Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

Unatambua hata ww ili uishi kuna viumbe wengine inabidi wafe ili ww uweze kuishi ?
Mfano mimea , na wanyama kwa hiyo tunaishi kwa kutegemeana ndo utaratibu aliouweka mwenyewe muumba Wa aridh na mbingu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu alishindwa kufanya kuwa si lazima viumbe fulani wafe ili wengine waishi?
 
Nithibitishe nini? Kwamba Mungu hayupo?
Ili tukuelewa thibitisha kuwa hoja zinazodai uwepo wa Mungu hazina mashiko, Thibitisha kuwa Qur an si maneno ya Mungu.
Ukishindwa kuthibitisha maana yake unapinga kitu ambacho hukijui.

Mfano mimi nikipinga uwepo wako wewe kiranga itakuwa either nakujua au najua sifa zako ambazo kama sikuziona au kizithibitisha it means hupo. Ila kama sikujui sina haki ya kusema hupo kwa sbb sijui sifa zako, sijui maandishi yako, sijui chochote kuhusiana na wewe.
Kwa ufupi ili uthibitishe uwepo au kutokuwepo kwa kitu lazima kwanza uwe unajua characteristics za hicho kitu, otherwise utakuwa unapinga uwepo wa kitu ambacho hukijui! 😀
 
Ili tukuelewa thibitisha kuwa hoja zinazodai uwepo wa Mungu hazina mashiko, Thibitisha kuwa Qur an si maneno ya Mungu.
Ukishindwa kuthibitisha maana yake unapinga kitu ambacho hukijui.

Mfano mimi nikipinga uwepo wako wewe kiranga itakuwa either nakujua au najua sifa zako ambazo kama sikuziona au kizithibitisha it means hupo. Ila kama sikujui sina haki ya kusema hupo kwa sbb sijui sifa zako, sijui maandishi yako, sijui chochote kuhusiana na wewe.
Kwa ufupi ili uthibitishe uwepo au kutokuwepo kwa kitu lazima kwanza uwe unajua characteristics za hicho kitu, otherwise utakuwa unapinga uwepo wa kitu ambacho hukijui! [emoji3]
Uthibitisho gani utakuridhisha kwamba Mungu hayupo?

Uthibitisho upi utakufanya ukubali kwamba Quran si maneno ya Mungu?

Kipimo gani utakikubali nikikitimiza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uthibitisho wowote unaouamini wewe! kipimo chochote unachokikubali wewe!
Huo utakuwa si mzuri.

Kwa sababu wewe unaweza usiukubali.

Una maana nikisema Mungu hayupo na uthibitisho wangu ni ndoto niliyoota jana usiku utaukubali huo uthibitisho?

Mimi sitaki uthibitisho nitakaoukubali mimi tu, nataka kujua viwango vyako vya kukubali uthibitisho ni vipi, ili tuvikubali wote, ili nisije kukupa uthibitisho ambao uko chini ya viwango.

Sasa nakuuliza tena.

Uthibitisho unaoutaka inabidi ukidhi vitu gani ili wewe uukubali kwamba huu ni uthibitisho murua unakubalika?
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuwepo, halafu ulumwengu unaoruhusu mabaya kuwepo, hilo ni contradiction.

Unaelewa hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Who are we to question Him? Ikiwa ni Mungu kweli na ana uwezo wa kila kitu, basi ana haki ya kufanya atakalo bila ya kuulizwa na yeyote. Na ndio maana anafanya kwa sababu hakuna wa kumuuliza kwa nini afanye aliloamua. He is the top off all! Haogopi chochote wala hajali athari ya lolote analofanya, sisi ndio wa kuogopa na kumuomba na kumnyenyekea kwa sbb tunamuhitajia yeye asituletee majanga au atuondoshee majanga!
Yeye hapati faida wala hasara kwa kuleta maradhi, au kuleta afya, kwa uhai wetu au vifo vyetu, kwa huzuni zetu au furaha zetu, kwa wema wetu au ubaya wetu, kwa lolote yeye anabaki kuwa na Nguvu za kipekee.
Nandio Maana Uka Ambiwa Kama Mjuzi Wayote Kama Anaweza Akaruhusu Yote Kwauwezo WakeHatayeye Mwenyewe Katwambia Kama Katupa Uhai Kama Kutuchallenge Kwamaana Anauwezo Wakufanya Kama Unavyotaka Kama Ambavyo Mwalimu Anauwezo Wakumpa Mwanafunzi Majibu Yamtihani Ila Hampi Ili Apate Kuwaona Mtapasi Vp Mtihani Wa Uhai Alowapa


Suala Lakuruhusu Mabaya Pia Niuwezo Wake Iliapate Kukupa Mtihani

Mungu Haoangiwi Ulitaka Aruhusu Mazuri Matupu Wkati Hataki Hivyo ?!...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi najikuta nawadharau maana hamuelewi hoja za Kiranga.

Hatukatai kwamba Mungu huyo ana uwezo wote wa kuumba ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya, tatizo ni pale Mungu huyo anapojisifu kuwa ana upendo kwa viumbe wake.

Sheria ya upendo ilipaswa imfunge asiumbe ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya haya yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuja!.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeweza kustaajabishwa na wana mazingaombwe wakubwa Duniani kama akina Chris Angel n.k kwa kufanya miujiza ambayo haina maelezo ambayo yana logic sijui unashindwaje kustaajabishwa na Ukuu wa MUNGU
Kwanza kabisa, hujajibu swali.

Pili, wanaosema Mungu yupo ndio wanaojiona wamekamilika, wana majibu ya kila kitu kwa kumjua Mungu. Mimi najua sijakamilika, ndiyo maana naeleza kutomuelewa kwangu huyo Mungu wenu.

Na bado hujanielewesha huyo Mungu wenu kashindwaje kuwanusuru watu wanaotimiza nguzo ya dini yake.

Unanisimanga na kuninyanyasa kwa kuuliza swali ambalo huwezi kujibu.

Kabla ya kuniambia ipo siku Mungu atajidhihirisha kwangu, kwanza thibitisha yupo.

Halafu nitajie siku hiyo ni tarehe ngapi, mwezi gani, mwaka gani, ili tuingoje, asipojidhihirisha turudi hapa kujadili zaidi.

Acha longolongo.

Thibitisha Mungu yupo.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi najikuta nawadharau maana hamuelewi hoja za Kiranga.

Hatukatai kwamba Mungu huyo ana uwezo wote wa kuumba ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya, tatizo ni pale Mungu huyo anapojisifu kuwa ana upendo kwa viumbe wake.

Sheria ya upendo ilipaswa imfunge asiumbe ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya haya yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuja!.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka Mungu wa kujitungia tu, ndiyo maana ukiweka tabia za Mungu huyo katika mizani ya fikra, anaonekana kikatuni cha kuchorwa na watu tu.
 
Hakushindwa sema Kama , ww unataka kumpangia utaratibu unao uhitaji ww

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini unasema mimi nataka kumpangia wakati nyie wenyewe mnaosema yupo mnasema sifa yake ni upendo?

Sasa Mungu mwenye upendo imekuwaje afanye viumbe wake wauane na kuleteana magonjwa wakati aliweza kufanya isiwe hivyo?
 
Mara nyingi najikuta nawadharau maana hamuelewi hoja za Kiranga.

Hatukatai kwamba Mungu huyo ana uwezo wote wa kuumba ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya, tatizo ni pale Mungu huyo anapojisifu kuwa ana upendo kwa viumbe wake.

Sheria ya upendo ilipaswa imfunge asiumbe ulimwengu unaowezekanika kufanyika mabaya haya yaliyokuwepo, yaliyopo na yatakayokuja!.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo pia jibu lake ni rahisi, Mungu ninayemzungumzia mimi anajisifu kuwa ana upendo na pia ni mkali wa kuadhibu. Hakuna cha ajabu wala kikubwa ikiwa akili iko free. Mungu ambaye anapenda tu hata mabaya ana mashaka, Mungu aloleta sheria tuzifuate halafu tukidisobey iwe yuko vile vile anapenda tu itakuwa uwezo na uungu wake unamashaka!
Ni muweza wa YOTE!
 
Huo utakuwa si mzuri.

Kwa sababu wewe unaweza usiukubali.

Una maana nikisema Mungu hayupo na uthibitisho wangu ni ndoto niliyoota jana usiku utaukubali huo uthibitisho?

Mimi sitaki uthibitisho nitakaoukubali mimi tu, nataka kujua viwango vyako vya kukubali uthibitisho ni vipi, ili tuvikubali wote, ili nisije kukupa uthibitisho ambao uko chini ya viwango.

Sasa nakuuliza tena.

Uthibitisho unaoutaka inabidi ukidhi vitu gani ili wewe uukubali kwamba huu ni uthibitisho murua unakubalika?
Ukisema ndoto ndo uthibitisho wako nitakushangaa, si kwa kupinga ndoto, no! Nitashangaa kwa sababu unapinga hoja kubwa zaidi ya ndoto za uwepo wa Mungu!

Muhimu si kuwa nitakubali au nitakataa uthibitisho wako, laa! muhimu ni kujua wewe kama Kiranga una hoja gani yenye nguvu unayoiamini ya kukufanya uwe na confidence ya kusema hakuna mungu?😀

Mfano mimi kama muislam hoja zangu kubwa za uwepo wa Mungu zimo katika Qur an na naziamini bila mashaka yoyote,msingi wa kuamini hoja za Qur an ni kuwa pia naamini kuwa Qur an si maneno ya binaadamu na haiwezekani binaadamu kutunga au kuandika mfano wa Qur an. Hii ni challenge haijawahi kuvunjwa. Akitokea mtu akaandika au akatunga mfano wa Qur an basi kweli Qur an ni maneno ya mtu!

Sasa hebu niambie hoja zako wewe ni zipi!😀
 
Habari yako Ndugu. Unaweza nisaidia pdf ya hiki kitabu ?
Mkuu hata mimi kuna muda huwa najiuliza kwa nini inakuwa hivi yaani baadhi ya vitu Mungu anashindwa kuzuia na uwezo anao.

Bado nasoma kile kitabu uliwahi weka hapa siku nyingi

'Philosophy of religion. An anthology'

Kwa kweli nimejifunza vingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe sababu zako zimebezi kwenye Logic na scientific principles

Unataka mtu akuhakikishie kwamba Mwenyezi Mungu yupo Kwa logic na science

Wakati huohuo kuna mambo ya kawaida tu yanafanywa na watu wa kawaida tu hapahapa Duniani na hayafati principles za logic na yanavunja principles zote za kisayansi

Cha ajabu hau-question hayo, umekazania Mungu Mungu,

Google Criss Angle magical stants hapo then niambie anawezaje kufanya vitu kama hivyo......

Mtu anatembea juu ya maji, nasio maji kama majitu ni mto anapita katikati na wala hazami...., anawaacha wazungu wanastaaajabu.

Kaka Mungu yupo acha ubishi.
Kwanza thibitisha Mungu yupo.

Pili, thibitisha nimestaajabishwa na wanamazingaombwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom