kama sisi tutafaulu vipi natutafeli vipi ila sisi hatujui kama tutafaulu vipi ama tutafeli vipi sasa huu nimtihani kwetu sio kwake maana yeye anajua ila sisi ndio hatujui na kiranga anataka uthibitisho wa Mungu wavipi maana Maana Tunaweza Tukamwambia Bado Maswali Yakawa Hayajawa Namwisho yakaendelea

Swali lenye jibu ndani -Halaf sio kama kila kitu kinaweza kupatikana katika akili kama unavyotaka wewe kwasababu hata hio akili yenyewe pia haipatikani kama unavyoitamka ama kuna siku uliwahi kuiona akili licha yakuisikia tu kwawatu wanaojiita ama tunaowaita wanasayansi pengine nawatu wakawaida tu ?!


Mwisho-Koment Yangu Wala Haijawahi Kua Nashaka Kabisa Juu Yauwepo Wa Mungu Ila Mheshmiwa Kiranga Anataka Uthibitisho Wanamna Gani Kuamini Uwepo Wa Mungu Maana Anajua Kabisa Kama Siwezi Kumleta Mungu Mbele Yake Napia Najiuliza Pamoja Nakukuuliza Nawewe Uthibitisho Ntakaouleta Mnawezaje kuuamini Ama Hamtapingana Naushahidi Wangu Maana Pia Ushahidi Unapingwa


Kama kuna maswali Niongeze MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom